Ng'wanamangilingili
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 5,778
- 4,859
Vipi yule Mkulima wa Karoti shahidi no3 ataleta call logs za WhatsApp kutoka kwa Mark Zuckerberg ?Kama unadhani kwenye mitandao ya simu kuna usiri mkubwa basi utakuwa unajidanganya sana bwashee.
Popote duniani kipaumbele ni usalama wa jamii kupitia njia za mawasiliano.
Muhimu ni watu kutenda matendo mema, basi.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app