Hakuna ujumbe unamtoa mwanaume jasho kama "sizioni siku zangu"

rikiboy

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2017
Posts
21,952
Reaction score
43,265
Hakuna Msg inamtoa mwanaume Jasho LA kutosha Kama Hiiii bora Uombwe hela.. Hapo ndo huwa unaapa viapo vyote kuwa hutaenda kavu tenaa na kujiona mjingaa kabisaaa...[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Huwa unamjibu vipi akikwambia hivyo??
 
Hakuna Msg inamtoa mwanaume Jasho LA kutosha Kama Hiiii bora Uombwe hela.. Hapo ndo huwa unaapa viapo vyote kuwa hutaenda kavu tenaa na kujiona mjingaa kabisaaa...[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Huwa unamjibu vipi akikwambia hivyo??
Afu ukute n student
 
Kama hazioni azitafute tuu huko ndani, kuna mahala atakua aliweka akasahau...
 
Mbaya zaidi awe Mwanafunzi, April Mwaka Jana demu wangu Mmoja mwanafunzi (Alikuwa Form 5) nikamuwasha baada ya wiki kadhaa ati haoni siku zake, Nilipanik nikaziona mvua 30 zilee... kumbe zile ratiba zao huwa zinashake hata kwa Range ya Mwezi!
 
unaweza ujikakamua tu kwa nje ila moyoni unajijua hali unayo pitia
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Aisee
 
Mbaya zaidi awe Mwanafunzi, April Mwaka Jana demu wangu Mmoja mwanafunzi (Alikuwa Form 5) nikamuwasha baada ya wiki kadhaa ati haoni siku zake, Nilipanik nikaziona mvua 30 zilee... kumbe zile ratiba zao huwa zinashake hata kwa Range ya Mwezi!
Wakusoma wengi huwa wanapanic Sana aisee... Uogaa tuu wanaogopaa sana
 
Akiwa denti unauona mpaka wa Zimbabwe uleeee naelekea Sauzi
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kesi ya mwanafunzi sioo...genye zote zitakataa
 
Inategemea Mkuu labda kwa wanafunzi wa kiume,mtu kama BASHITE akiambiwa hivi anaweza akahonga mil 100 kwa huyo aliyemwambia.
 
Ukipanic tu wanakula mpunga wako. Wanawake tena hao madenti ndo wajanja, mashakumaku na mabaradhuli hujawahi kuona. Anakutega ili umpe pesa ya kutolewa mimba hewa.
Wewe mwambie azae tu utalea mtoto uone kama mimba haijapotea katika mazingira ya kutatanisha.
 
Sijawah Wakatalia Iyo Kauli Hawa Viumbe Lakini Cha Ajabu Huwa Nikiona Kimya Nikajitusu Kuulizia Kinachoendelea Naambiwa Nilikosea Kusoma Tarehe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…