Hakuna uratibu kati ya Wizara na Wizara ndio maana Dr Ndugulile anapandisha vifurushi na Dr Mwigullu anataka kukusanya sh 2 trillion!

Hakuna uratibu kati ya Wizara na Wizara ndio maana Dr Ndugulile anapandisha vifurushi na Dr Mwigullu anataka kukusanya sh 2 trillion!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Jana nilimuelewa sana Katibu mkuu Kiongozi balozi Katanga.

Hakuna mafanikio ya serikali kama kila wizara itatenda kivyake na kutafuta sifa binafsi.

Ni lazima pawepo coordination baina ya wizara na wizara.

Watu watapunguza matumizi ya mawasiliano na kwa kufanya hivyo kodi itapungua sasa huyo Mwigullu Nchemba atazitoa wapi hizo sh 2 trillion alizoagizwa na makamu wa Rais Dr Mpango?

Maendeleo hayana vyama!
 
Juzi pia wakati akiapishwa makamu wa Rais nimemsikia akigongelea hapo hapo anataka mapato yaongezeke angalau kufikia trillion mbili, na akasisitiza hili linawezekana kabisa.

Kazi ipo.

Kusema huu mchakato ulianza wakati wa Magufuli ni sawa lakini hiyo mentality bado inaendelezwa na waliopo, wanadai mwendo ni ule ule, hapa mwendazake aachwe aende tu asisumbuliwe.
 
Ukishaminya mawasiliano umeathiri sehemu maeneo mengi na hivyo kupandisha gharama za vitu hasa zile zinazotegemea mtandao, huyo jamaa wa kigamboni lengo lake lilikuwa kuminya wakosoaji mitandaoni akasahau kuna matumizi mengine.

Wajumbe next tym huyo bwana asirudi kuleni kichwa hicho
 
Ccm miaka 60 ya uhuru hawajawahi kua na mkakati wa kuwasaidia Watanzania.

Miaka yote ccm mikakati yao ni kuwafukarisha watanzania.

Ukiangalia serikali haina chanzo kipya cha kodi wao wanaamua kukamua hao hao walipakodi waliopo.

Hawataki kujiongeza kupanua wigo wa makusanyo ila ni kuwakamua hao hao walionao.

Kila siku pandisha hiki, pandisha kile, pandisha huku, pandisha kule. Hakuna siku wamewahi kupunguzia watanzania gharama za maisha.
 
Trioni mbili.kupata kazi ndogo tu sema wizara hazina uhusiano na wizara ya fedha

Waende uhamiaji waseme passport haki ya kila raia mwenye kitambulisho cha taifa watoe kwa watu milioni mbili tu kwa hiyo bei ya laki na nusu mwaka huu trilioni mbili kupata rahisi tu

Passport ni mgodi wa pesa uliokaliwa
Ni sehemu yenye pesa ila wanabania wanaenda kukimbizana na machinga
 
Kwa kweli ushirikiano baina ya Wizara ni muhimu sana! Na kwa mazingira haya hiyo 2 Tr. itatutesa sana watu wa kipato cha chini ! Pia kwa dalili inavyoonesha nguvu bado itatumika tu tofauti na Mh. Rais alivyoshauri kutumia akili zaid.
 
Trioni mbili.kupata kazi ndogo tu sema wizara hazina uhusiano na wizara ya fedha

Waende uhamiaji waseme passport haki ya kila raia mwenye kitambulisho cha taifa watoe kwa watu milioni mbili tu kwa hiyo bei ya laki na nusu mwaka huu trilioni mbili kupata rahisi tu

Passport ni.mgodi wa pesa uliokaliwa
Ni sehemu yenye pesa ila wanabania wanaenda kukimbizana na machinga
Sentensi moja unasema passport ni haki ya kila mtanzania, sentensi nyingine unasema passport ni mgodi uliokaliwa. Hivi mataga mnatumia kiungo gani kufikiri?
 
Jana nilimuelewa sana Katibu mkuu Kiongozi balozi Katanga.

Hakuna mafanikio ya serikali kama kila wizara itatenda kivyake na kutafuta sifa binafsi.

Ni lazima pawepo coordination baina ya wizara na wizara.

Watu watapunguza matumizi ya mawasiliano na kwa kufanya hivyo kodi itapungua sasa huyo Mwigullu Nchemba atazitoa wapi hizo sh 2 trillion alizoagizwa na makamu wa Rais Dr Mpango?

Maendeleo hayana vyama!
Hiyo inaitwa mbuzi kafia kwa muuza supu
 
Back
Top Bottom