Hakuna tofauti kati ya biashara na ajira

Hakuna tofauti kati ya biashara na ajira

Madini
Mara nyingi tunachanganya biashara, kazi na kujiajiri.

Iko hivi:
1. Mfanyakazi ni Mtu aliye ajiriwa au amejiajiri awe mchuuzi au mjasiriamali. Utakuwa mfanyakazi kama kipato chako kinategemea uwepo wako sehemu ya kazi.

2. Mfanyabiashara ni mtu ambaye amejenga taasisi ambayo mara nyingi ni kampuni, yenye mifumo na utaratibu rasmi wa uendeshaji wake. Hapa mwenye kampuni anaweza kupata faida hata kama hafanyi kazi. Kwa sababu kuna watu wanamfanyia kazi.

Tofauti na kazi, biashara inaingiza pesa hata bila mmiliki kuwepo au kuhusika. Mara nyingi mmiliki akishaweka mifumo madhubuti anakaa pembeni na ana oversee kwa juu pale na kuweka mikakati zaidi..

Biashara inaweza kurithishwa lakini lazi haiwezi kurithishwa. Ukiwa CEO wa kampuni kubwa hata kama unalipwa ma billion uki retire au kufa ndo mwisho wa mabilioni yako. Watoto au familia yako haiwezi kurithi kazi yako.

Utajiri unakuja pale ambapo mtu anakuwa na biashara (portifolio) zaidi ya moja. Umeshaweka mipango yako wewe unapata gawio tu, huku ukiendelea kula bata.

Infact mtoa mada ana point, kwa sababu watu wengi wanaojiita wafanyabiashara ni wafanyakazi waliojiajiri. Wabongo hatuna utamaduni wa kuweka mifumo na utaratibu wa usimamizi wa biashara zetu kiasi kwamba muhusika mkuu akiondoka na biashara inakufa.
 
Nadhani umesahau kuwa biashara inakupa wigo mpana zaidi wa kupiga hatua kuliko ajira pia biashara inakupa security kubwa ya uchumi wako kuliko ajira nimekaa kwenye ajira miaka nane kwa makampuni manne tofauti na nimekaa kwenye ujasiriamali miaka sita nimeona tafauti kubwa mno. Naona biashara haihitaji uvivu ndio mana wengi wa naishindwa. Ukiajiriwa unaweza usifanye ubunifu wowote na mzigo wako ukaupata kila mwisho wa mwezi kama kawaida ila biashara inakuchukua muda mwingi na akili sana kuendesha..hivyo kama hupendi kufikiri nje box usiingie kwenye biashara
Hakika
 
Mkuu mwajiriwa anaetafuta sympathy kwa boss wake ni yule ambaye uwezo wake wa kutenda kazi ni mdogo.mchapakazi na mtaalam katika fani yake kamwe hawezi kujipendekeza kwa boss.huwa kuna mitual respect kati yake na boss maana boss akizingua tu kuna waajiri wengine wengi wanamuhitaji.
Unaongelea ulimwengu wa kufikirika mkuu. Ni wachache mno wenye kuwa na kitu tofauti hasa katika dunia hii ya sasa ambapo kuna ushindani wa kutisha. Ukiajiriwa ujue uko chini ya sheria na kanuni bila kujali wewe ni nani.

Huwezi kupanga terms zako kwenye ajira unless wewe ni mtaalam unayelipwa kutokana na mkataba wa muda mfupi kutekeleza jambo fulani, lakini kwa ajira za kudumu, ukweli ni tofauti mno. Ukweli ndio huo.
 
Ndugu usifananishe kujiajiri na ajira...!!na ni wachache sana ambao hupata maendeleo kupitia ajira....!!

Aliyejiajiri ni boss mwenyew...!!hana mtu nyuma wa kumuamrisha...ana mteja mbele yake ambaye ana uamuzi wa kukubali au kukataa

Lkn pia maamuzi hufanya yeye mhusika na mtu mwngne...kuanzia bei...mda wa kufungua mpk cku ya mapumziko

Lakini pia aliyejiajiri anatafta future yake mwenyew na c ya mtu mwngne...!!daima kiu ya maendeleo humkuta mtu aliyejiajiri kuliko aliyeajiriwa...!!

Nakumbuka tlipokuwa field ndo nilijijua kuw kuajiriwa ni utumwa mno
Wahi saa 12
Hesab namba
Cmamia usafi
Ofisin unapanga timetable ya utachofundsha
Unamaliza cku nzima kzunguka darasa moja mpk jingne
Chakula mnakula sawa na wanafunz
Saa 8 wanfunz wanaondoka wew unabaki mpk saa 12

Just imagine hayo ndo maisha yako mpk ustaafu

Nilipostpone mwaka wa mwsho nkajpanga...nmfungua biashara...inanilipa na nnafurah nnachokifanya
Hongera sana mkuu
 
Umeongea pumba tu mnajitetea mlioajiriwa lakn ukwel mnaujua
 
Rog chimera,

Ulinganishi wako asee sio relevant kabisa
Niliwai fanya kazi financial instituation flan na nlideal sana na mambo ya mikopo.

Nakupa mifano kwa vitendo
1. Nlikua nkishika salary slip za waajiriwa wengi wao wa serikali asilimia 99.5% hawakuwai fikisha Salary inayo zidi 5M per Month na kama walikuepo niwachache sana
Ambapo kuna wafanyabiashara wadogo tu wanapata zaidi ya iyo pesa na niweng sana mfano nina jamaa namfahamu yupo Mbagala anauza kuku wa kukaanga tena bloir kwa siku anauza sio chini ya kuku 70 na kwa mwezi asipo uza sana mauzo yakipungua anafunga na 2M as profit sio sale naomba uwelewe apo. Kwa mauzo ayo just assume mtu ametoka chuo na degree yake unajua analipwa kima cha chini sh ngapi? Not more than 800K na unajua mpka afike kwenye 2M inahitajika effort gani? Inabidi ajiendeleze kitaaluma ( for instance 2 yrs ili awe na master degree ) mda huu mtu anasoma kubost mshahara wake na kupandishwa jua mwenye biashara atakua mbali

2. Wafanyakazi wengi wa serikali wanalipwa mishahara ya kipumbavu na si tu serikalin ata sector binafsi mfano unajua customer care wa voda na tigo wanalipwa sh ngapi not more than 450k pitisha apo income tax, Nssf , wengine loan board toa apo 15% na bima wanarudi nyumbani na 280k - 340k w
Je unajua kuna wamama uko mbande wanafuga kuku kwa mtaji wa 1.5M na wanapata faida ya almost 750k

Aya unajua mwalimu wa primary mwenye diploma analipwa sh ngapi 419,000 kama basic take home apo inaweza fika ata laki 280,000 jua akikopa apo atapokea 130,000 na kitu


Wakuu wa wilaya na wakuu wa mikoa unajua wanalipwa between 4-6M sema wanaposh na kwakua wapo kwenye system wanajua wanayoyafanya kupata pesa

Mfano mwingine

Najua unajua wakufunzi wengi wa vyuo vikuu wale maprofessor na madokta unajua wanalipwa kiasi gani ?
Haizidi 8M mkuu sema kinacho wabeba wanakua na posho na marupu rupu mengi na wanatengeneza pesa nyingi nje ya ajira mfano wanaandika ma proposal wanafundisha part time na mambo mengine je wametumia muda gani kuarchie ivyo vitu kama sio chini ya miaka 7-10 ila mfanyabiashara kwa muda uo atakua mbali sana.


Kuna kipindi nliwai shika salary slip ya daktari mmoja mpk anaenda staafu alikua ajagusa 5M

Uko mabank Unajua mateller wanapo anza wanalipwa kiasi gani ? Wengine mpaka 550,000 sema benefit wanazo pata ni bonus pamoja na loan za magari na nyumba zisizo na interest

Biashara inafaida zake na hasara zake lakini pia ajira inafaida zake na hasara japo
Ajira faida yake ni kua tu mtu anakua assured kila mwezi ata pokea fixed amount uki biashara mtu anaiaji ku struggle ili asishuahe mauzo

Ajira mtu anatumia salary kama collateral ya mkopo so anauwezo wa kujenga ila kwa biashara mtu kupata mkopo kwa biashara inayo anza ni ngumu na akipata ni mdogo

Ajira mtu anafaida ya Social security scheme baaada ya kustaafu ila kwa biashara hakuna labda kama alikua anafanya saving

Fatilia watu wengi walio staafu wakapata pesa zao asilimia kubwa awaendelei coz hawana elimu za biashara nje ya ajira zao

So naungana na mdau apo juu kuwa biashara inalipa sana kama ukiwa na nidhamu na ukijua unachofanya ila ajira ni utumwa uliokithiri na ulemavu wa kufikilisha ubongo
Duh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rog chimera,

Ulinganishi wako asee sio relevant kabisa
Niliwai fanya kazi financial instituation flan na nlideal sana na mambo ya mikopo.

Nakupa mifano kwa vitendo
1. Nlikua nkishika salary slip za waajiriwa wengi wao wa serikali asilimia 99.5% hawakuwai fikisha Salary inayo zidi 5M per Month na kama walikuepo niwachache sana
Ambapo kuna wafanyabiashara wadogo tu wanapata zaidi ya iyo pesa na niweng sana mfano nina jamaa namfahamu yupo Mbagala anauza kuku wa kukaanga tena bloir kwa siku anauza sio chini ya kuku 70 na kwa mwezi asipo uza sana mauzo yakipungua anafunga na 2M as profit sio sale naomba uwelewe apo. Kwa mauzo ayo just assume mtu ametoka chuo na degree yake unajua analipwa kima cha chini sh ngapi? Not more than 800K na unajua mpka afike kwenye 2M inahitajika effort gani? Inabidi ajiendeleze kitaaluma ( for instance 2 yrs ili awe na master degree ) mda huu mtu anasoma kubost mshahara wake na kupandishwa jua mwenye biashara atakua mbali

2. Wafanyakazi wengi wa serikali wanalipwa mishahara ya kipumbavu na si tu serikalin ata sector binafsi mfano unajua customer care wa voda na tigo wanalipwa sh ngapi not more than 450k pitisha apo income tax, Nssf , wengine loan board toa apo 15% na bima wanarudi nyumbani na 280k - 340k w
Je unajua kuna wamama uko mbande wanafuga kuku kwa mtaji wa 1.5M na wanapata faida ya almost 750k

Aya unajua mwalimu wa primary mwenye diploma analipwa sh ngapi 419,000 kama basic take home apo inaweza fika ata laki 280,000 jua akikopa apo atapokea 130,000 na kitu


Wakuu wa wilaya na wakuu wa mikoa unajua wanalipwa between 4-6M sema wanaposh na kwakua wapo kwenye system wanajua wanayoyafanya kupata pesa

Mfano mwingine

Najua unajua wakufunzi wengi wa vyuo vikuu wale maprofessor na madokta unajua wanalipwa kiasi gani ?
Haizidi 8M mkuu sema kinacho wabeba wanakua na posho na marupu rupu mengi na wanatengeneza pesa nyingi nje ya ajira mfano wanaandika ma proposal wanafundisha part time na mambo mengine je wametumia muda gani kuarchie ivyo vitu kama sio chini ya miaka 7-10 ila mfanyabiashara kwa muda uo atakua mbali sana.


Kuna kipindi nliwai shika salary slip ya daktari mmoja mpk anaenda staafu alikua ajagusa 5M

Uko mabank Unajua mateller wanapo anza wanalipwa kiasi gani ? Wengine mpaka 550,000 sema benefit wanazo pata ni bonus pamoja na loan za magari na nyumba zisizo na interest

Biashara inafaida zake na hasara zake lakini pia ajira inafaida zake na hasara japo
Ajira faida yake ni kua tu mtu anakua assured kila mwezi ata pokea fixed amount uki biashara mtu anaiaji ku struggle ili asishuahe mauzo

Ajira mtu anatumia salary kama collateral ya mkopo so anauwezo wa kujenga ila kwa biashara mtu kupata mkopo kwa biashara inayo anza ni ngumu na akipata ni mdogo

Ajira mtu anafaida ya Social security scheme baaada ya kustaafu ila kwa biashara hakuna labda kama alikua anafanya saving

Fatilia watu wengi walio staafu wakapata pesa zao asilimia kubwa awaendelei coz hawana elimu za biashara nje ya ajira zao

So naungana na mdau apo juu kuwa biashara inalipa sana kama ukiwa na nidhamu na ukijua unachofanya ila ajira ni utumwa uliokithiri na ulemavu wa kufikilisha ubongo
Mkuu umetiririka mpaka nimebid nianze kusoma tena upya hongera sana
 
Rog chimera,

Ulinganishi wako asee sio relevant kabisa
Niliwai fanya kazi financial instituation flan na nlideal sana na mambo ya mikopo.

Nakupa mifano kwa vitendo
1. Nlikua nkishika salary slip za waajiriwa wengi wao wa serikali asilimia 99.5% hawakuwai fikisha Salary inayo zidi 5M per Month na kama walikuepo niwachache sana
Ambapo kuna wafanyabiashara wadogo tu wanapata zaidi ya iyo pesa na niweng sana mfano nina jamaa namfahamu yupo Mbagala anauza kuku wa kukaanga tena bloir kwa siku anauza sio chini ya kuku 70 na kwa mwezi asipo uza sana mauzo yakipungua anafunga na 2M as profit sio sale naomba uwelewe apo. Kwa mauzo ayo just assume mtu ametoka chuo na degree yake unajua analipwa kima cha chini sh ngapi? Not more than 800K na unajua mpka afike kwenye 2M inahitajika effort gani? Inabidi ajiendeleze kitaaluma ( for instance 2 yrs ili awe na master degree ) mda huu mtu anasoma kubost mshahara wake na kupandishwa jua mwenye biashara atakua mbali

2. Wafanyakazi wengi wa serikali wanalipwa mishahara ya kipumbavu na si tu serikalin ata sector binafsi mfano unajua customer care wa voda na tigo wanalipwa sh ngapi not more than 450k pitisha apo income tax, Nssf , wengine loan board toa apo 15% na bima wanarudi nyumbani na 280k - 340k w
Je unajua kuna wamama uko mbande wanafuga kuku kwa mtaji wa 1.5M na wanapata faida ya almost 750k

Aya unajua mwalimu wa primary mwenye diploma analipwa sh ngapi 419,000 kama basic take home apo inaweza fika ata laki 280,000 jua akikopa apo atapokea 130,000 na kitu

Wakuu wa wilaya na wakuu wa mikoa unajua wanalipwa between 4-6M sema wanaposh na kwakua wapo kwenye system wanajua wanayoyafanya kupata pesa

Mfano mwingine

Najua unajua wakufunzi wengi wa vyuo vikuu wale maprofessor na madokta unajua wanalipwa kiasi gani ?
Haizidi 8M mkuu sema kinacho wabeba wanakua na posho na marupu rupu mengi na wanatengeneza pesa nyingi nje ya ajira mfano wanaandika ma proposal wanafundisha part time na mambo mengine je wametumia muda gani kuarchie ivyo vitu kama sio chini ya miaka 7-10 ila mfanyabiashara kwa muda uo atakua mbali sana.

Kuna kipindi nliwai shika salary slip ya daktari mmoja mpk anaenda staafu alikua ajagusa 5M

Uko mabank Unajua mateller wanapo anza wanalipwa kiasi gani ? Wengine mpaka 550,000 sema benefit wanazo pata ni bonus pamoja na loan za magari na nyumba zisizo na interest

Biashara inafaida zake na hasara zake lakini pia ajira inafaida zake na hasara japo
Ajira faida yake ni kua tu mtu anakua assured kila mwezi ata pokea fixed amount uki biashara mtu anaiaji ku struggle ili asishuahe mauzo

Ajira mtu anatumia salary kama collateral ya mkopo so anauwezo wa kujenga ila kwa biashara mtu kupata mkopo kwa biashara inayo anza ni ngumu na akipata ni mdogo

Ajira mtu anafaida ya Social security scheme baaada ya kustaafu ila kwa biashara hakuna labda kama alikua anafanya saving

Fatilia watu wengi walio staafu wakapata pesa zao asilimia kubwa awaendelei coz hawana elimu za biashara nje ya ajira zao

So naungana na mdau apo juu kuwa biashara inalipa sana kama ukiwa na nidhamu na ukijua unachofanya ila ajira ni utumwa uliokithiri na ulemavu wa kufikilisha ubongo
Ni kweli asee
 
Nitatofautiana na wewe kwenye maana ya mfanyabiashara. Naona wewe unachanganya maana ya mfanyabiashara na mifumo ya kufanyia baishara.

Mfanyabiashara, huyu ni mtu yeyote anayefanya biashara halali. Biashara ni kitendo cha mtu au watu ktk mfumo wa kibiashara waliouchagua, kuuza huduma au bidhaa kwa nia ya kupata fedha. Biashara inaweza kuwa for profit or for charitable cause. Inaweza kumilikiwa na serikali au watu binafsi.

Now...mifumo ya kufanya biashara ni ipi kwa hapa Tz?
1. Sole proprietor..huyu ni mfanyabiashra binafsi, yaani mtu mmoja anaamua kufungua business yeye kama yeye, na anaimiliki yeye mwenyewe. Eg mangi kafungua kiosk chake mtaani, au mtu kaweka kibanda cha Mpesa, Au kanunua daladala 10 kazisajili kwa jina lake zinapiga mzigo daily. In short ni biashara yoyote ile halali, ila inamilikiwa na mtu binafsi, individually.
Disadvantage ya mfumo huu wa kibiashara ni kuwa mmiliki akifa na biashara inasimama maana owner hayupo, na itakuwa sehemu ya mirathi yake itakayogawiwa kwa wanafaika wa mirathi hiyo.

Pia mfumo huu hauna kikomo cha uwajibikaji kama ilivyo kwa makampuni...lolote likitokea utashitakiwa mmiliki personally.

2. Ubia/partnership
Wabia, na watu kuanzia wawili na kuendelea ambao wameamua kushirikiana kubiashara, wakigawana faida na hasara. Wanaweza kusajili jina lao la kibiashara. Usually huwa mnatengeneza mkataba wenu wa ubia(parnership deed, ikielezea taratibu za ubia huo)
Mfumo huu pia hauno ukomo wa uwajibikaji(limited liability), mnaweza kushitakiwa wabia wote hata kama ni partner mmoja ndiye kazingua huko nje. Au mdai anaweza kumchagua partner anyeonekana ana ukwasi ndiyo akamshitaki, Na mali zenu binafsi zinaweza kutumika kufidia madeni ya ubia wenu.

Ubia unaweza kuisha pale ambapo mbia mmoja akifariki, au kwa makubaliano ya wabia wote, au kwa amri ya mahakama, au kusudio la ubia likiisha, mfano wapo wanoingia kwenye ubia kukamilisha project fulani, hiyo project ikiisha na ubia umeisha.

Kodi hulipwa na kila mbia personally kwa kila pato apatalo katika ubia huo.

3. Kampuni.
Kisheria zetu, kampuni ikishasajiliwa ni mtu kabisa(artificial person) anayemiliki mali zake, anaajiri wafanyakazi, anaweza kushitaki au kushitakiwa n.k ila nyuma ya mtu huyo, yaani kampuni wamejificha watu waitwao wanahisa.

Mfumo huu wa biashara una ukomo wa uwajibikaji, yaani limited liability. Ikiwa na maana ya kuwa mashitaka yanayoihusu kampuni yataihusu kampuni pekee na si wanahisa, mali binafsi za wanahisa hazitatumika kwenye kulipa madeni ya kampuni.

Isipokuwa mwanahisa atawajibika kwa kiwango cha hisa zake ktk kampuni ambazo alikuwa hajazilipia. Eg kama mwanahisa alikuwa na hisa 50, na amelipia 30 walipofanya kitu kiitwacho kitaalamu "call of shares", basi ikitokea kampuni inawajibika au inavunjwa basi mwanahisa huyo atalipa thamani ya hisa zake 20 tu ambazo alikuwa hajazilipia na si zaidi ya hapo.

Ni katika mazingira machache sana ambako wanahisa wenyewe wanaweza kushitakiwa personally, hii kitaalamu tunaita "...lifting of the veil of incorporation"

Kodi hulipwa na kampuni lenyewe likitengeneza faida, na pia gawio la wanahisa (dividend) nalo hukatwa kodi. Kampuni linaweza kurithishwa vizazi na vizazi.

Kampuni linaweza kuwa la umma, yaani public limited company, haya ni makampuni ambayo yanauza hisa kwa wananchi kwenye soko la hisa la Dar, DSE. Mfano CRDB na Vodacom. Kampuni linaweza kuwa private, yaani linamilikiwa na watu wanaoanzia wawili lakini hawazidi 50. Kampuni linaweza kuwa la charity, not for profit, limited by guarantee.

Lastly, ipo mifumo mingi ya ku earn money, unaweza kuajiriwa na wamiliki wa biashara kwenye mifumo niliyoitaja hapo juu. Unaweza kumiliki biashara kama sole proprietor, au ukaingia kwenye ubia na mtu/watu. Unaweza kumiliki kampuni ambao ni mfumo bora kabisa kuliko hiyo ya mwanzo miwili. Lakini yote kwa yote, unaweza kuwa Investor ktk makampuni yanayouza hisa.
[emoji106]
 
Rog chimera,

Ulinganishi wako asee sio relevant kabisa
Niliwai fanya kazi financial instituation flan na nlideal sana na mambo ya mikopo.

Nakupa mifano kwa vitendo
1. Nlikua nkishika salary slip za waajiriwa wengi wao wa serikali asilimia 99.5% hawakuwai fikisha Salary inayo zidi 5M per Month na kama walikuepo niwachache sana
Ambapo kuna wafanyabiashara wadogo tu wanapata zaidi ya iyo pesa na niweng sana mfano nina jamaa namfahamu yupo Mbagala anauza kuku wa kukaanga tena bloir kwa siku anauza sio chini ya kuku 70 na kwa mwezi asipo uza sana mauzo yakipungua anafunga na 2M as profit sio sale naomba uwelewe apo.

Kwa mauzo ayo just assume mtu ametoka chuo na degree yake unajua analipwa kima cha chini sh ngapi? Not more than 800K na unajua mpka afike kwenye 2M inahitajika effort gani? Inabidi ajiendeleze kitaaluma ( for instance 2 yrs ili awe na master degree ) mda huu mtu anasoma kubost mshahara wake na kupandishwa jua mwenye biashara atakua mbali

2. Wafanyakazi wengi wa serikali wanalipwa mishahara ya kipumbavu na si tu serikalin ata sector binafsi mfano unajua customer care wa voda na tigo wanalipwa sh ngapi not more than 450k pitisha apo income tax, Nssf , wengine loan board toa apo 15% na bima wanarudi nyumbani na 280k - 340k w
Je unajua kuna wamama uko mbande wanafuga kuku kwa mtaji wa 1.5M na wanapata faida ya almost 750k

Aya unajua mwalimu wa primary mwenye diploma analipwa sh ngapi 419,000 kama basic take home apo inaweza fika ata laki 280,000 jua akikopa apo atapokea 130,000 na kitu

Wakuu wa wilaya na wakuu wa mikoa unajua wanalipwa between 4-6M sema wanaposh na kwakua wapo kwenye system wanajua wanayoyafanya kupata pesa

Mfano mwingine

Najua unajua wakufunzi wengi wa vyuo vikuu wale maprofessor na madokta unajua wanalipwa kiasi gani ?
Haizidi 8M mkuu sema kinacho wabeba wanakua na posho na marupu rupu mengi na wanatengeneza pesa nyingi nje ya ajira mfano wanaandika ma proposal wanafundisha part time na mambo mengine je wametumia muda gani kuarchie ivyo vitu kama sio chini ya miaka 7-10 ila mfanyabiashara kwa muda uo atakua mbali sana.

Kuna kipindi nliwai shika salary slip ya daktari mmoja mpk anaenda staafu alikua ajagusa 5M

Uko mabank Unajua mateller wanapo anza wanalipwa kiasi gani ? Wengine mpaka 550,000 sema benefit wanazo pata ni bonus pamoja na loan za magari na nyumba zisizo na interest

Biashara inafaida zake na hasara zake lakini pia ajira inafaida zake na hasara japo
Ajira faida yake ni kua tu mtu anakua assured kila mwezi ata pokea fixed amount uki biashara mtu anaiaji ku struggle ili asishuahe mauzo

Ajira mtu anatumia salary kama collateral ya mkopo so anauwezo wa kujenga ila kwa biashara mtu kupata mkopo kwa biashara inayo anza ni ngumu na akipata ni mdogo

Ajira mtu anafaida ya Social security scheme baaada ya kustaafu ila kwa biashara hakuna labda kama alikua anafanya saving

Fatilia watu wengi walio staafu wakapata pesa zao asilimia kubwa awaendelei coz hawana elimu za biashara nje ya ajira zao

So naungana na mdau apo juu kuwa biashara inalipa sana kama ukiwa na nidhamu na ukijua unachofanya ila ajira ni utumwa uliokithiri na ulemavu wa kufikilisha ubongo
Amen.

#YNWA
 
ajira na kijiajir na vWili ajira ni kama pesa 10000 we yakoni100
 
Unajua hapa mjini ukilipwa 1.5M wewe mtaani unaonekana mfanyakazi wa maana,unakuta vizuri,watoto utasimesha private hizi za kawaida kiufupi heshima mtaani unapata.

Kwa mwaka una 19.5M hapo ni kama huna mkopo wowote .

Lakini kwenye biashara unaweza ukapata tender moja ya 50m ukaifanya kwa 15m faida 35m yaani tenda moja unapata mshahara wa miaka 2 ya mtu
 
nyinyi wafanya kazi mnachotuzidi sisi wajasiliamali ni madeni tu.
 
Mkuu umejaribu kupita au kupata exposure kwenye makampuni binafsi?...

Tuanze na haya
1. Biashara kama Mo.entreprises hiwesi fananisha na mkurujenzi yoyote wa juu hata spate mshahara was bill 5 Kwa mwaka ,mfano MEtl INA revenue za bilioni 70 kwenye vinywaji tu na trilioni 2 Kwa ujumla .sasa assume Net Margin in 25% ? Mkurugenzi gani was juu anapata bil hata 10 mashahara?

-mkurugenzi anaelipwa sana mfano Kenya anapata tsh mil 200 Kwa mwezi late CEO wa safaricom

2. Ukizungumzia SMEs labda sanasana medium enterprises....ila large enterprises wapo watanzania wanazimiliki zikitengeneza faida bilioni hadi 10 Kwa mwaka

3.Unawajua watanzania wenyehisa nyingi kwenye mabenki?au taasisi kubwa hapa tanzania?.......
CEO wote mfano hapa tanzania share based compensations sijawahi ona kwenye large businesses anaemiliki hata 1% ,compensation ni ndogo sana ukilinganisha na dividends or residual /reserves
4.in general employees wanakula 10-20% ,shareholders they take it all

5.Biashara ni kaz pia kama kazi nyingime ,Luna wafanyabiasahra wadogo na wakubwa,pia kunawafanyakazi wadogo na wakubwa...............sio kila MTU anaweza Fanya Biashara,ila kama una passion na capability ,

Biashara it pays than salary ,sababu sekta binafsi ndio imeajiri sana kuliko hata serikali....sekta rasmi pia IPO mbele kwenye ajira ,ambapo Biashara zinamilikiwa na watu
Umepigilia nyundo .....mleta Uzi akarudie homework
 
Back
Top Bottom