Hakuna sehemu wanazolipa mishahara mishahara mizuri hapa Tanzania kama migodini na Depot za mafuta

Hakuna sehemu wanazolipa mishahara mishahara mizuri hapa Tanzania kama migodini na Depot za mafuta

depo ya mafuta huingii kama huna connection, pita depo zote alafu utafute walioingia bila pande
Depo hakuna connection sema kazi zake zikitangazwa wanapitia recruitment agency kwahio huwezi kuona depo fulani wanatangaza kazi.

Nazingumza hili nikiwa na ushahidi wa watu zaid ya watatu nao wafahamu. Kwahili nakubaliana na jamaa.
 
Depo hakuna connection sema kazi zake zikitangazwa wanapitia recruitment agency kwahio huwezi kuona depo fulani wanatangaza kazi.

Nazingumza hili nikiwa na ushahidi wa watu zaid ya watatu nao wafahamu. Kwahili nakubaliana na jamaa.
Nimefanya kazi huku, connection ni kuanzia intern kabisa....pia kama connection yako sio strong utapata mkataba wa mwaka mmoja mmoja, lkn kama ni strong, permanent inakuhusu...
HIzi depo zinaendeshwa kijanja janja sana, kifupi biashara ya mafuta inaendeshwa kijanja janja sana kwahiyo hawatoi nafas hiv hiv
 
Nimefanya kazi huku, connection ni kuanzia intern kabisa....pia kama connection yako sio strong utapata mkataba wa mwaka mmoja mmoja, lkn kama ni strong, permanent inakuhusu...
HIzi depo zinaendeshwa kijanja janja sana, kifupi biashara ya mafuta inaendeshwa kijanja janja sana kwahiyo hawatoi nafas hiv hiv
Sawa mkuu.
 
Back
Top Bottom