Hakuna utajiri wa kishetani, Kama kuna utajiri wa kishetani, kichawi au kishirikina, Kwanini watu maskini wasiutumie kuondokana na umaskini wao?

Kamwe binadam hatuwezi kua sawa ktk jambo lolote kama utakavyo.

Wachukue hata atheist, wasioamini ushirikina wape nyenzo sawa, bt bado hawawezi kukupa matokeo sawia ktk jambo lolote.
 
mkuu kashike malli basi ,unangoja nin?
 
umeona vile hata uelewa wa darasa la tatu huna

hujui hata majina dhahania, hujui kama muumba anaingia kwenye kuhisika hujui hayo yote hewa, hasira, usingizi yako humo

alafu unakaza fuvu
 
Kamwe binadam hatuwezi kua sawa ktk jambo lolote kama utakavyo.

Wachukue hata atheist, wasioamini ushirikina wape nyenzo sawa, bt bado hawawezi kukupa matokeo sawia ktk jambo lolote.
Ni kwasababu binadamu tuna tofautiana hivyo hatuwezi kuwa sawa kwenye kila kitu.

Lakini kusema kwamba kuna kiumbe kiitwacho Shetani kinacho toa utajiri kwa watu sikweli.

Binadamu tuna tofautiana jitihada za utafutaji huo utajiri ndio maana lazima tutofautiane.
 
umeona vile hata uelewa wa darasa la tatu huna

hujui hata majina dhahania, hujui kama muumba anaingia kwenye kuhisika hujui hayo yote hewa, hasira, usingizi yako humo

alafu unakaza fuvu
Ndio ni dhahania lakini yanapimika, yanathibitishika na kujulikana yapo.

Hewa inapimika na kuthibitishika ipo.

Muumba hayupo hata kwa kuhisika. Niambie unamuhisi kupitia nini na anapimika kwa namna gani na kuonekana vipi?

Zaidi ya mawazo yako ya kufikirika tu.

Hasira na usingizi ni hali za kibinadamu ambazo zipo kwa binadamu zinapimika na kuonekana.

Mtu akiwa usingizini unamuona, mtu akiwa na hasira unajua na kumuona kwamba ana hasira.

Mungu hayupo kwa namna yoyote ile zaidi ya mawazo ya kufikirika tu, imaginations just an illusion.
 
I am aware of the difference, and I have already implied that you are lack spiritual knowledge.
You are completely entitled to your opinions that are not supported by evidence.

But the moment you spread that opinion as fact, You are a liar.

And if you spread it as fact, Knowing it is not supported by evidence, You are both a liar and a fraud.
 
Unasema kwa utafiti ulioufanya kwa wenye utajiri wangapi au unasema Sema tu kutafuta Habari za uhakika humu ndani.
Shetani ni nini kwa mtazamo wako.
Shetani ni dhana ya kufikirika. Imaginations just an illusion.
Anaonekanaje? Je yeye ni tajiri kwa kiasi gani? Je anaweza kugawa huo utajiri kwa kila anayehitaji? 😀
Shetani hayupo kwa namna yoyote ile. Na hana utajiri wowote ule.
Wewe binafsi unaweza chukua utajiri wake akikupa?
Shetani hayupo.
 
Kuna kitu kinaitwa peace of mind isikie tu hyo kitu.
 
Infro... Hebu NINI maoni yako katika kisa hiki (Ni kisa cha kweli na mhusika ni mpwa wangu kabisa)
Ipo hivi huyu kijana alimaliza kidato cha nne 2022, matokeo yalipotoka alipata four ya 32... Kwa kuwa Mimi ni mjomba wake, na Hali ya dada yangu siyo ya kuchangamka sana kiuchumi, na Mimi ndiye niliye kuwa mtu wa karibu katika kusoma kwake (dada yangu ni single mother), nilimshauri akasome ufundi wowote anaopenda, akakataa katakata... Akawa bodaboda kwa mtu. Mwaka huu mwezi 2 alimpa rafiki yake hiyo pikipiki akasababisha ajali iliyogharimu Uhai wa mtu, akatoroka (huyo aliyesababisha ajali) Kesi ikabaki kwa mmiliki wa hiyo pikipiki na dereva halisi ambaye ni mpwa wangu. Tumepambana na hiyo Kesi mpaka mwezi 7 tulipoyamaliza kifamilia. Wakati huo wote mpwa wangu huyo hakuwahi kutulia kufanya shughuli yoyote kwa uhakika kutokana na Kesi. Cha kushangaza, WIKI MBILI ZILIZOPITA NILIPANDA BAJAJ MOJA AMBAYO DEREVA WAKE NI KIJANA NINAYEMFAHAMU, AMBAPO KATIKA MAZUNGUMZO YASIYO RASMI AKANIELEZA KWAMBA BAJAJI HII NI YA MPWA WANGU... NA KWAMBA ANAZO MBILI ZILIZOINGIA BARABARANI KWA KUPISHANA WIKI MBILI TU. NI BAJAJ TVS MPYAAA NAMBA T....ERB...
Nilipomuuliza mpwa wangu hakukubali Wala hakukataa, nilipomuuliza mama yake, anasema na yeye amesikia japokuwa kijana hajamwambia, ila mazingira anayoishi kijana wake sasa hivi yapo TOFAUTI na mwanzo kwani kwanza kahama nyumbani kwa mama yake na kapanga nyumba nzima mahali pengine, na pia amekuwa mtu wa "HARAKATI" nyingi.... Hadi sasa HIVI mama yake hachanganyikiwa, anasema "Kaka niokoe, sipo salama Tena, kifo kinanifuata"
MKUU INFROPRENUER, HAPA MAONI YAKO NI YAPI??
 
Kuna mambo mengi hujui na ni vema ukaendelea kutojua. Baki na huo msimamo wako.
 
Hahahahhh walokole mna shida sana ndio maana mnapigwa na mhuni mmoja anajiita mwamposa

Yani wewe kiumbe mwenzio anapumua kama wewe anakuzidi ujanja
 
Una ubishi wa kipumbavu mno. Unaweza kujenga hoja bila kuwa emotional. Emotions waachie wanawake.
Kuna hoja yeyote umejenga zaidi ya viroja?

This kind of fallacy is called ad hominem.

Hujengi hoja unamshambulia mleta hoja. Na mimi ukija bila hoja utapata stahiki zako.

Ukija na hoja tutajenga hoja.
 
Sihitaji kusali.

Mimi sisali.

If prayers without work is nothing then prayer itself is nothing.

Hivyo huitaji kusali.
Ila unajua kuwa Kuna prayers!
Anyway hivi unawezasema tu na ukakaa pesa zikaja zenyewe au unatakiwa kupiga kazi Sawasawa na ulichosomea? Kama ndio basi hata prayers ni hivyohivyo.
Imani bila matendo imekufa😄
 
Kuna mambo mengi hujui na ni vema ukaendelea kutojua. Baki na huo msimamo wako.
Kama kitu unakijua kwa uhakika njoo na ushahidi, Pia leta uthibitisho.

Sio hadithi, stori za kusimuliwa na imani zenu uchwara zisizo na uthibitisho wowote ule.
 
Hebu mtaje mmoja tu unaemjua na sio kuhisi yani iwe unajua kuwa ana huo utajiri wa kichawi na anajuta

Hivi nyie Waafrika mtatoka lini usingizini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…