Hivi kumbe na wewe ni sukuma gang?
[emoji3516][emoji3516][emoji2][emoji2][emoji41][emoji851][emoji851][emoji119][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kumbe na wewe ni sukuma gang?
Ikigijo ni jina la kutokea kati ya Rwanda au Burundi[emoji3516][emoji3516][emoji2][emoji2][emoji41][emoji851][emoji851][emoji119][emoji23]
Ikigijo ni jina la kutokea kati ya Rwanda au Burundi
Bora uwe na deni kuliko omba ombaAliepita alikua hasafiri ila ameacha uchumi Uko hoi na deni la taifa limeongezeka kwa kasi ya ajabu.
Safari hii ni mateso kwa sukuma gang
Kwani wewe dawa unazotembea nazo kwenye upindo wa skirt zimekusaidia nini hadi sasa mbona bado unapepesuka tu?Mbowe ni Sukuma gang?kunywa dawa
uluhisho ni kuifuta ccm na viongozi wake kwenye uso wa duniaNaunga mkono jitihada za kuifungua nchi, ila sikubaliani na approach inayotumika katika kufanya hivyo.
Ni kweli tunahitaji wawekezaji , ni kweli tunahitaji ajira lakini namna tunavyowatafuta na kushirikiana nao sioni hiyo faida inayosemekena itapatikana.
Tunaweka mazingira mazuri ya uwekezaji ndio , at the expense ya kurisk rasilimali zetu lakini tunachokipata hakilingani na risk yenyewe.
Hizo Multinational Corporations ni wazoefu wa kufanya investments katika developed countries, wanajua namna ya kufanya ili kupata faida.
Wanajua udhaifu wa watendaji na viongozi wa developed countries, na pia wana wataalam lukuki wa namna ya kukwepa kodi , hivyo naamini kabisa kuwa hatutaambulia chochote. Historia ni shahidi na tumeona namna Accacia ilivyotufanya over the years.
Moja ya mambo ambayo wawekezaji hao wanayataka ni upatikanaji kwa urahisi kwa Work Permit.
Sasa kama tunataka watanzania wafaidike na hizo ajira sioni namna gani watafaidika nazo kama wageni nao watafurika kupigania hizo nafasi.
Hao wawekezaji ndio hulalamika kuwa watanzania hawaajiriki kwakua ni wezi, hivyo wanapenda kutoa wafanyakazi nje ya nchi sasa kama watanzania ni wezi, kwanini wageni wanapewa nafasi ya kuwekeza katika nchi ya wezi.
Kwakweli sijawahi kuona nchi ikipata maendeleo kwa njia ya uwekezaji wa Taifa jingine.
Kwa Mfano Rais wa Taifa kubwa kabisa lenye uchumi mkubwa marekani , Bwn Trump katika kipindi cha miaka mi nne alisafiri mara 19 tu katika nchi 24 duniani, sasa Rais wetu kwa miezi sita tu anazo safari zaidi ya 6 unaweza ona miaka yake 10 itakua na safari si chini ya mia na zaidi.
Tunapenda nchi yetu iendelee na ifunguke lakini tujadiliane na kuangalia ni namna gani tunaweza kufanya hivyo na tukanufaika, ila binafsi sioni kama kusafiri sana nje ya nchi ndio suluhu, na pia sioni sana kama Direct Foreign Investment ni suluhu tosha.
Nawasilisha.
[emoji1787][emoji1787][emoji706][emoji706]Sasa wewe upo development stage kama hiyo usa?USA anawaomba Switzerland na Japan kwenda kuwekeza USA! Sasa sisi ni wakina nani?
Unaifahamu TIC?
Je, unajua maana ya foreign currency? Technology and expertise importation? Vipi kuhusu ajira ambazo zitaongeka na kuleta NSSF contributions ambazo pia serikali hukopa hizi fedha kufadhili miradi mfano ni Nyerere bridge, unajua lilipo?
PAYE,SDL,WH/Tax, workers union contribution, NHIF contribution and so on...
Yapo mengi ya kuandika, pseudo nationalist kama wewe ni hatari kwa ustawi wa Taifa letu.
Sijui unaelewa hata ulichokiandika Mkuu? samahani kama nimekukwaza[emoji1787][emoji1787][emoji706][emoji706]Sasa wewe upo development stage kama hiyo usa?
Mbona Jiwe hakusafiri?
Shukrani kiongoziYule mrenda alikuwa na kifaa kinachomsaidia kupumua
Acha upumbavu,tofautisha ziara ya kualikwa,kuhudhuria mikutano na ziara zingine,we unaongelea rais wa marekani yeye anatembelea nchi kwa sababu zipi?na rais wetu anafanya ziara kwa ajili ipi?Naunga mkono jitihada za kuifungua nchi, ila sikubaliani na approach inayotumika katika kufanya hivyo.
Ni kweli tunahitaji wawekezaji , ni kweli tunahitaji ajira lakini namna tunavyowatafuta na kushirikiana nao sioni hiyo faida inayosemekena itapatikana.
Tunaweka mazingira mazuri ya uwekezaji ndio , at the expense ya kurisk rasilimali zetu lakini tunachokipata hakilingani na risk yenyewe.
Hizo Multinational Corporations ni wazoefu wa kufanya investments katika developed countries, wanajua namna ya kufanya ili kupata faida.
Wanajua udhaifu wa watendaji na viongozi wa developed countries, na pia wana wataalam lukuki wa namna ya kukwepa kodi , hivyo naamini kabisa kuwa hatutaambulia chochote. Historia ni shahidi na tumeona namna Accacia ilivyotufanya over the years.
Moja ya mambo ambayo wawekezaji hao wanayataka ni upatikanaji kwa urahisi kwa Work Permit.
Sasa kama tunataka watanzania wafaidike na hizo ajira sioni namna gani watafaidika nazo kama wageni nao watafurika kupigania hizo nafasi.
Hao wawekezaji ndio hulalamika kuwa watanzania hawaajiriki kwakua ni wezi, hivyo wanapenda kutoa wafanyakazi nje ya nchi sasa kama watanzania ni wezi, kwanini wageni wanapewa nafasi ya kuwekeza katika nchi ya wezi.
Kwakweli sijawahi kuona nchi ikipata maendeleo kwa njia ya uwekezaji wa Taifa jingine.
Kwa Mfano Rais wa Taifa kubwa kabisa lenye uchumi mkubwa marekani , Bwn Trump katika kipindi cha miaka mi nne alisafiri mara 19 tu katika nchi 24 duniani, sasa Rais wetu kwa miezi sita tu anazo safari zaidi ya 6 unaweza ona miaka yake 10 itakua na safari si chini ya mia na zaidi.
Tunapenda nchi yetu iendelee na ifunguke lakini tujadiliane na kuangalia ni namna gani tunaweza kufanya hivyo na tukanufaika, ila binafsi sioni kama kusafiri sana nje ya nchi ndio suluhu, na pia sioni sana kama Direct Foreign Investment ni suluhu tosha.
Nawasilisha.
Ila huyu jamaa alikuwa kiboko wa safari😅 raisi hadi anaenda kubembea poriniKwa hiyo kwa safari hizi tutafaidika sana? Atamzidi Kiwete kufika kwenye mabembea ya Jamaica? Alifikia hadi kupokelewa na wanamziki tu lakini yeye yumo!
View attachment 2007164
Mmh tatizo wao wameanza kusafisha mashamba mapema Kabisa.Suluhisho ni hiki chama kutoka madarakani! Kimechoka sana[emoji16][emoji16][emoji16]
Yupo juu ya fail tena unaanzaje kumpinga[emoji2211]Foreign Direct Investment ni muhimu katika kuzalisha ajira, hebu tuambie strategy gani wewe unaweza kuitumia kupromote ajira?
#Mama zunguka tuletee wawekezaji vijana wapate ajira,waoe wawe na familia na wao wawekeze waajiri wengine.
Na tutateseka Sanaa maana mama enu hata hatumuelewi anacho kufanya.Sukuma gang mnateseka kweli kweli