Mmoja ni Allah.ila wakristo mna Mungu watatu kweli si kweli?Kwani Kuna MUNGU wangapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmoja ni Allah.ila wakristo mna Mungu watatu kweli si kweli?Kwani Kuna MUNGU wangapi?
hapana tuna MUNGU mmoja, ambaye yupo KATIKA nafas 3Mmoja ni Allah.ila wakristo mna Mungu watatu kweli si kweli?
50thebe
Je, wajua kuwa Zaburi ya Daud pia imo kwenye Quran?
HUU UONGO UMEUTOA WAPI?
UNAWEZA KUTUAMBIA ZABURI IPO KWENYE SURA IPI NDANI YA QURAN?
KWANZA UNAFAHAMU MAANA YA NENO "ZABURI"??
Sijakuomba picha ,jibu hayo maswali niliyokuulizaIkiwa hujui kuhusu maandiko ya manabii hawa, inabidi uniache nitambe na uongo wangu ....maana mimi sio shule ya awali, wala sio shule ya secondary wala sio chuo kikuu kusema nikufundishe upate elimu.
kwa hiyo kuna Nafsi tatu Ebu zitaje kwa vyeo vyake hizo nafsi.hapana tuna MUNGU mmoja, ambaye yupo KATIKA nafas 3
Sijakuomba picha ,jibu hayo maswali niliyokuuliza
Simple tu
Huna jibu ,nilitaka nikudake ,Quran eti Ina zaburiHiyo ya "simple tu" hainihusu.
Kama hujui habari za Sayyidna Dawud sio jukumu langu kukujulisha.
Huna jibu ,nilitaka nikudake ,Quran eti Ina zaburi
Kwanza tu Neno Zaburi hata maana yake hujui
Wewe unayejua ,weka hapa ZaburiRudi ukasome upya. Huna ujualo kuhusu Quran. Kuitwa Hamis haina maana kuwa unayo elimu ya kutosha kuhusu Quran na Uislam.
Jaribu kuelewa, MUNGU NI MMOJA MUNGU BABA, NA NDIYE ALIYEMTUMA YESU KUJA KUHUBIRI NENO LA MUNGU HAPA DUNIANI, NA BAADA YA KUONDOKA KWA YESU MUNGU BABA AKAACHILIA ROHO MTAKATIFU AKAPATE KUISHI NDANI YETU NA KUTUONGOZA KATIKA ILE KWELI ALIYOIHUBIRI YESU. NA ROHO MTAKATIFU TUTADUMU NAYE MPAKA UKAMILIFU WA MFUMO WA MAMBO (KIHAMA)kwa hiyo kuna Nafsi tatu Ebu zitaje kwa vyeo vyake hizo nafsi.
Acha kuidanganya nafsi yako kama kuna Baba inamaana kuna.....Jaribu kuelewa, MUNGU NI MMOJA MUNGU BABA, NA NDIYE ALIYEMTUMA YESU KUJA KUHUBIRI NENO LA MUNGU HAPA DUNIANI, NA BAADA YA KUONDOKA KWA YESU MUNGU BABA AKAACHILIA ROHO MTAKATIFU AKAPATE KUISHI NDANI YETU NA KUTUONGOZA KATIKA ILE KWELI ALIYOIHUBIRI YESU. NA ROHO MTAKATIFU TUTADUMU NAYE MPAKA UKAMILIFU WA MFUMO WA MAMBO (KIHAMA)
MUNGU MMOJA (YESU aliyesema "anipokeaye Mimi ampokea yule aliyenituma", pia andiko linasema "kama hujamkili YESU kuwa mwokozi HUWEZI kaurithi ufalme WA mbingu, maana naye atakukataa mbele za MUNGU Baba MUNGU MKUU, na muumba WA vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana Kwa macho ya nyama*Acha kuidanganya nafsi yako kama kuna Baba inamaana kuna.....
Wakristo Wanamtambuaje Yesu kwenye Moja ya Nafasi Hizi🙁a)Nabii Aliyetumwa Na Mungu? Au (b) Mwana wa Mungu?Au (c) Mungu?MUNGU MMOJA (YESU aliyesema "anipokeaye Mimi ampokea yule aliyenituma", pia andiko linasema "kama hujamkili YESU kuwa mwokozi HUWEZI kaurithi ufalme WA mbingu, maana naye atakukataa mbele za MUNGU Baba MUNGU MKUU, na muumba WA vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana Kwa macho ya nyama*
YESU sio nabii, yeye ni Mwana wa MUNGU, alikuta ulimwenguni Kwa umbo la kibinadamu kupitia uweza WA roho MTAKATIFU (roho WA MUNGU alimfunika Bi marium ikatokeza mimba) YESU alikuja kuuokoa ulimwengu na dhambi yaani alileta ubatizo WA ondoleo la dhambi, Kwa maana biblia inaoonesha kabisa mipango WA MUNGU Wa kumtuma mwanae ili akafanyike sadaka ya ondoleo la dhambi badala ya MWANADAMU, pitia kisa Cha Ibrahim kumchinja Isaka. YESU ni MUNGU MWANA, ILA BILA MUNGU MKUU HAKUNA YESU, KWAHYO NAYE YESU ANAPOKEA MAMLAKA KUTOKA KWA MUNGU MKUU.Wakristo Wanamtambuaje Yesu kwenye Moja ya Nafasi Hizi🙁a)Nabii Aliyetumwa Na Mungu? Au (b) Mwana wa Mungu?Au (c) M
Ametakasika Mwenyezi Mungu!Kwa hiyo Unamaanisha Wakristo Wote Hawana Dhambi? Yaani Mungu Hakuwa na Mpango Mwingine Mpaka Hamfanye Binadamu kuwa Kikomboleo Cha Dhambi? Swala la Ibrahimu Kumchinja Mwanawe Ilikuwa ni Kupima Imani Ya Baba Na Mtoto Haina Uhusiano wowote Na Tukio la Kutungwa La Yesu.ume
YESU sio nabii, yeye ni Mwana wa MUNGU, alikuta ulimwenguni Kwa umbo la kibinadamu kupitia uweza WA roho MTAKATIFU (roho WA MUNGU alimfunika Bi marium ikatokeza mimba) YESU alikuja kuuokoa ulimwengu na dhambi yaani alileta ubatizo WA ondoleo la dhambi, Kwa maana biblia inaoonesha kabisa mipango WA MUNGU Wa kumtuma mwanae ili akafanyike sadaka ya ondoleo la dhambi badala ya MWANADAMU, pitia kisa Cha Ibrahim kumchinja Isaka. YESU ni MUNGU MWANA, ILA BILA MUNGU MKUU HAKUNA YESU, KWAHYO NAYE YESU ANAPOKEA MAMLAKA KUTOKA KWA MUNGU MKUU.
Nyuzi mnaanzisha nyie badae mnalaumu waislamuBila biblia na ukristo, hakuna quran wala uislam. Quran na uislam vimejengwa kwenye torati ambayo ilianzia kwenye ukristo. Hadithi zake kuu kama vile uumbaji wa Adam na Hawa, ukuu wa Ibrahim kama baba wa wote, sharia, tabia na mengine vina asili kwenye torati. Najiuliza. Kama ukristo ungedukua quran, ingekuwaje?