Hakuna Taifa lililoendelea kwa ziara za Rais Nje ya Nchi

Hakuna Taifa lililoendelea kwa ziara za Rais Nje ya Nchi

Foreign Direct Investment ni muhimu katika kuzalisha ajira, hebu tuambie strategy gani wewe unaweza kuitumia kupromote ajira?

#Mama zunguka tuletee wawekezaji vijana wapate ajira,waoe wawe na familia na wao wawekeze waajiri wengine.
Ulioandika ni utopolo mkubwa.. unsogopa kujitegemea
 
Foreign Direct Investment ni muhimu katika kuzalisha ajira, hebu tuambie strategy gani wewe unaweza kuitumia kupromote ajira?

#Mama zunguka tuletee wawekezaji vijana wapate ajira,waoe wawe na familia na wao wawekeze waajiri wengine.
Mimi nakubaliana na wewe sana, FDIs ndio muarobaini wa kukua kiuchumi na sekta ya ajira, uwekezaji mkubwa wa viwanda na sekta nyingine utaleta forex, mzunguko wa pesa na kuongeza ajira,exports etc hivyo hana budi yeye kwenda huko na kuwapa confort wawekezaji, ili waweze kupata imani (confort) na kuleta mitaji yao.Uwepo wa kiongozi mkuu wa nchi sehemu husika na kutoa confort kutoka kwenye kinywa chake ni jambo muhimu sana, Angalia kagame hapo nyuma alibadilisha mfumo na kusafiri kwa nia ya kuwafuata na kuvutia wawekezaji,sasa hivi Rwanda imebadilika sana,kiuwekezaji mpaka viwanda vya magari etc. kuhusu swala la Work permit, hilo lipo kisheria kwamba lazima kuwe na succession plan kwa wazawa, pia ndio incentives za kiuwekezaji,lakini hata wewe umewekeza mtaji wako kwa mara ya kwanza tena mkubwa ili uwe na amani lazima key possitions uweke mtu/watu wako unayemuamini then utatrain na kujenga imani taratibu kwa wengine.Na makampuni mengi nafasi nyingi ni za wazawa kwasababu ni gharama sana kuajiri expatriates kwa kila sekta maana kuwagharamia ni ngumu, na itakuwa ngumu pia kubreak even.so nikiwind up kwa kinywa chake mwenyewe Mama alitamka safari atakazozifanya ni za kuleta maendeleo na siyo za starehe,kwa hilo tumsupport,
Uzuri mwendazake kuna misingi aliyotuwekea na kutupa utimamu wa maswala mengi (tuliyokuwa tunachezewa na kupigwa) hasa negotiations skills za kimkataba, na kuhakikisha win win inakuwepo hivyo ni ngumu sana "kudepart" from his theories,kwa hiyo tupo vizuri.Ijumaa kareem
 
Mimi nakubaliana na wewe sana, FDIs ndio muarobaini wa kukua kiuchumi na sekta ya ajira, uwekezaji mkubwa wa viwanda na sekta nyingine utaleta forex, mzunguko wa pesa na kuongeza ajira,exports etc hivyo hana budi yeye kwenda huko na kuwapa confort wawekezaji, ili waweze kupata imani (confort) na kuleta mitaji yao.Uwepo wa kiongozi mkuu wa nchi sehemu husika na kutoa confort kutoka kwenye kinywa chake ni jambo muhimu sana, Angalia kagame hapo nyuma alibadilisha mfumo na kusafiri kwa nia ya kuwafuata na kuvutia wawekezaji,sasa hivi Rwanda imebadilika sana,kiuwekezaji mpaka viwanda vya magari etc. kuhusu swala la Work permit, hilo lipo kisheria kwamba lazima kuwe na succession plan kwa wazawa, pia ndio incentives za kiuwekezaji,lakini hata wewe umewekeza mtaji wako kwa mara ya kwanza tena mkubwa ili uwe na amani lazima key possitions uweke mtu/watu wako unayemuamini then utatrain na kujenga imani taratibu kwa wengine.Na makampuni mengi nafasi nyingi ni za wazawa kwasababu ni gharama sana kuajiri expatriates kwa kila sekta maana kuwagharamia ni ngumu, na itakuwa ngumu pia kubreak even.so nikiwind up kwa kinywa chake mwenyewe Mama alitamka safari atakazozifanya ni za kuleta maendeleo na siyo za starehe,kwa hilo tumsupport,
Uzuri mwendazake kuna misingi aliyotuwekea na kutupa utimamu wa maswala mengi (tuliyokuwa tunachezewa na kupigwa) hasa negotiations skills za kimkataba, na kuhakikisha win win inakuwepo hivyo ni ngumu sana "kudepart" from his theories,kwa hiyo tupo vizuri.Ijumaa kareem
Upo vizuri sana
 
Ulioandika ni utopolo mkubwa.. unsogopa kujitegemea
USA anawaomba Switzerland na Japan kwenda kuwekeza USA! Sasa sisi ni wakina nani?

Unaifahamu TIC?

Je, unajua maana ya foreign currency? Technology and expertise importation? Vipi kuhusu ajira ambazo zitaongeka na kuleta NSSF contributions ambazo pia serikali hukopa hizi fedha kufadhili miradi mfano ni Nyerere bridge, unajua lilipo?
PAYE,SDL,WH/Tax, workers union contribution, NHIF contribution and so on...

Yapo mengi ya kuandika, pseudo nationalist kama wewe ni hatari kwa ustawi wa Taifa letu.
 
USA anawaomba Switzerland na Japan kwenda kuwekeza USA! Sasa sisi ni wakina nani?

Unaifahamu TIC?

Je, unajua maana ya foreign currency? Technology and expertise importation? Vipi kuhusu ajira ambazo zitaongeka na kuleta NSSF contributions ambazo pia serikali hukopa hizi fedha kufadhili miradi mfano ni Nyerere bridge, unajua lilipo?
PAYE,SDL,WH/Tax, workers union contribution, NHIF contribution and so on...

Yapo mengi ya kuandika, pseudo nationalist kama wewe ni hatari kwa ustawi wa Taifa letu.
Ooh na BTW TIC wameongeza pia Immigration Quota kutoka 5 expatriates hadi 10 kwenye lifetime nzima ya project. Amendment kwenye Non-Citizen Act. Well ajira zinaongezeka lakini mark my words siyo kwa wazawa......
 
juzi tu, watu WALIKUWA wanamsema magufuli,hatoki,kajifungia,anaogopa ndege.
Leo tena lawama mama kiguu na njia,mama hatulii,mama hakai nyumbani.
Lipi Bora kwenu
Watanzania ni watu "wanaoteswa" na viongozi wao.
Kwa wakati wowote ule, Rais yeyote yule, atakayeongoza vyovyote vile (vizuri au vibaya), watanzania watamlalamikia tu.
I can guarantee this na katika hili naweza kubet hata moyo na figo zangu.
 
Ninchojua sukuma gang woote mmepigwa daflao
Ni kweli maana hata TOZO,bei za vifurushi,mgao wa maji,kukatika umeme hovyo,Mfumuko wa bei ni Sukuma gang tu ndo wanaugulia.


Kua nyumbu ni Tatzo kubwa sana
 
Tozo wewe hazikuhusu wewe maana hiyo ela ya kula tu huna sasa za kufanya transactions unaziiba wapi
So mama anaupiga mwingi kwenu tu,maana wengine Tozo haziruhusi.

Kawaida ya nyumbu pia Wana re-semble mawazo kama yako
 
Huyu anaiga staili ya vasco dagama......kutembeza bakuli, kama ni hivyo kuweka mabalozi hakuna maana yoyote.
 
Foreign Direct Investment ni muhimu katika kuzalisha ajira, hebu tuambie strategy gani wewe unaweza kuitumia kupromote ajira?

#Mama zunguka tuletee wawekezaji vijana wapate ajira,waoe wawe na familia na wao wawekeze waajiri wengine.
Wawekezaji wanaangalia sera za nchi na aina ya uongozi na sio kuzurura kwa kiongozi ndo uleta Wawekezaji.
Wao wanajua KILA kitu kuliko hata sisi,kumbuka zipo embassy zao ambazo Kazi kubwa ni kupeleka taarifa za fursa kuhusu Shamba la bibi kwenye nchi zao.Wao waliwekeza zaidi kwenye maarifa na mitaji zaidi na sio kwenye siasa thus wao wanayo macho ya kuziona fursa.
 
Tanzania pagumu sana. Sasa hivi wameshapitisha amendments za kuwaongezea wageni muda wa vibali vya kazi kutoka cumulative 5 years hadi 8. Sasa ajira kwa wazawa zitatoka wapi? Mtoto hadi anaingia sekondari huyo mgeni yupo yupo tu...

Swali je, kuna huo urahisi wa ajira kwa watanzania nchi anazozitembelea Madame President??? Sasa hawa expats hawana muda wa kutransfer skills.... huku unemployment levels za graduates zinaongezeka. Sad story our beloved country.

Daaaa yaani Nimekikutika sana sana Aiseee
Sijui watu wanamdanganya Mama? Au wawekezaji wenyewe ndio wanamdanganya Mama? Sababu nimekuwa nikimsikia Tangu Zamani akiwa embeleza wawekezaji kuhusu suala la Vibali vya kazi!
Yaani Mtanzania Ukienda Kenya Usiende mbaki Kenya tuuu Hakianani Hupati Kazi hata Kama Una skills vipi!
Kenya Are very smart!
Hakuna ajira mtu wa nje anawezapata unless ajira hiyo kuwa hakuna Mkenya Mwenye ujuzi huo.
Labada nasema tena labda serekali imeanua kuchukua tuu kodi na Kuwaacha wageni waje wIshi kwa kadri watakavyo.
Eti Mgeni Anakuja Anakuwa Finance manager,Wakati watu wapo wamesoma mpaka CPA,ACCA .
Mgeni anakuja anakuwa Production manager,Plant Manager,Procurement manager/Director,Naapia Hakiya MUNGU wageni wana Nguvu Kuliko Serekali yetu kwenye suala la Ajira.Tena wangetanani hata HUman resources atoke kwao Basi tuu wanashindwa.
Mkuu Cha Msingi Omba MUNGU tuu Awaadhibu wanaofanya Maamuzi ya Kuumiza wengi.[emoji3516][emoji12][emoji120][emoji41]
 
Back
Top Bottom