Hakuna tena mjadala kwamba Jon Jones ndie baba lao wa kupigana ufc, Wengine umaarufu unawabeba

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925


Achana na kina usman, mac gregor au kina Israel adesanya alietembezewa kichapo na Alex kwa mara ya tatu mfululizo.

Hili jamaa la kuitwa Jon Jones ni habari nyingine kabisa, kapoteza pambano moja tu ambalo alimtembezea sana kipigo mpinzani na kumpiga kipepsi side cut cha pua ndio akawa disqualified huku mpinzani wake akiwa hoi bin taaban.
 
Last Thing "Meeeeeeeeee........"

[emoji238][emoji238][emoji238][emoji238][emoji238][emoji238][emoji238]
 
Nawakubali wapiganaji watatu Kamaru Usman, Israel Adesanya (style bender) na Francis Ngannou..Hao jamaa ni watata sana ila nilipoona Usman na Adesanya wamepigwa nikakubali huu mchezo hauna mwenyewe.. Nasubiri kuona Francis Ngannou (mzee wa KO) akipigwa na sijui atapigwa na nani.
 
Trump anamuelewa pia huyu jamaa
 

Attachments

  • HnVideoEditor_2024_11_17_193859740.mp4
    12 MB
jon jones aka mfupa...huyu jamaa hakuna wa kumpiga katika UFC.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…