Hakuna Taifa lililoendelea kwa ziara za Rais Nje ya Nchi

Hakuna Taifa lililoendelea kwa ziara za Rais Nje ya Nchi

Unasoma shule zetu hizi za kata halafu unafika kwenye uamuzi unasahau vipau mbele vya nchi ajira na si viwanda vya wageni kwa ajira ya wageni "watu wao"
 
S
Naunga mkono jitihada za kuifungua nchi, ila sikubaliani na approach inayotumika katika kufanya hivyo.

Ni kweli tunahitaji wawekezaji , ni kweli tunahitaji ajira lakini namna tunavyowatafuta na kushirikiana nao sioni hiyo faida inayosemekena itapatikana.

Tunaweka mazingira mazuri ya uwekezaji ndio , at the expense ya kurisk rasilimali zetu lakini tunachokipata hakilingani na risk yenyewe.

Hizo Multinational Corporations ni wazoefu wa kufanya investments katika developed countries, wanajua namna ya kufanya ili kupata faida.

Wanajua udhaifu wa watendaji na viongozi wa developed countries, na pia wana wataalam lukuki wa namna ya kukwepa kodi , hivyo naamini kabisa kuwa hatutaambulia chochote. Historia ni shahidi na tumeona namna Accacia ilivyotufanya over the years.

Moja ya mambo ambayo wawekezaji hao wanayataka ni upatikanaji kwa urahisi kwa Work Permit.
Sasa kama tunataka watanzania wafaidike na hizo ajira sioni namna gani watafaidika nazo kama wageni nao watafurika kupigania hizo nafasi.

Hao wawekezaji ndio hulalamika kuwa watanzania hawaajiriki kwakua ni wezi, hivyo wanapenda kutoa wafanyakazi nje ya nchi sasa kama watanzania ni wezi, kwanini wageni wanapewa nafasi ya kuwekeza katika nchi ya wezi.

Kwakweli sijawahi kuona nchi ikipata maendeleo kwa njia ya uwekezaji wa Taifa jingine.

Kwa Mfano Rais wa Taifa kubwa kabisa lenye uchumi mkubwa marekani , Bwn Trump katika kipindi cha miaka mi nne alisafiri mara 19 tu katika nchi 24 duniani, sasa Rais wetu kwa miezi sita tu anazo safari zaidi ya 6 unaweza ona miaka yake 10 itakua na safari si chini ya mia na zaidi.

Tunapenda nchi yetu iendelee na ifunguke lakini tujadiliane na kuangalia ni namna gani tunaweza kufanya hivyo na tukanufaika, ila binafsi sioni kama kusafiri sana nje ya nchi ndio suluhu, na pia sioni sana kama Direct Foreign Investment ni suluhu tosha.

Nawasilisha.
uluhisho ni kuifuta ccm na viongozi wake kwenye uso wa dunia
 
Hakuna Taifa linaloendelea kwa viongozi wake wa juu kujifungia ndani kama utumbo. Halipo na halijawahi kuwepo.
 
USA anawaomba Switzerland na Japan kwenda kuwekeza USA! Sasa sisi ni wakina nani?

Unaifahamu TIC?

Je, unajua maana ya foreign currency? Technology and expertise importation? Vipi kuhusu ajira ambazo zitaongeka na kuleta NSSF contributions ambazo pia serikali hukopa hizi fedha kufadhili miradi mfano ni Nyerere bridge, unajua lilipo?
PAYE,SDL,WH/Tax, workers union contribution, NHIF contribution and so on...

Yapo mengi ya kuandika, pseudo nationalist kama wewe ni hatari kwa ustawi wa Taifa letu.
[emoji1787][emoji1787][emoji706][emoji706]Sasa wewe upo development stage kama hiyo usa?
 
Naunga mkono jitihada za kuifungua nchi, ila sikubaliani na approach inayotumika katika kufanya hivyo.

Ni kweli tunahitaji wawekezaji , ni kweli tunahitaji ajira lakini namna tunavyowatafuta na kushirikiana nao sioni hiyo faida inayosemekena itapatikana.

Tunaweka mazingira mazuri ya uwekezaji ndio , at the expense ya kurisk rasilimali zetu lakini tunachokipata hakilingani na risk yenyewe.

Hizo Multinational Corporations ni wazoefu wa kufanya investments katika developed countries, wanajua namna ya kufanya ili kupata faida.

Wanajua udhaifu wa watendaji na viongozi wa developed countries, na pia wana wataalam lukuki wa namna ya kukwepa kodi , hivyo naamini kabisa kuwa hatutaambulia chochote. Historia ni shahidi na tumeona namna Accacia ilivyotufanya over the years.

Moja ya mambo ambayo wawekezaji hao wanayataka ni upatikanaji kwa urahisi kwa Work Permit.
Sasa kama tunataka watanzania wafaidike na hizo ajira sioni namna gani watafaidika nazo kama wageni nao watafurika kupigania hizo nafasi.

Hao wawekezaji ndio hulalamika kuwa watanzania hawaajiriki kwakua ni wezi, hivyo wanapenda kutoa wafanyakazi nje ya nchi sasa kama watanzania ni wezi, kwanini wageni wanapewa nafasi ya kuwekeza katika nchi ya wezi.

Kwakweli sijawahi kuona nchi ikipata maendeleo kwa njia ya uwekezaji wa Taifa jingine.

Kwa Mfano Rais wa Taifa kubwa kabisa lenye uchumi mkubwa marekani , Bwn Trump katika kipindi cha miaka mi nne alisafiri mara 19 tu katika nchi 24 duniani, sasa Rais wetu kwa miezi sita tu anazo safari zaidi ya 6 unaweza ona miaka yake 10 itakua na safari si chini ya mia na zaidi.

Tunapenda nchi yetu iendelee na ifunguke lakini tujadiliane na kuangalia ni namna gani tunaweza kufanya hivyo na tukanufaika, ila binafsi sioni kama kusafiri sana nje ya nchi ndio suluhu, na pia sioni sana kama Direct Foreign Investment ni suluhu tosha.

Nawasilisha.
Acha upumbavu,tofautisha ziara ya kualikwa,kuhudhuria mikutano na ziara zingine,we unaongelea rais wa marekani yeye anatembelea nchi kwa sababu zipi?na rais wetu anafanya ziara kwa ajili ipi?

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Kama akili ni kuvuta wawekezaji nakubaliana nalo ila kama akili hio inaongezeka na kuwa kuvuta wawekezaji na kupindisha mikataba ili 10% ziishie kwa waziri husika naomba tuletewe Magufuli mwengine!
Bado akili hazijakaa sawa!
 
Foreign Direct Investment ni muhimu katika kuzalisha ajira, hebu tuambie strategy gani wewe unaweza kuitumia kupromote ajira?

#Mama zunguka tuletee wawekezaji vijana wapate ajira,waoe wawe na familia na wao wawekeze waajiri wengine.
Yupo juu ya fail tena unaanzaje kumpinga[emoji2211]

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom