Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
- Thread starter
-
- #301
Mpaka sasa hakuna mtu aliyekuja na uthibitisho wa tajiri mkubwa duniani aliyetajirika kwa uchawi na ushirikina.Mi niliutafuta nikakosa mwenye ushahidi aje hapa
1. Namimi nahitaji unithibitishie ni tajiri gani mkubwa duniani alifanikiwa pasipo assist ya uchawi na , hao si washirikina, na unielezee jinsi ulivyokuepo na kuona kila jambo alilolifanya hatua kwa hatua from the scratch mpaka hapa walipo.Kwa ground wapi?
Niambie na thibitisha ni tajiri gani mkubwa duniani alifanikiwa kwa uchawi au ushirikina?
Niambie ni nchi gani duniani ilifanikiwa kwa raia wake kuwa wachawi na washirikina?
Mimi siamini kwenye kuamini.
Sihitaji kuamini Nahitaji kujua kwa uhakika, ushahidi na uthibitisho.
Wewe njoo na ushahidi au uthibitisho wa tajiri mkubwa duniani aliyetajirika kwa uchawi na ushirikina.
Kaka umenena vyema sana.Usijadili vitu usivyovijua. This world is governed by spiritual powers. Hata wazungu walio matajiri kuna kanuni za kiroho wanazifuata!
Utajiri wa nguvu za kibinadamu upo, na wa nguvu za kiroho upo pia. Tofauti yake ni kuwa utajiri wa nguvu za kibinadamu una ukomo wake (Mungu hawezi kukupa utajiri kuliko uwezo wako wa kujitawala). Popote ukiona mtu ana utajiri kuliko uwezo wake wa kujitawala basi jua kuna mpaka umevukwa na tayari mtu ameshahamia upande wa pili wa nguvu za kiroho. Kuna level za utajiri huwezi kuzifikia bila kushiriki katika mambo ya kiroho.Waafrika wengi hasa watanzania wamekuwa wakiamini kwa muda mrefu kwamba kuna utajiri wa kishetani, kichawi na kishirikina. Cha kushangaza hali zao za kiuchumi ziko vilevile miaka nenda rudi.
Kama kweli kwa hakika unajua na kuamini kuna utajiri wa kishetani, kichawi au kishirikina. Kwa nini usiutumie kwa nguvu zako zote uwe tajiri mkubwa nchini Tanzania, Afrika na duniani?
Kwa nini ujihangaishe kufanya kazi na kuchoka ilhali unajua kuna utajiri wa kishetani?
Kamtumie huyo shetani akutajirishe kama ni rahisi hivyo!!
Katoe kafara za kutosha ikiwezekana hata ukoo wako wote tuone kama biashara yako itakuwa kubwa au utaweza hata kufikia utajiri wa Bakhressa.
Kama kweli kuna utajiri wa kishetani, kichawi au kishirikina. Kwa nini usiutumie kwa nguvu zako zote, Uwazidi matajiri wakubwa Afrika kama Aliko Dangote, Bakhressa, Mo Dewji na matajiri wengine wakubwa duniani kama Elon musk, Jeff Bezos?
Kama kweli unajua na kuamini kuna utajiri wa kishetani, kichawi au kishirikina. Kwa nini hujautumia huo uchawi, ushirikina, uganga angalau ufike hata level za utajiri wa Mo Dewji?
Kama unaamini kuna Shetani akitolewa kafara anatoa mali au atakupa mali za kukutajirisha, Katoe kafara wazazi wako au wanao wote tuone kama hata utafika level za utajiri wa Dangote.
Au kama unaamini kuna utajiri wa ndagu, uganga, ulozi n.k
Mwambie huyo mtoa ndagu au mganga, Akupe utajiri angalau umfikie au umzidi Bakhressa kama ana huo uwezo.
Au mwambie huyo mganga akuwezeshe umiliki private jet [emoji3575], Kiwanda kikubwa cha uzalishaji, Magari makali ya kifahari kama Rolls-Royce Boat tail, Mercedes Maybach, Buggati, Lamborghini, Cadillac escalade au akishindwa sana angalau akupe Range rover sport kwa uganga wake tu.
Waafrika wengi hasa watanzania wana amini kuna utajiri wa kishetani, kichawi na kishirikina lakini bado maisha yao ni ya kimaskini, kikapuku, kifukara pangu pakavu tia mchuzi.
Kama unaamini au unajua kuna Shetani anatoa utajiri, Kamtumie kwa nguvu zako zote akutajirishe na uwe tajiri kweli, Angalau ufike level za utajiri wa kina Dangote.
Kisha ndio uanze kusema kwamba kuna utajiri wa kishetani.
Habari za utajiri wa kishetani, kichawi na kishirikina, Husikika tu kwa waafrika maskini choka mbaya, wajinga, wavivu, makapuku, makabwela na mafukara ambao wanashinda vijiweni na vilabuni waki danganyana na kupeana matumaini uchwara ya utajiri wa kufikirika.
Hakuna kiumbe kiitwacho Shetani kinacho toa utajiri. Utajiri na pesa hutoka kwa binadamu. Hakuna kiumbe kiitwacho Shetani chenye pesa.
Pesa ni za binadamu, Si za Mungu wala Shetani.
Hakuna Mungu, Shetani, Jini, Pepo au nguvu yeyote ile ya kimiujiza inayotoa Utajiri.
Pesa, Mali na utajiri hupatikana kwa nguvu za kibinadamu na wanadamu.
Ni wajanja wachache tu huwalaghai na kuwadanganya watu wengine kwamba kuna shetani anatoa utajiri ili kuwahadaa na kuwapumbaza watu wajinga wasiotaka kuhustle wenyewe wakitegemea mafanikio ya kuletewa.
Ndio maana unakuta wanawekewa masharti makali ya kupata pesa hizo ambao wao hudhani ndio masharti ya kishetani ya huyo shetani, Kumbe ni masharti ya binadamu wajanja tu.
The supernatural power is You, Yourself.
Hakuna Mungu wala Shetani anayetoa utajiri, pesa au mali.
I'm out.
Kafuate hizo kanuni utajirike kama zipo.Kaka umenena vyema sana.
Huyu kijana Infropreneur na wengine wenye mwelekeo wake wajifunze kuhusu hili. Dunia haiendeshwi kwa njia ya msalaba
Niambie na thibitisha ni tajiri gani mkubwa hapa nchini Tanzania, Afrika au duniani alifanikiwa kwa nguvu za kiroho tu?Utajiri wa nguvu za kibinadamu upo, na wa nguvu za kiroho upo pia. Tofauti yake ni kuwa utajiri wa nguvu za kibinadamu una ukomo wake (Mungu hawezi kukupa utajiri kuliko uwezo wako wa kujitawala). Popote ukiona mtu ana utajiri kuliko uwezo wake wa kujitawala basi jua kuna mpaka umevukwa na tayari mtu ameshahamia upande wa pili wa nguvu za kiroho. Kuna level za utajiri huwezi kuzifikia bila kushiriki katika mambo ya kiroho.
Niambie na thibitisha ni tajiri gani mkubwa hapa nchini Tanzania, Afrika au duniani alifanikiwa kwa kuuza nafsi yake kwa shetani?Kingine usichokijua ni kuwa utajiri wa kishirikina unaambatana na mambo matatu:-
1. Kuuza nafsi yako kwa shetani in exchange of material things.
2. Majuto
3. Huzuni
Sio wote wako tayari kuvuka mpaka wa uthubutu kufikia huko, japo kuna wachache hufika huko kwa kujizima data.
Kijana kama utaweza kununua kitabu kinaitwa 'Illuminati Testaments' kutoka Amazon unaweza kuanza kupata mwanga kwa nini unabishana na wakubwa zako. Hii itaanza kukupa mwanga kuhusu masuala mbalimbali ya kiuchumi na kisiasa yanavyoendeshwa duniani. Its full occultUsije hapa kuongelea vitu ambavyo huna uthibitisho navyo.
Hizo stori zenu za utajiri wa kishetani danganyaneni huko kijiweni na vilabuni.
Ukisema kuna utajiri wa kishetani, Eleza na thibitisha ni tajiri gani mkubwa duniani alifanikiwa kwa uchawi na ushirikina?
Ukisema kuna utajiri wa kishetani, Eleza na thibitisha ni nchi gani ilitajirika kwa uchawi au ushirikina?
Unless otherwise, Don't come here to advertise your ignorance.
Kwa kuanza kasome kitabu kinaitwa Illuminatiam (Illuminati Testaments) uanze kufunguka.Kafuate hizo kanuni utajirike kama zipo.
Nilikwambia ulete uthibitisho wa tajiri gani mkubwa duniani alifanikiwa kwa uchawi na ushirikina, Hujaleta mpaka dakika hii.
Nilikwambia ulete uthibitisho wa nchi gani duniani, Raia wake walifanikiwa kwa nguvu za kichawi, kishetani na kishirikina, Hujaleta mpaka sasa hivi!!
Unaruka ruka tu.
Kama kuna utajiri wa kishetani, kichawi na kishirikina. Waafrika wanashindwaje kuutumia wawazidi wazungu?
Tumieni huo uchawi au ushirikina kujenga maviwanda makubwa, kujenga miundombinu, kujenga viwanja vya ndege na bandari.
Angalau basi tufikie level za utajiri wa wazungu.
Muache kama alivyo naona hakuna anachokijuaUnachokosa wewe ni Elimu tu ya Mambo hayo.
Dunia ina mambo mengi yasiyo Onekana kwa Macho
Nenda kwenye hizo occult kama wana uwezo wa kukupa utajiri wa kuweza kumzidi Dangote.Kijana kama utaweza kununua kitabu kinaitwa 'Illuminati Testaments' kutoka Amazon unaweza kuanza kupata mwanga kwa nini unabishana na wakubwa zako. Hii itaanza kukupa mwanga kuhusu masuala mbalimbali ya kiuchumi na kisiasa yanavyoendeshwa duniani. Its full occult
Wewe hicho unacho kijua ni nini?Muache kama alivyo naona hakuna anachokijua
Njoo ujionee namna tunavyo miliki nyoka wanao tapika pesa Kila ijumaa mchana kiasi Cha 200M inaingia Kila ijumaa Cha muhimu kuzingatia mashartWaafrika wengi hasa watanzania wamekuwa wakiamini kwa muda mrefu kwamba kuna utajiri wa kishetani, kichawi na kishirikina. Cha kushangaza hali zao za kiuchumi ziko vilevile miaka nenda rudi.
Kama kweli kwa hakika unajua na kuamini kuna utajiri wa kishetani, kichawi au kishirikina. Kwa nini usiutumie kwa nguvu zako zote uwe tajiri mkubwa nchini Tanzania, Afrika na duniani?
Kwa nini ujihangaishe kufanya kazi na kuchoka ilhali unajua kuna utajiri wa kishetani?
Kamtumie huyo shetani akutajirishe kama ni rahisi hivyo!!
Katoe kafara za kutosha ikiwezekana hata ukoo wako wote tuone kama biashara yako itakuwa kubwa au utaweza hata kufikia utajiri wa Bakhressa.
Kama kweli kuna utajiri wa kishetani, kichawi au kishirikina. Kwa nini usiutumie kwa nguvu zako zote, Uwazidi matajiri wakubwa Afrika kama Aliko Dangote, Bakhressa, Mo Dewji na matajiri wengine wakubwa duniani kama Elon musk, Jeff Bezos?
Kama kweli unajua na kuamini kuna utajiri wa kishetani, kichawi au kishirikina. Kwa nini hujautumia huo uchawi, ushirikina, uganga angalau ufike hata level za utajiri wa Mo Dewji?
Kama unaamini kuna Shetani akitolewa kafara anatoa mali au atakupa mali za kukutajirisha, Katoe kafara wazazi wako au wanao wote tuone kama hata utafika level za utajiri wa Dangote.
Au kama unaamini kuna utajiri wa ndagu, uganga, ulozi n.k
Mwambie huyo mtoa ndagu au mganga, Akupe utajiri angalau umfikie au umzidi Bakhressa kama ana huo uwezo.
Au mwambie huyo mganga akuwezeshe umiliki private jet ✈️, Kiwanda kikubwa cha uzalishaji, Magari makali ya kifahari kama Rolls-Royce Boat tail, Mercedes Maybach, Buggati, Lamborghini, Cadillac escalade au akishindwa sana angalau akupe Range rover sport kwa uganga wake tu.
Waafrika wengi hasa watanzania wana amini kuna utajiri wa kishetani, kichawi na kishirikina lakini bado maisha yao ni ya kimaskini, kikapuku, kifukara pangu pakavu tia mchuzi.
Kama unaamini au unajua kuna Shetani anatoa utajiri, Kamtumie kwa nguvu zako zote akutajirishe na uwe tajiri kweli, Angalau ufike level za utajiri wa kina Dangote.
Kisha ndio uanze kusema kwamba kuna utajiri wa kishetani.
Habari za utajiri wa kishetani, kichawi na kishirikina, Husikika tu kwa waafrika maskini choka mbaya, wajinga, wavivu, makapuku, makabwela na mafukara ambao wanashinda vijiweni na vilabuni waki danganyana na kupeana matumaini uchwara ya utajiri wa kufikirika.
Hakuna kiumbe kiitwacho Shetani kinacho toa utajiri. Utajiri na pesa hutoka kwa binadamu. Hakuna kiumbe kiitwacho Shetani chenye pesa.
Pesa ni za binadamu, Si za Mungu wala Shetani.
Hakuna Mungu, Shetani, Jini, Pepo au nguvu yeyote ile ya kimiujiza inayotoa Utajiri.
Pesa, Mali na utajiri hupatikana kwa nguvu za kibinadamu na wanadamu.
Ni wajanja wachache tu huwalaghai na kuwadanganya watu wengine kwamba kuna shetani anatoa utajiri ili kuwahadaa na kuwapumbaza watu wajinga wasiotaka kuhustle wenyewe wakitegemea mafanikio ya kuletewa.
Ndio maana unakuta wanawekewa masharti makali ya kupata pesa hizo ambao wao hudhani ndio masharti ya kishetani ya huyo shetani, Kumbe ni masharti ya binadamu wajanja tu.
The supernatural power is You, Yourself.
Hakuna Mungu wala Shetani anayetoa utajiri, pesa au mali.
I'm out.
Mimi nataka huyo nyoka 🐍 atapike kiasi cha Dola za kimarekani Billion 500 kama ana huo uwezo.Njoo ujionee namna tunavyo miliki nyoka wanao tapika pesa Kila ijumaa mchana kiasi Cha 200M inaingia Kila ijumaa Cha muhimu kuzingatia mashart
Unabisha bila hoja. Nadhani ni utoto unakusumbua.Nenda kwenye hizo occult kama wana uwezo wa kukupa utajiri wa kuweza kumzidi Dangote.
Sikia wewe, Hakuna utajiri wowote kwenye occult.
Huo utajiri wa kwenye occult ni utajiri wa watu walio utafuta kwa jasho na damu.
Halafu wajinga kama wewe mnaotaka Utajiri wa bure bure tu, Ndio mnawekewa masharti makali ya kupewa utajiri huo.
Na hawawezi kukupa utajiri mkubwa kuliko uwezo wa huo utajiri walionao wao.
Kama unabisha, Tafuta occult society yeyote jiunge nao halafu waambie wakupe utajiri mkubwa wa kumfikia au kumzidi Elon musk kama wataweza.
Wakiweza rudi hapa JF uniambie.
Ila Wewe dogo ni Bogus sana...Kakwambia nenda kwake umuone huyo nyoka ww unaanza kusema unamtaka si ukamtafute wako.Mimi nataka huyo nyoka 🐍 atapike kiasi cha Dola za kimarekani Billion 500 kama ana huo uwezo.
Mwehu ni baba na Mama yako waliozaa punguani kama wewe usiyefikiri sawasawa.Ila Wewe dogo ni Bogus sana...Kakwambia nenda kwake umuone huyo nyoka ww unaanza kusema unamtaka si ukamtafute wako.
Kumbe wewe n Mwehu unajaza Server tu apa.
Mpaka sasa umeshindwa kuthibitisha ni tajiri gani mkubwa duniani alifanikiwa kwa uchawi na ushirikina?Unabisha bila hoja. Nadhani ni utoto unakusumbua.
Kama una uthibitisho wa tajiri yeyote mkubwa duniani aliyetajirika kwa uchawi au ushirikina ndio uje hapa kujenga hoja.Kama upo serious, kasome hicho kitabu nilichokutajia kisha urudi tena hapa kubishana na mimi
Hivi zile ng’ombe zinazotolewa na waarabu mwaka hadi mwaka zinachinjwa wanagawiwa watu anataka kusema wana roho nzuri wanatoa bure tu??? Huyi hajui mambo ya spiritual ni kumuachaUsilolijua ni sawa na usiku wa giza. Endelea kuamini unachokiamini mkuu.