Hakuna uratibu kati ya Wizara na Wizara ndio maana Dr Ndugulile anapandisha vifurushi na Dr Mwigullu anataka kukusanya sh 2 trillion!

Hakuna uratibu kati ya Wizara na Wizara ndio maana Dr Ndugulile anapandisha vifurushi na Dr Mwigullu anataka kukusanya sh 2 trillion!

Juzi pia wakati akiapishwa makamu wa Rais nimemsikia akigongelea hapo hapo anataka mapato yaongezeke angalau kufikia trillion mbili, na akasisitiza hili linawezekana kabisa.

Kazi ipo.

Kusema huu mchakato ulianza wakati wa Magufuli ni sawa lakini hiyo mentality bado inaendelezwa na waliopo, wanadai mwendo ni ule ule, hapa mwendazake aachwe aende tu asisumbuliwe.
Apambane na kilanja wake mpya
 
Huu mchakato ulianza toka February, yeye akiwa madarakani
Hii jF nimegundua imejaa masikini wengi, kuliko wanavyojitapa kwenye comment na nyuzi zao😅.Emagine kuanzia asubuhi, mpaka Sasa maada ni swala la vifurushi kiasi kwamba ile mijadala ya kisasa imepungua kabisa 😂. Ile kasi ya nyuzi kuwa na comment 500 kwa dk 50 siioni tena.

Kama hii hali imesaidia kupunguza kelele humu, me naona iendelee tu.
 
Ndugulile alitumwa na sidhani kama ulikuwa ni uamuzi wake yeye kama Waziri.
Ndungulile lazima alitumwa na bosi wake kwamba ili tukusanye mihela mingi lazima wapandishe gharama za bando

Au kama kukusanya mihela haikuwa lengo lao, basi walilenga kupunguza idadi ya watu wenye access na Internet, Yote hii ikiwa ni maandalizi ya mkakati wa mwendazake kubadili katiba ili atawale muda mrefu.

Hakutaka kelele za mitandaoni
 
Hii jF nimegundua imejaa masikini wengi, kuliko wanavyojitapa kwenye comment na nyuzi zao[emoji28].Emagine kuanzia asubuhi, mpaka Sasa maada ni swala la vifurushi kiasi kwamba ile mijadala ya kisasa imepungua kabisa [emoji23]. Ile kasi ya nyuzi kuwa na comment 500 kwa dk 50 siioni tena.

Kama hii hali imesaidia kupunguza kelele humu, me naona iendelee tu.
Mkuu usifurahi mtu wa hali ya chini anapo pata shida huijui kesho yako Mungu tu anaijua kwa acha watu walie maana ndo walipo kua wanatoa povu lao kupunguza hasira.
 
Sentensi moja unasema passport ni haki ya kila mtanzania, sentensi nyingine unasema passport ni mgodi uliokaliwa. Hivi mataga mnatumia kiungo gani kufikiri?
Usichoelewa nini passport ni haki ila unailipia chukulia watanzania tuko milioni 60 wakitoa passport milioni 10 tu kila passport laki na elfu hamsini nchi itapata shilingi ngapi?
 
Ndungulile lazima alitumwa na bosi wake kwamba ili tukusanye mihela mingi lazima wapandishe gharama za bando

Au kama kukusanya mihela haikuwa lengo lao, basi walilenga kupunguza idadi ya watu wenye access na Internet, Yote hii ikiwa ni maandalizi ya mkakati wa mwendazake kubadili katiba ili atawale muda mrefu.

Hakutaka kelele za mitandaoni
Wanamsukumia lawama waziri, ila lingekuwa ni jambo la mafanikio, sifa zote zingeenda kwa Mwendazake na huyo Waziri hata asingetajwa.
 
Mkuu usifurahi mtu wa hali ya chini anapo pata shida huijui kesho yako Mungu tu anaijua kwa acha watu walie maana ndo walipo kua wanatoa povu lao kupunguza hasira.
Mimi sifurahii matatizo ya watu,ila nafurahishwa na nikichokigundua.Hapo zamani kabla ya vifurushi kupanda, humu jF Kila mmoja alikuwa anaweza kumtunishia misuli kiuchumi mtu yoyote kwenye hizi comments, tena wengine wanakwambia mara unaishi kwa shemeji na brabra nyingine 😅.

Leo nimefurahi kuona haohao waliowahi kunaimabia hivyo kwenye baadhi ya comments,nao eti wanalalamika bei za vifurushi😂.
 
Tukiwaambia kuwa mwendazake alikuwa anapenda maendeleo ya vitu na siyo maendeleo ya watu muelewe

Kwake kukusanya mihela mingi ilikuwa inampa furaha kuliko maisha ya watu yakiwa nafuu
Mwendazake ameenda zake, tambua hilo ndugu, move on na yaliyopo sasa. Mtamsingizia mwendazake mpaka kwa vitukuu wenu watakapozaliwa.
 
Trioni mbili.kupata kazi ndogo tu sema wizara hazina uhusiano na wizara ya fedha

Waende uhamiaji waseme passport haki ya kila raia mwenye kitambulisho cha taifa watoe kwa watu milioni mbili tu kwa hiyo bei ya laki na nusu mwaka huu trilioni mbili kupata rahisi tu

Passport ni.mgodi wa pesa uliokaliwa
Ni sehemu yenye pesa ila wanabania wanaenda kukimbizana na machinga

Makusanyo ya trilioni mbili yanatakiwa kila mwezi.. na wala sio mwaka, je passport hizo milioni 2 zitalipiwa kila mwezi bei ya laki na nusu?
 
Mimi sifurahii matatizo ya watu,ila nafurahishwa na nikichokigundua.Hapo zamani kabla ya vifurushi kupanda, humu jF Kila mmoja alikuwa anaweza kumtunishia misuli kiuchumi mtu yoyote kwenye hizi comments, tena wengine wanakwambia mara unaishi kwa shemeji na brabra nyingine 😅.

Leo nimefurahi kuona haohao waliowahi kunaimabia hivyo kwenye baadhi ya comments,nao eti wanalalamika bei za vifurushi😂.
😂😂
 
Sentensi moja unasema passport ni haki ya kila mtanzania, sentensi nyingine unasema passport ni mgodi uliokaliwa. Hivi mataga mnatumia kiungo gani kufikiri?
Eneo la passpirt ni eneo la kukusanya mapato ya serikali ambalo haliumizi mlala hoi sababu mtu anajiendea mwenyewe na watu wako tayari kuzichukua ila uhamiaji wanabania passport zao!!!
 
Screenshot_20210402-101902.png
 
Makusanyo ya trilioni mbili yanatakiwa kila mwezi.. na wala sio mwaka, je passport hizo milioni 2 zitalipiwa kila mwezi bei ya laki na nusu?
Watanzania kwa sasa tuko milioni 60 na tunaendelea kuzaliana kwa spidi ya kufa mtu na watu umri unaongezeka monthly kuna wanaotimiza miaka 18 na watoto kibao kila mwezi huzaliwa au unadhani population iko static ?
 
Watanzania kwa sasa tuko milioni 60 na tunaendelea kuzaliana kwa spidi ya kufa mtu na watu umri unaongezeka monthly kuna wanaotimiza miaka 18 na watoto kibao kila mwezi huzaliwa au unadhani population iko static ?

Umejibu swali gumu kwa jibu jepesi .. kama motivation speaker vile na stori za matikiti na forex..

Huwezi kupata trilion mbili kila mwezi kwa kuuza tangible thing like passport, sabab watanzania wengi ni maskini hawana ndoto ya safari yeyote.. hata vitambulisho vya nida tu buree na vina matumizi mengi.. ila kuna watanzania kibao hawajaenda nida mpaka leo...

Wahitaji wa kumiliki passport tanzania ni chini ya 20% ya raia wote ( hao hata kusafiri nauli hawana wala hawajui watasafiri lini ila wanapenda kumiliki passport)... tukiweka wanaohitaji kwa sababu wanaitumia kwenye safari zao za mara kwa mara wanazidi kupungua na kuwa chini ya 10% ya raia wote...

Na kwa kigezo cha kuzaliana, Tanzania wanaozaliana sana ni maskini .. maskini ndio wana watoto wengi Tanzania.. hata hela ya kujinunulia passport hawana sembuse kusafiri
 
Back
Top Bottom