choupa moting
JF-Expert Member
- Dec 27, 2016
- 1,508
- 2,563
Hizi huku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji16][emoji16][emoji16]Unapigwa kizinga safiiiKumbe huwa mnapanic....
Pamoja na yote ila hii pia huwa ni mbinu ya kupigia mzinga, hata yule mwenye masters ya ubahili hapa hachomoki, yani hachomokii
Kizinga cha mimba ni uhakika, mkeka hauchaniki[emoji24][emoji24][emoji24][emoji16][emoji16][emoji16]Unapigwa kizinga safiii
Yule wako vip?Akiwa denti msala
Kumbe huwa mnapanic....
Pamoja na yote ila hii pia huwa ni mbinu ya kupigia mzinga, hata yule mwenye masters ya ubahili hapa hachomoki, yani hachomokii
Huyo anakua sio bahili, yupo kundi lingineHujawakuta wenye PhD ya ubahili, yani unakanwa wewe pamoja na mimba yako, mtu anakujibu sikufahamu mchana kweupee
Huyu mwanamke anayeandika haya makorokocho mnawatoa wapi?Ilinitokea Mimi juzijuzi tu msala was mimba sio POA
View attachment 886817View attachment 886818View attachment 886819
[emoji23][emoji23][emoji23] asee bora kitanzi kuliko 30yearsAfu ukute n student
Kwani mkuu ulipiga ukadondosha yote humoMbaya zaidi awe Mwanafunzi, April Mwaka Jana demu wangu Mmoja mwanafunzi (Alikuwa Form 5) nikamuwasha baada ya wiki kadhaa ati haoni siku zake, Nilipanik nikaziona mvua 30 zilee... kumbe zile ratiba zao huwa zinashake hata kwa Range ya Mwezi!
Au demu usiye na mpango naye duu.Afu ukute n student
Aaah Mkuu si demu wangu, na kupiga Mahesabu ni kama alikuwa hatashika na hakushika kweli!Kwani mkuu ulipiga ukadondosha yote humo
Aaah Mkuu si demu wangu, na kupiga Mahesabu ni kama alikuwa hatashika na hakushika kweli!
wewe tu mkuu!Basi sawa wengine nyota hizo hatuna ya kuwapatia kama wewe
Kama mim sinaga muda wa kushtukaUnaanzaje kushtuka wakat ulichofanya unakijua???