Hakuna ujumbe unamtoa mwanaume jasho kama "sizioni siku zangu"

Hakuna ujumbe unamtoa mwanaume jasho kama "sizioni siku zangu"

Kama mim sinaga muda wa kushtuka
sjajua mshtuko unakuja vipi wakat nyote mwajua mkifanya siku za hatari mimba itakuwepo labda sababu maalum tu ziwepo, halaf unaambiwa siku sizioni mtu anamaka hahaha
 
sjajua mshtuko unakuja vipi wakat nyote mwajua mkifanya siku za hatari mimba itakuwepo labda sababu maalum tu ziwepo, halaf unaambiwa siku sizioni mtu anamaka hahaha
Ukishasema tu.. Natulia nakupa muda labda siku zimepishana bdala ya hapo nikiona tofauti jiandae kujifungua baada ya miezi tisa... Ntalea hata kama mtoto siyo wangu.
 
Kama tarehe imepita anatakiwa ake hata wki mbili kujiangalizia zikipita zii hapo kipimo muhim kuthibitisha
Ukishasema tu.. Natulia nakupa muda labda siku zimepishana bdala ya hapo nikiona tofauti jiandae kujifungua baada ya miezi tisa... Ntalea hata kama mtoto siyo wangu.
 
Ukipanic tu wanakula mpunga wako. Wanawake tena hao madenti ndo wajanja, mashakumaku na mabaradhuli hujawahi kuona. Anakutega ili umpe pesa ya kutolewa mimba hewa.
Wewe mwambie azae tu utalea mtoto uone kama mimba haijapotea katika mazingira ya kutatanisha.
hili jibu ni muafaka,shida akiwa mwanafunzi
 
but only kwa mwanafunzi,kama husomi secondary nakuambia zaa tu tutalea
Kumbe huwa mnapanic....
Pamoja na yote ila hii pia huwa ni mbinu ya kupigia mzinga, hata yule mwenye masters ya ubahili hapa hachomoki, yani hachomokii
 
Kumbe huwa mnapanic....
Pamoja na yote ila hii pia huwa ni mbinu ya kupigia mzinga, hata yule mwenye masters ya ubahili hapa hachomoki, yani hachomokii

Hahaha, inauma sana, halafu unakuta shoo ilikuwa ya kizushi, eti unaambiwa hivyo.

Kama show ni za kueleweka ushirikiano unautoa bila kinyongo.
 
Hahaha, inauma sana, halafu unakuta shoo ilikuwa ya kizushi, eti unaambiwa hivyo.

Kama show ni za kueleweka ushirikiano unautoa bila kinyongo.
Yanii hapo uliwekaa tu ukakojoaa afuu mimbaa...haa ha ha
 
hili jibu ni muafaka,shida akiwa mwanafunzi
Mwanafunzi asikutishe. Hakuna mwanafunzi makini wa kutiwa mimba.
Wewe mwambie akuzalie mtoto wako utalea. Utaona drama zitakazoanza hapo.
Wewe mwanaume ukiingiza tu upepo umekwisha. Komaaa.
 
Huu ujumbe wa kawaida sana kwa mwanaume aliyekamilika. Inapendeza zaidi ukitoka kwa mke
 
Umenichekesha sana asubh hii, imebidi nimkumbushe wife kwa kumuonesha huu ujumbe
Hakuna Msg inamtoa mwanaume Jasho LA kutosha Kama Hiiii bora Uombwe hela.. Hapo ndo huwa unaapa viapo vyote kuwa hutaenda kavu tenaa na kujiona mjingaa kabisaaa...[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Huwa unamjibu vipi akikwambia hivyo??
 
namwambia subir kukuche utaziona labda kigiza hiki kinakuzingua
 
Mbaya zaidi awe Mwanafunzi, April Mwaka Jana demu wangu Mmoja mwanafunzi (Alikuwa Form 5) nikamuwasha baada ya wiki kadhaa ati haoni siku zake, Nilipanik nikaziona mvua 30 zilee... kumbe zile ratiba zao huwa zinashake hata kwa Range ya Mwezi!
Ulimpiga kipigo cha nguvu akarusha siku
 
Wadau washatoa ya moyoni. Ni kauli ya hatari mno hii
 
Back
Top Bottom