π π πWANAUME wengi sana imetutokea ama kwa kukusudia ama kwa kutokukusudia kutokana na machungu unajikuta unaandika tu KWA HIYO HUJI?
Kashaachiwa manyoyaUmetuma nauli umeliwa?
Huu mwandiko niliumiss π€£π€£π€£Sitaweza kuja, nimepata hedhi ghafla....!!!!
Hapo na nauli ulishanitumia...
Utajua hujui.
Wanaume mnateseka sana...na hamkomi tu.
Wanaume wanateseka sana shoga angu.Huu mwandiko niliumiss π€£π€£π€£
Na sie hatuchoki. Afe kipa...afe beki.Kukoma ni Kitu Hatutajaaliwa, Mchoke nyie tuu
Sub muhimuKuna mtu atakuja kusema.
Sasa ulishawahi kuona wapi first eleven inakosa super sub
My comment reserved