Hakuna Tume Huru, hakuna uchaguzi utakaokubalika nchini Waziri Selemani Jafo awajibike kwa kuharibu uchaguzi

Zito hapo wa kujiuzuru ni Waziri kamili na huyo msaidizi wake ni kwa uwajibikaji tuu! lakini naona mnamruka kumuongelea huyo waziri kamili wa wizara hiyo.

In that first place sikujua kwanini hiyo wizara ilitoka kwa waziri mkuu mpaka huko iliko, kumbe ni kwa mkakati mfu huu!
 
Solution itapatikana kwa kufanya maamuzi magumu kama inavyofanyika katika mataifa mengine.Magu na CCM ni maadui wa demokrasia hivyo ni lazima zitumike mbinu/njia za kuwalazimisha waheshimu demokrasia na si vinginevyo.

Tusijidanganye!!!
 
Wapinzani walinusa dalili za kushindwa

Wakaamua kijiondoa kukwepa aibu

Hivi kwa uchapakazi wa Magufuli kuna mtu ana muda wa kusikiliza Wapinzani?
Hizo kazi unazodai huyo haramia anafanya anamfanyiaga mama ako nn ndomana mwezetu unaziona nakufaidika nazo,mana kilasiku unaziona mana zipondani ya kutazenu zanyumba ndomana imekua rahisi uzione
 
Ugonjwa was moyo unakufuata.
Maana unachosema na ukweli ni tofauti.
Process zote zinaendelea.
 
MWISHO WA SIKU SISI WATANZANIA BADO HATUJACHOKA NA UGUMU WA MAISHA. MTUACHE TUKICHOKA TUTAAMUA WENYEWE BILA KUPITIA VYAMA VYENU VYA SIASA. KWA SASA TUNAWATAZAMA MNAVYOJIKUNA WENYEWE HUKU MKILIPANA RUZUKU NA PISHO ZA VIKAO
 
Wapinzani walinusa dalili za kushindwa

Wakaamua kijiondoa kukwepa aibu

Hivi kwa uchapakazi wa Magufuli kuna mtu ana muda wa kusikiliza Wapinzani?
Watetezi wa CCM mitandaoni ni wapumbavu
 
Huyu mzushi ambaye hata aibu hana.
 
"You give them an inch they ask for a mile"
 
Huyu Zitto Wananchi tumechoka na siasa zake za ulaghai

Kuna kijana anayekubalika kigoma yote amerudi Ccm leo ,huyu Ndio mrithi wa Zitto sasa
Wewe jamaa Unafanya kazi saa ngapi? Au hii kutetea chama Tawala ndio ajira yako hapa?
 
Wapinzani walinusa dalili za kushindwa

Wakaamua kijiondoa kukwepa aibu

Hivi kwa uchapakazi wa Magufuli kuna mtu ana muda wa kusikiliza Wapinzani?
Nyie wajinga sana kama anachapa kazi kwa nini watendaji wajifiche na kufunga ofisi?
 
Zitto wewe ni mnafiki na mchochezi mmoja hapa Nchini
wewe na wanavyama wenzia tayari mshagomea uchaguzi sasa mnalalamikia nini
gomeeni nchini
 
Huyu Zitto Wananchi tumechoka na siasa zake za ulaghai

Kuna kijana anayekubalika kigoma yote amerudi Ccm leo ,huyu Ndio mrithi wa Zitto sasa
Buku 7 unazopata unazotendea haki, kazi unayoifanya siyo mchezo japo ni ya kitoto sana.
 
Tume Huru mliikataa Bunge maalum la Katiba mkatoka wote kwa ujinga CCM wakaipitisha
Kwa sasa ni bora mkadai Katiba pendekezwa ambayo ipo kwenye makabati ya Ikulu ipigiwe kura ya ndiyo au hapana hiyo ndiyo salama yenu.
Huko mtapata Tume Huru vinginevyo kaeni kimya hatutaki ngonjera zenu.
 
Ndugu Zitto. Tume huru kwa sasa ni kama Ndoto ya Alinacha
 
Kwa mara ya kwanza ninashuhudia nadharia ya refa, goalkeeper na striker akiwa ni mtu mmoja tu, huhitaji mtaalamu wa mchezo kujua matokeo yatakuwaje!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…