Sheria inasemaje mkuuu tupe maarifa cheifSijui kwanini hii hoja inakwepwa sanaa.?.kwanini police hawataki kufuata sheria zilizopo ili kupata hizo taarifa za watumiaji wa simu wazitakazo?
Kama unadhani kwenye mitandao ya simu kuna usiri mkubwa basi utakuwa unajidanganya sana bwashee.
Popote duniani kipaumbele ni usalama wa jamii kupitia njia za mawasiliano.
Muhimu ni watu kutenda matendo mema, basi.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Kuna siku unasahafu kutumia zile dawa zinazokusaidia mara moja moja kuonekana kama unazo akili za kutosha. Leo ni mfano wa siku uliyosahau/acha kutumia dawa.Dunia ni kijiji bwashee ndio maana Putin anaingia popote.
Acha kukariri.......!
maini gani bwashee?Mchagga mwenzio ameshalazwa muda huu wewe mmachame wa KIKE!
Gerezani hakuna wazee kule wanaangalia maini tu!
ππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏMchagga mwenzio ameshalazwa muda huu wewe mmachame wa KIKE!
Gerezani hakuna wazee kule wanaangalia maini tu!