Hakuna Taifa lililoendelea kwa ziara za Rais Nje ya Nchi

Any way, ukisema watanzania kibao wanafanya kazi Amerika na England naomba nikuulize kazi gani? Za kupangusa mavi kwenye mikundu ya wazungu na kuzoa taka zao?

Hawa watanzania wanao kulika huko nje kwa kwa kazi za hali ya chini kwa mishahara midogo, wangeamua kukaa kwao na kupata assistence au back up ya serikali katika kujiendeleza kwenye shughuli za creativenes, unafikiri wangekuwa wako wapi? Na taifa je lingekuwa wapi?

Kwa kuzingatia kuwa Tanzania ni nchi huru isiyofungamana na mkondo wowote ule wa kiitikadi za ulimwengu na pia kuwa nchi iliyojaliwa kuwa na rasilimali nyingi na diversity ya wanyama ulimwenguni, sioni haja yoyote ya Rais kuzunguka kila nchi kuomba misaada ya mabepari au kutafuta wahisani wa kuwekeza nchini, why?
Ukweli ni kwamba hana haja hiyo! Kila kitu kinacho hitajiwa tunacho sisi wenyewe hapa hapa nchini.

Anacho takiwa ni kutumia akili yake kujua nini afanye na utajiri tulio nao. Yeye ni Rais na ana namlaka makubwa sana ya kuamua nini afanye kwa maendeleo ya nchi yetu.

Kama swala ni hela za ku-finance miradi yetu, kitu gani kinamzuia yeye kuweka rehani ya baadhi ya madini yetu, kwa mfano dhahabu, ambayo ikamwezesha kuchukua mikopo ambayo itasaidia ku-finance hiyo miradi?

Nimshauri Rais wangu kutambua kuwa Business means mobility, bila easy na quick mobility hakuna Real economic growgh ambao utawawezesha wananchi kuwa na ability ya ku-afford investment kubwa ambayo itawasaidia ku boost maendeleo yao.

Kulingana na nature ya geographical position ya nchi yetu ni advantage kubwa kuwekeza kwenye network ya usafiri wa uhakika wa high speed trains na majirani zetu. Kwa vile average ya 250 km/h ni Standard speed ulimwenguni, kuwa na transport tool au network yenye capacity hiyo, Tanzania na hasa Bandari zetu Dar es salaam, Tanga na Mtwara zingekuwa Hubs za kusambaza mizigo kwa majirani zetu na hivyo ku-garantii wealth wa nchi yetu.

Soko letu la Kariokoo pia lingekuwa soko kubwa Afrika masahariki na kati ambalo lingeweza kuwavutia wafanya biashara wengi kutoka nchi za nje kuja kuwekeza kwenye hii sekta na kuzalisha ajira nyingi kwa vijana wetu.

Ama hakika bandari yetu na soko hili vingekuwa vitega uchumi vikubwa nchini vya mapato. Hali ambayo ingesababisha ajira nyingi kuzalishwa na vile vile kubadilisha mind set ya watanzania.

Nina uhakakika dhahabu yetu itaisha na sisi hauka kitu kikubwa ambacho tutakuwa tumekifanya kwa maendeleo yetu. Maendeleo yanaletwa na jamii inayo jiamini na sio jamii ambayo ni tegemezi na yenye uoga.

Hawa jamaa ambao Rais wetu anataka waje kuwekeza kwenye rasilimali zetu, kama mleta mada alivyo sema, ni watu ambao wanajua jinsi gani ya ku make profit out of it, kiasi kwamba sisi wenye mali hatupati kitu, au hata kama tutaambulia chochote basi kitakuwa ni kidogo sana, kiasi kwamba hakita saidia kwenye maendeleo yetu. Hiyo ndiyo principle.

England ilikuwa Giant, sasa hivi ni dwarf katika nchi zenye uchumi mkubwa duniani. Uchumi wa England umeuawa na matajiri wao walio waduga wenyewe.
 
Unajifanya una akili kumbe mavi matupu.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Tunaenda kuomba misaada

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
FDI yako ni hv
Ulienda Khan kwenu ulazima shamba heka 5
Watu watapata Ajira
Watoto wa wakulima watavaa sare mpya
Watanunua angalau samaki na nyama
Jifunze kuelewa faida za Uwekezaji hata wakwako tuu kwa watu wengine
 
Nazungumzia facts na ninadeal na takwimu. Tuambie government imeajiri asilimia ngapi na private na informal sector wameajiri asilimia ngapi??? Unajua mwaka jana tu makampuni wameretrench wafanyakz wangapi? Siyo kila logical idea uwe antagonist. Wengi wa diaspora unauhakika wana vibali vya kz na hadhi za kazi wanazofanya - hata wenye elimu zao???
 
Anti samia nyie tunawajua. Takwimu gani umetuwekea hapa wewe ?
 
Anti samia nyie tunawajua. Takwimu gani umetuwekea hapa wewe ?
Check my initial comment na sina muda wa anti or pro kuna tofauti ya critical analysis na just commenting. Wewe ndo unazungumzia created employment. Sasa toa hizo takwimu in TZ na diaspora na work permits za hao watz. Mimi nimeelezea Fact 1: Vibali vimeongezwa muda from 5 to 8 years. Fact 2: Immigration Quota from 5 expats to 10 at TIC until end of the project. Labda kukufafanulia hao 10 expats ni guarantee irrespective of the company size, na haiwazuii kuongeza zaidi.

Siwezi kutoa siri za ndani lakini kama unauelewa utajua by the work permit number unaweza pata picha vibali vingapi tayari vimetoka...my friend the number is alarming. Not every comment for the best interest of TZ unakuja na conclusion kwamba mtu ni anti.
 
USA,UK,SPAIN, FRANCE, GERMANY.NK!! haya mataifa yako juu leo mpaka kesho! ajili ya Foreign investment!! ikiwa ni pamoja na Slave trade iliwanyanyua sana!! angalia mataifa yooote Duniani super powers walifuga watumwa na walikuwa na invetment Abroad!!

Reli ya kati iliwekwa ajili ya kusafirisha Maligahfi Ulaya!!!! gharama zoote zile za uendeshaji na reli ilipita katikati ya Mashamba ya mikonge!! nchi ambazo hazikuwekeza nje ya nch zao!! km falme za kiarabu zilipoteza u-super power wao!!

Kwa mfano Oman, haikuwa na makoloni, ni maskini tu mpaka leo!...Huyo Bwana Trump wako huyo ni kitukuu cha wawekezaji sugu!! wa kale yeye anakula Matunda tu!! Leo hii sudani ya kusini imemegwa ajili ya uwekezaji wa ndani wa Mafuta!! kati ya china na USA!

Msumbiji kuna vita ya ndani ajili ya uwekezaji wa kuchimba mafuta!...sioni tatizo km wao wanakuita uende kwao si wana kuhitaji!!!..... km watataka kuwekeza wao ni kuwapa masharti tu! sisi siyo kisiwa!

kulinganisha taifa la USA na TZ, ni sawa na kumlinganisha Maza house mzuri na H/girl! hta iweje TZ italihitaji USA!! Kuliko USA inavo hitaji TZ!!.....H/girl anamuhitaji Maza House ili aendelee apate na hela ya kutuma kwao!! kuliko maza house anavo muhitaji kumtunzia nyumba yake!!

Ok!! hamtaki wawekezaji waje!! haya wekezeni nyie!! limeni. chimbeni dhahabu zenu, zalisheni viwandani kwenu....na je hayo mazao mtamuuzia nani??....ok! labda mtatumia wenyewe!!! je Hela mna fyatulia wapi? Bukoba au???

OK! dhahabu mnachimba nyie wenyewe mtazifanyia nini??? zaidi ya urembo!.....Dawa za Hosp mtatoa wapi bila hao majamaa!!...... Matrekta ya kulimia na madawa mashambani mnavyo??? mwekezaji akija si anakusogezea kiwanda cha Matrekta? Madawa!! nk..

Labda cha msingi ungesema anakuja kuwekeza nini??...sisi siyo kisiwa tunahitaji watu wengine km wao wanavyotuhitaji! yuwa heshimu ebu nikuulize mbona ndg zenu wengi tu wako Ulaya?? na wanatuma hela huko?? je wapigwe beat?? wawakatae??

na ukifika Ulaya ni speed yako tu!! kuna wengi hawataki hata kurudi huko! km Mange Kimambi! nyie mnatamani kwa wenzenu lkn nyie wakija mna nuna huo ni uchoyo wa asili!!! sababu tu mnaona wengine wanapata!!!

Magari yao, ndege zao, Lami zao, baiskel zao jamni hee!! Radio zao mnasikiliza weee!! viwanda vyao vivyomo nchini kwenu mnatumia mnajichekesha weeee!! vijimeno vyeupe tena bila aibu!! wala sony!! no made from africa!! ni nje tupu mpaka chupi ulio vaa hapo ulipo!!

sasa mtu km huyu anakusogezea huduma karibu na kwa bei rahisi!!!! hutaki!!!! heee!! wajameni....Ok! Cameroon aliwahi sema kwamba basi waafrica Oleweni mkalia lia weee!! tuu mpaka leo!!,,watu km wewe ndo walisababisha haya! waafrica mlie lie!! oleweni tu!

km hamtaki kuliwa basi na nyie msile!!!....na mkiugua msije huku Ulaya kutibiwa kaeni huko huko mfe kama jiwe!!....kila mtu afe na chake tuone nani zaidi..........Jiwe ange wahi Ulaya tu angepona! lkn sasa kiburi cha kijinga na umimi wa kizamani km huu wako!
 


Idadi ya safari sio hoja ni vihoja. Cha msingi ni safari ya nini? Hii topic ni nzuri lakini kwa watoto wa kidato cha 5-6 kama kujifunza na kutoa hoja. Lakini mitandao ya watu wazima hii ni topic ya aibu na haikutakiwa kuwepo hapa
 
Idadi ya safari sio hoja ni vihoja. Cha msingi ni safari ya nini? Hii topic ni nzuri lakini kwa watoto wa kidato cha 5-6 kama kujifunza na kutoa hoja. Lakini mitandao ya watu wazima hii ni topic ya aibu na haikutakiwa kuwepo hapa
Naunga mkono hoja. Wakosoaji wa Samia wameishiwa vitu vya kuandika, wamebakia kuandika pumba tu
 
Idadi ya safari sio hoja ni vihoja. Cha msingi ni safari ya nini? Hii topic ni nzuri lakini kwa watoto wa kidato cha 5-6 kama kujifunza na kutoa hoja. Lakini mitandao ya watu wazima hii ni topic ya aibu na haikutakiwa kuwepo hapa
Tuambiwe tangiable benefits za hizo safari tangu zimeanza awamu ya nne mpaka sasa.

Ukiachana na msururu wa wezi wa rasilimali zetu unaokuja kila wakati na kutuachia mashimo tu.
 
Hujaielewa vyema concept ya FDI.
 
Hakuna nchi iliyoendelea kwa kujifungia ndani tu. Russia na utajiri wao mkubwa wa madini wanawahitaji wamarekani na wajerumani kufanya nao biashara.

China na uchumi wao mpana wanawahitaji wamarekani na waafrika ili waweze kupiga hatua za kiuchumi.

Watanzania hawawezi kupata uzoefu wa kazi pasipo kujichanganya na watu wa mataifa mengine. Kinachotusumbua ni zile zile itikadi za 'usisi' ambazo zina msingi wa kibaguzi.

Haishangazi kuona tukiukataa uraia pacha wakati unawasaidia sana mataifa kama Nigeria na Cameroon, ni sera zile zile dhalimu za ubaguzi uliojificha nyuma ya uzalendo na ujamaa.

Nico Njohole alipata nafasi ya kwenda kucheza Arsenal miaka ya 1980 mwanzoni FAT ya wakati ile ikamkatalia, akaishia kwenda Ulaya kwa mishe nyingine tofauti na mpira. Kwa kujiuliza tu haraka haraka Leo hii Njohole angekuwa amewafungulia njia vijana wangapi wa Tanzania kwa yeye kuweza kucheza Arsenal?.

Hizi sera za kupinga safari za SSH za kimataifa msingi wake ndio huo wa kijamaa, ambao unaendeleza umaskini wa kudumu wa Tanzania.

Tumwache SSH afanye analoona linafaa kwa manufaa ya nchi hii ya kesho na kesho kutwa.
 
Na kama hakuna nchi yoyote iliyoendelea kwa sababu ya mikopo,sisi ndio tutakuwa wa kwanza. Ila kumbuka hakuna nchi iliyoendelea bila ya kushikamana na mataifa mengine. Starting engine ya maendeleo yetu ndio hii non stop flight
 
Na kama hakuna nchi yoyote iliyoendelea kwa sababu ya mikopo,sisi ndio tutakuwa wa kwanza. Ila kumbuka hakuna nchi iliyoendelea bila ya kushikamana na mataifa mengine. Starting engine ya maendeleo yetu ndio hii non stop flight
Ukitaka kujua safari sio njia ya kuleta maendeleo angalia nchi za scandnavia na ulaya kwa ujumla wake.

Hawana mambo kama haya kwa viongozi wao kusafiri safiri.

Ila bado wao ndio wanatupa misaada.

Na nchi zao zinaendelea kila kukicha.
 
Ukitaka kujua safari sio njia ya kuleta maendeleo angalia nchi za scandnavia na ulaya kwa ujumla wake.

Hawana mambo kama haya kwa viongozi wao kusafiri safiri.

Ila bado wao ndio wanatupa misaada.

Na nchi zao zinaendelea kila kukicha.
Hivi unaweza kuwa tajiri kwa kumuiga tajiri namna anavyofanya Kazi? Tajiri ana gari wew una baiskeli tena chakavu, tajiri ana kiwanda wew hata nyumba tu ya nyasa na ya udongo. Tunayopitia cc kwa wenzetu walipitia zamani so lazima na cc tunywe kikombe hichi tena kwa mapenzi yake yy mama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…