Hakuna uhusiano wowote wa Sadaka za Mbowe kwa Mh.Lissu na Lissu kuitaka nafasi ya Uenyekiti Taifa, vinginevyo Mbowe awe mkweli tu!

Hakuna uhusiano wowote wa Sadaka za Mbowe kwa Mh.Lissu na Lissu kuitaka nafasi ya Uenyekiti Taifa, vinginevyo Mbowe awe mkweli tu!

Bulelaa

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2024
Posts
1,342
Reaction score
3,247
Huyu jamaa bado hajasema, mpaka aseme

Kwani kuna uhusiano gani kati ya sadaka alizozitoa kumpa Lissu linapokuja suala la Lissu kugombea nafasi ya Uenyekiti mpaka akumbushie sadaka alizompa Lissu?

Kumpa nyumba ya kukaa pale Dodoma inaleta uhusiano wowote kwenye kugombea nafasi aliyonayo mbowe au ndio kubanwa huko?

Kutoa nauli za ndege sijui fedha za kwenda kuwatetea wananchi mara machimboni huko, kuna uhusiano upi Lissu anapohitaji kugombea nafasi ya Uenyekiti Taifa?

Mbowe awe mkweli, mi nadhani kuna siri kubwa zaidi ya madai yake haya yasiyo na mwelekeo wowote

Yeye aseme kama kuna mkataba aliousaini huko gizani watu wengi na wanachadema tusijue

Maana hata ukiangalia, watu wengi wanaomtetea Mbowe, ni makada wa CCM

Yaani CCM ndio wawe na huruma mno na Chadema kuliko wanachadema wenyewe, kweli?

Hakuna mkataba wowote uliosainiwa kati yao hawa wapendanao?

Kama lipo lililojificha, Mbowe atoke hadharani pia aliseme tu, maana si kwa kugombana huko na kila mwenye kutia nia nafasi ya Uenyekiti

Lissu kamatia hapo hapo mpaka aseme kwani bado hajasema!
 
Unadhani CCM wanamfanyia kampeni za wazi Mbowe kwa sababu wanataka ashinde? Wanafanya hivyo ili aonekane kibaraka wa CCM ili achaguliwe wanaemtaka ambae ni Lissu.

Amandla...
 
Mfundisheni mwenzenu shukran tangu hizo sadaka ziache kutolewa ndio yametokea yote.Kwa nini alipokea!!hata kwa Mungu hakuna sadaka ya bure,sadaka zote zina makusudio.
 
Huyu jamaa bado hajasema, mpaka aseme

Kwani kuna uhusiano gani kati ya sadaka alizozitoa kumpa Lissu linapokuja suala la Lissu kugombea nafasi ya Uenyekiti mpaka akumbushie sadaka alizompa Lissu?

Kumpa nyumba ya kukaa pale Dodoma inaleta uhusiano wowote kwenye kugombea nafasi aliyonayo mbowe au ndio kubanwa huko?

Kutoa nauli za ndege sijui fedha za kwenda kuwatetea wananchi mara machimboni huko, kuna uhusiano upi Lissu anapohitaji kugombea nafasi ya Uenyekiti Taifa?

Mbowe awe mkweli, mi nadhani kuna siri kubwa zaidi ya madai yake haya yasiyo na mwelekeo wowote

Yeye aseme kama kuna mkataba aliousaini huko gizani watu wengi na wanachadema tusijue

Maana hata ukiangalia, watu wengi wanaomtetea Mbowe, ni makada wa CCM

Yaani CCM ndio wawe na huruma mno na Chadema kuliko wanachadema wenyewe, kweli?

Hakuna mkataba wowote uliosainiwa kati yao hawa wapendanao?

Kama lipo lililojificha, Mbowe atoke hadharani pia aliseme tu, maana si kwa kugombana huko na kila mwenye kutia nia nafasi ya Uenyekiti

Lissu kamatia hapo hapo mpaka aseme kwani bado hajasema!
Anajiliza tu
 
Back
Top Bottom