Hakuna timu Duniani ambapo mdhamini kaweka pesa nyingi kushinda mwekezaji

demigod

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2015
Posts
8,292
Reaction score
15,250
Ilikuwa ni lazima isubiriwe ya Mabingwa watetezi wataje yao ili walete formula yao.

Nani hakuona hili?

Cha ajabu imekuja formula ambayo haijawahi tokea duniani kote.

Yaani sponsorship deal izidi kiasi cha thamani za hisa zilizoo wekwa klabuni?

Niacheni kidogo ndugu zangu. Kama ni mchanga basi ni ule wa saa 9 tena wa kando ya bahari. Thamani halisi haionekani kwa mbwbwe za mbele ya kamera, bali kile kinachoakisiwa.

Mficha Maradhi, kifo humuumbua

Note: "Huu uzi hauna uhusiano na Mamipira."

Picha hazina uhusiano kabisa na mada hapo juu.

 
Eti Duniani hakuna ...
Sasa umeambiwa Simba Iko mbinguni?
Halafu wewe utopolo unaumia nini sasa
Kachanganyikiwa, hapo ameandika uzi wake huku analia na leso imeloa mkononi.
 
Hahahahaa hiyo vip a na vvip ndio Yale mapengo tunayaonaga uwanjani kila siku kwenye mechi zenu ambapo ikifika half time mnasomba walevi wanaokunywaga mianzini ili mkajaze uwanja na wanna naingia Bure kwa kulazimishwa
 
Mimi kwa elimu yangu ndogo ya biashara.

Mo wakati anaichukua Simba haikua na thamani hiyo so aliweka 20B kipindi hiko simba ilikua kubwa jina ila haikua na mafanikio makubwa au mafanikio yake yalikua ni historia timu ilikua na hali mbaya.

So akabadili muundo wa timu na kuweka pesa kununua wachezaji wazuri na kuifamya timu kua tishio ikiwemo kufika robo mara 2 na kuzifunga timu kubwa Al ahly na wengine ikawa timu tishio hapo sasa..ni sawa na kununua nyumba kuukuu ukaipiga rangi na kuifanyika ukarabati basi huwezi ukaja kuuza kwa bei ile ile uliyonunulia basi ndo sawa na mkataba..

Simba aliyoichukua Mo kwa 20B japo inaonekana ndogo huwezi kuifananisha na Simba ya sasa.

NB: Nimetolea mfano ila sina hakika na hizo 20B
 
Sasa wewe kinyec fc inakuuma nn
 
Wakati Yanga inapokea Hundi ya bilion 12 kutoka sportpesa, wengine wamepokea tshet iliyoprintiwa bilion 26

Wakiamini ni billion 26 kweli.[emoji23][emoji23]
Pimbi kweli wewe, yanga walionyesha hundi ya bilioni 12 wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…