RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 4,707
- 11,365
Depo hakuna connection sema kazi zake zikitangazwa wanapitia recruitment agency kwahio huwezi kuona depo fulani wanatangaza kazi.depo ya mafuta huingii kama huna connection, pita depo zote alafu utafute walioingia bila pande
Nazingumza hili nikiwa na ushahidi wa watu zaid ya watatu nao wafahamu. Kwahili nakubaliana na jamaa.