Hakuna utajiri wa kishetani, Kama kuna utajiri wa kishetani, kichawi au kishirikina, Kwanini watu maskini wasiutumie kuondokana na umaskini wao?

Hakuna utajiri wa kishetani, Kama kuna utajiri wa kishetani, kichawi au kishirikina, Kwanini watu maskini wasiutumie kuondokana na umaskini wao?

Hate speech siku hizi inakumbatiwa JamiiForums

This thread is a form of hate speech ambayo imeletwa na sii mwingine bali na Infropreneur ambae kwa wazi huwa anatukana na kuwazodoa Waafrika, hususani kwa rangi za ngozi zao. Huyu member ana chuki na misimango dhidi ya Waafrika. Ni mbaguzi. He is Racist.

Laana ya Muumba ni nzito. Laana inamtafuna huyu Infro na Ukoo wake wote kwa chuki na masimango.

Huyu yawezekana ni mwajiriwa wa JamiiForums, inakuwaje hate speech zake zinaachiwa? Ni mbegu gani hii mnayotaka kupanda kwa Jamii ya Watanzania?
 
Hate speech siku hizi inakumbatiwa JamiiForums

This thread is a form of hate speech ambayo imeletwa na sii mwingine bali na Infropreneur ambae kwa wazi huwa anatukana na kuwazodoa Waafrika, hususani kwa rangi za ngozi zao. Huyu member ana chuki na misimango dhidi ya Waafrika. Ni mbaguzi. He is Racist.

Laana ya Muumba ni nzito. Laana inamtafuna huyu Infro na Ukoo wake wote kwa chuki na masimango.

Huyu yawezekana ni mwajiriwa wa JamiiForums, inakuwaje hate speech zake zinaachiwa? Ni mbegu gani hii mnayotaka kupanda kwa Jamii ya Watanzania?
Huyo nimedhibitisha ni mgonjwa ana shida ya akili.
 
Hate speech siku hizi inakumbatiwa JamiiForums

This thread is a form of hate speech ambayo imeletwa na sii mwingine bali na Infropreneur ambae kwa wazi huwa anatukana na kuwazodoa Waafrika, hususani kwa rangi za ngozi zao. Huyu member ana chuki na misimango dhidi ya Waafrika. Ni mbaguzi. He is Racist.

Laana ya Muumba ni nzito. Laana inamtafuna huyu Infro na Ukoo wake wote kwa chuki na masimango.

Huyu yawezekana ni mwajiriwa wa JamiiForums, inakuwaje hate speech zake zinaachiwa? Ni mbegu gani hii mnayotaka kupanda kwa Jamii ya Watanzania?
Don't come here to vomit your nonsense.
 
Huyo nimedhibitisha ni mgonjwa ana shida ya akili.
nimedhibitisha❌

Kajifunze kwanza somo la mwandiko. Rudi chekechea.

Hujui hata kuandika, Ndio utaweza kujenga hoja na mimi?

Don't come here to advertise your ignorance.

Go back to school to learn how to write.
 
Uyu Bado mtoto sidhani kama ata miaka 30 anayo ndo vile vitoto vimemalza chuo havina Kazi vinasota tu ila huo msoto unaoupitia utakufundisha vitu ving ambavyo hukufundishwa shule, ungekuwa tajiri usingeandiza hizo pumba zako, ukikua utajua kwanini babaako na ukoo wako wote wameshindwa kuwa matajiri, pambana wewe ndo uwe tajiri kwa hizo njia za halali uone kama ni rahisi😅😅😅🖕🖕🖕
 
Uyu Bado mtoto sidhani kama ata miaka 30 anayo ndo vile vitoto vimemalza chuo havina Kazi vinasota tu ila huo msoto unaoupitia utakufundisha vitu ving ambavyo hukufundishwa shule, ungekuwa tajiri usingeandiza hizo pumba zako, ukikua utajua kwanini babaako na ukoo wako wote wameshindwa kuwa matajiri, pambana wewe ndo uwe tajiri kwa hizo njia za halali uone kama ni rahisi😅😅😅🖕🖕🖕
🖕Kwa baba na Mama yako waliozaa punguani na tahira kama wewe.

Baba yako bora angemwaga shahawa zake chooni kuliko kuzaa tahira takataka kama wewe.

Idiot, nincompoop.
 
Waafrika wengi hasa watanzania wamekuwa wakiamini kwa muda mrefu kwamba kuna utajiri wa kishetani, kichawi na kishirikina. Cha kushangaza hali zao za kiuchumi ziko vilevile miaka nenda rudi.

Kama kweli kwa hakika unajua na kuamini kuna utajiri wa kishetani, kichawi au kishirikina. Kwa nini usiutumie kwa nguvu zako zote uwe tajiri mkubwa nchini Tanzania, Afrika na duniani?

Kwa nini ujihangaishe kufanya kazi na kuchoka ilhali unajua kuna utajiri wa kishetani?

Kamtumie huyo shetani akutajirishe kama ni rahisi hivyo!!

Katoe kafara za kutosha ikiwezekana hata ukoo wako wote tuone kama biashara yako itakuwa kubwa au utaweza hata kufikia utajiri wa Bakhressa.

Kama kweli kuna utajiri wa kishetani, kichawi au kishirikina. Kwa nini usiutumie kwa nguvu zako zote, Uwazidi matajiri wakubwa Afrika kama Aliko Dangote, Bakhressa, Mo Dewji na matajiri wengine wakubwa duniani kama Elon musk, Jeff Bezos?

Kama kweli unajua na kuamini kuna utajiri wa kishetani, kichawi au kishirikina. Kwa nini hujautumia huo uchawi, ushirikina, uganga angalau ufike hata level za utajiri wa Mo Dewji?

Kama unaamini kuna Shetani akitolewa kafara anatoa mali au atakupa mali za kukutajirisha, Katoe kafara wazazi wako au wanao wote tuone kama hata utafika level za utajiri wa Dangote.

Au kama unaamini kuna utajiri wa ndagu, uganga, ulozi n.k
Mwambie huyo mtoa ndagu au mganga, Akupe utajiri angalau umfikie au umzidi Bakhressa kama ana huo uwezo.

Au mwambie huyo mganga akuwezeshe umiliki private jet ✈️, Kiwanda kikubwa cha uzalishaji, Magari makali ya kifahari kama Rolls-Royce Boat tail, Mercedes Maybach, Buggati, Lamborghini, Cadillac escalade au akishindwa sana angalau akupe Range rover sport kwa uganga wake tu.

Waafrika wengi hasa watanzania wana amini kuna utajiri wa kishetani, kichawi na kishirikina lakini bado maisha yao ni ya kimaskini, kikapuku, kifukara pangu pakavu tia mchuzi.

Kama unaamini au unajua kuna Shetani anatoa utajiri, Kamtumie kwa nguvu zako zote akutajirishe na uwe tajiri kweli, Angalau ufike level za utajiri wa kina Dangote.

Kisha ndio uanze kusema kwamba kuna utajiri wa kishetani.

Habari za utajiri wa kishetani, kichawi na kishirikina, Husikika tu kwa waafrika maskini choka mbaya, wajinga, wavivu, makapuku, makabwela na mafukara ambao wanashinda vijiweni na vilabuni waki danganyana na kupeana matumaini uchwara ya utajiri wa kufikirika.

Hakuna kiumbe kiitwacho Shetani kinacho toa utajiri. Utajiri na pesa hutoka kwa binadamu. Hakuna kiumbe kiitwacho Shetani chenye pesa.

Pesa ni za binadamu, Si za Mungu wala Shetani.

Hakuna Mungu, Shetani, Jini, Pepo au nguvu yeyote ile ya kimiujiza inayotoa Utajiri.

Pesa, Mali na utajiri hupatikana kwa nguvu za kibinadamu na wanadamu.


Ni wajanja wachache tu huwalaghai na kuwadanganya watu wengine kwamba kuna shetani anatoa utajiri ili kuwahadaa na kuwapumbaza watu wajinga wasiotaka kuhustle wenyewe wakitegemea mafanikio ya kuletewa.

Ndio maana unakuta wanawekewa masharti makali ya kupata pesa hizo ambao wao hudhani ndio masharti ya kishetani ya huyo shetani, Kumbe ni masharti ya binadamu wajanja tu.

The supernatural power is You, Yourself.

Hakuna Mungu wala Shetani anayetoa utajiri, pesa au mali.

I'm out.
Umeingia field kujaribu? Una ujasiri? Vinginevyo hizi ni stori za mtu wa kawaida sana. Lawama au habari hizi za nguvu za ajabu( au uchawi), zipo kila sehemu.
Siku hizi dunia ina share taarifa, tunaona watu wa jamii zote, waafrika, wazungu,wahindi na waarabu wapo ambao wanakiri uwepo wa mambo hayo.
Jaribu mkuu uje na uhakika wa hiki unachosema hakipo. Vinginevyo bakia kama mimi kuwa HAUJUI.
 
Naunga mkono hoja mkuu hakuna mungu Wala shetani hizo ni Hadithi za kutunga za binadamu tu
Oya huu ulimwengu una segments kibao na line ambazo mtu anatembelea. Kama unataka kujua line nyingine kazitafiti, msije na conclusion.
Ukute chief haujawahi kwenda kwa mganga, au kucheki hiyo michakato hasi...

Kuna sehemu mtu alizingua, wazee wakachukia... wakaenda kituo cha polisi kuwaambia polisi kuwa siku inayofatia atatokea mnyama na ataua mtu, wasihanagike kupoteza muda na risasi ataondoka mwenyewe. Na kweli ikawa hivyo,yule kijana aliuwawa na mnyama wa mwituni.

Mimi yakija hayo mambo huwa sina uhakika lakini kwa kuwa kuna watu wana ushahidi na wamefanya huwa siwabishii.
 
Umeingia field kujaribu? Una ujasiri? Vinginevyo hizi ni stori za mtu wa kawaida sana. Lawama au habari hizi za nguvu za ajabu( au uchawi), zipo kila sehemu.
Siku hizi dunia ina share taarifa, tunaona watu wa jamii zote, waafrika, wazungu,wahindi na waarabu wapo ambao wanakiri uwepo wa mambo hayo.
Jaribu mkuu uje na uhakika wa hiki unachosema hakipo. Vinginevyo bakia kama mimi kuwa HAUJUI.
Kama kuna utajiri wa kishetani, kichawi au kishirikina nenda kautumie kwa nguvu zako zote Uwazidi matajiri wakubwa duniani.

Sio kuja hapa JF kujifanya kuna utajiri wa kishetani, Halafu kuutumia hautaki.
 
Ni kitita cha pesa ili kumuona mganga, masikini atatoa wapi? Hata hivyo masikini wengi hawana roho ya kuthubutu, utajiri ni kuthubutu.
 
Waafrika wengi hasa watanzania wamekuwa wakiamini kwa muda mrefu kwamba kuna utajiri wa kishetani, kichawi na kishirikina. Cha kushangaza hali zao za kiuchumi ziko vilevile miaka nenda rudi.

Kama kweli kwa hakika unajua na kuamini kuna utajiri wa kishetani, kichawi au kishirikina. Kwa nini usiutumie kwa nguvu zako zote uwe tajiri mkubwa nchini Tanzania, Afrika na duniani?

Kwa nini ujihangaishe kufanya kazi na kuchoka ilhali unajua kuna utajiri wa kishetani?

Kamtumie huyo shetani akutajirishe kama ni rahisi hivyo!!

Katoe kafara za kutosha ikiwezekana hata ukoo wako wote tuone kama biashara yako itakuwa kubwa au utaweza hata kufikia utajiri wa Bakhressa.

Kama kweli kuna utajiri wa kishetani, kichawi au kishirikina. Kwa nini usiutumie kwa nguvu zako zote, Uwazidi matajiri wakubwa Afrika kama Aliko Dangote, Bakhressa, Mo Dewji na matajiri wengine wakubwa duniani kama Elon musk, Jeff Bezos?

Kama kweli unajua na kuamini kuna utajiri wa kishetani, kichawi au kishirikina. Kwa nini hujautumia huo uchawi, ushirikina, uganga angalau ufike hata level za utajiri wa Mo Dewji?

Kama unaamini kuna Shetani akitolewa kafara anatoa mali au atakupa mali za kukutajirisha, Katoe kafara wazazi wako au wanao wote tuone kama hata utafika level za utajiri wa Dangote.

Au kama unaamini kuna utajiri wa ndagu, uganga, ulozi n.k
Mwambie huyo mtoa ndagu au mganga, Akupe utajiri angalau umfikie au umzidi Bakhressa kama ana huo uwezo.

Au mwambie huyo mganga akuwezeshe umiliki private jet ✈️, Kiwanda kikubwa cha uzalishaji, Magari makali ya kifahari kama Rolls-Royce Boat tail, Mercedes Maybach, Buggati, Lamborghini, Cadillac escalade au akishindwa sana angalau akupe Range rover sport kwa uganga wake tu.

Waafrika wengi hasa watanzania wana amini kuna utajiri wa kishetani, kichawi na kishirikina lakini bado maisha yao ni ya kimaskini, kikapuku, kifukara pangu pakavu tia mchuzi.

Kama unaamini au unajua kuna Shetani anatoa utajiri, Kamtumie kwa nguvu zako zote akutajirishe na uwe tajiri kweli, Angalau ufike level za utajiri wa kina Dangote.

Kisha ndio uanze kusema kwamba kuna utajiri wa kishetani.

Habari za utajiri wa kishetani, kichawi na kishirikina, Husikika tu kwa waafrika maskini choka mbaya, wajinga, wavivu, makapuku, makabwela na mafukara ambao wanashinda vijiweni na vilabuni waki danganyana na kupeana matumaini uchwara ya utajiri wa kufikirika.

Hakuna kiumbe kiitwacho Shetani kinacho toa utajiri. Utajiri na pesa hutoka kwa binadamu. Hakuna kiumbe kiitwacho Shetani chenye pesa.

Pesa ni za binadamu, Si za Mungu wala Shetani.

Hakuna Mungu, Shetani, Jini, Pepo au nguvu yeyote ile ya kimiujiza inayotoa Utajiri.

Pesa, Mali na utajiri hupatikana kwa nguvu za kibinadamu na wanadamu.


Ni wajanja wachache tu huwalaghai na kuwadanganya watu wengine kwamba kuna shetani anatoa utajiri ili kuwahadaa na kuwapumbaza watu wajinga wasiotaka kuhustle wenyewe wakitegemea mafanikio ya kuletewa.

Ndio maana unakuta wanawekewa masharti makali ya kupata pesa hizo ambao wao hudhani ndio masharti ya kishetani ya huyo shetani, Kumbe ni masharti ya binadamu wajanja tu.

The supernatural power is You, Yourself.

Hakuna Mungu wala Shetani anayetoa utajiri, pesa au mali.

I'm out.
Mkuu, we utakuwa mchawi, siyo bure. Au umeamua tu kujitoa ufahamu
 
Utajiri wa kishetani sio wa kimwili, ni wa kiroho.

Wachawi hujivunia kuwa na namba ya misukule. Halafu, hawajivunii kumiliki plot, bali kumiliki kipande cha anga. Hujivunia kukwamisha maisha ya watu walioshindikana hasa wanaoswali/sali (kama vile mtu wa kawaida amekuwa akishindwa kumuu mtu mwenye ulinzi mkali mf. Raisi)... Nk nk nk
 
Waafrika wengi hasa watanzania wamekuwa wakiamini kwa muda mrefu kwamba kuna utajiri wa kishetani, kichawi na kishirikina. Cha kushangaza hali zao za kiuchumi ziko vilevile miaka nenda rudi.

Kama kweli kwa hakika unajua na kuamini kuna utajiri wa kishetani, kichawi au kishirikina. Kwa nini usiutumie kwa nguvu zako zote uwe tajiri mkubwa nchini Tanzania, Afrika na duniani?

Kwa nini ujihangaishe kufanya kazi na kuchoka ilhali unajua kuna utajiri wa kishetani?

Kamtumie huyo shetani akutajirishe kama ni rahisi hivyo!!

Katoe kafara za kutosha ikiwezekana hata ukoo wako wote tuone kama biashara yako itakuwa kubwa au utaweza hata kufikia utajiri wa Bakhressa.

Kama kweli kuna utajiri wa kishetani, kichawi au kishirikina. Kwa nini usiutumie kwa nguvu zako zote, Uwazidi matajiri wakubwa Afrika kama Aliko Dangote, Bakhressa, Mo Dewji na matajiri wengine wakubwa duniani kama Elon musk, Jeff Bezos?

Kama kweli unajua na kuamini kuna utajiri wa kishetani, kichawi au kishirikina. Kwa nini hujautumia huo uchawi, ushirikina, uganga angalau ufike hata level za utajiri wa Mo Dewji?

Kama unaamini kuna Shetani akitolewa kafara anatoa mali au atakupa mali za kukutajirisha, Katoe kafara wazazi wako au wanao wote tuone kama hata utafika level za utajiri wa Dangote.

Au kama unaamini kuna utajiri wa ndagu, uganga, ulozi n.k
Mwambie huyo mtoa ndagu au mganga, Akupe utajiri angalau umfikie au umzidi Bakhressa kama ana huo uwezo.

Au mwambie huyo mganga akuwezeshe umiliki private jet ✈️, Kiwanda kikubwa cha uzalishaji, Magari makali ya kifahari kama Rolls-Royce Boat tail, Mercedes Maybach, Buggati, Lamborghini, Cadillac escalade au akishindwa sana angalau akupe Range rover sport kwa uganga wake tu.

Waafrika wengi hasa watanzania wana amini kuna utajiri wa kishetani, kichawi na kishirikina lakini bado maisha yao ni ya kimaskini, kikapuku, kifukara pangu pakavu tia mchuzi.

Kama unaamini au unajua kuna Shetani anatoa utajiri, Kamtumie kwa nguvu zako zote akutajirishe na uwe tajiri kweli, Angalau ufike level za utajiri wa kina Dangote.

Kisha ndio uanze kusema kwamba kuna utajiri wa kishetani.

Habari za utajiri wa kishetani, kichawi na kishirikina, Husikika tu kwa waafrika maskini choka mbaya, wajinga, wavivu, makapuku, makabwela na mafukara ambao wanashinda vijiweni na vilabuni waki danganyana na kupeana matumaini uchwara ya utajiri wa kufikirika.

Hakuna kiumbe kiitwacho Shetani kinacho toa utajiri. Utajiri na pesa hutoka kwa binadamu. Hakuna kiumbe kiitwacho Shetani chenye pesa.

Pesa ni za binadamu, Si za Mungu wala Shetani.

Hakuna Mungu, Shetani, Jini, Pepo au nguvu yeyote ile ya kimiujiza inayotoa Utajiri.

Pesa, Mali na utajiri hupatikana kwa nguvu za kibinadamu na wanadamu.


Ni wajanja wachache tu huwalaghai na kuwadanganya watu wengine kwamba kuna shetani anatoa utajiri ili kuwahadaa na kuwapumbaza watu wajinga wasiotaka kuhustle wenyewe wakitegemea mafanikio ya kuletewa.

Ndio maana unakuta wanawekewa masharti makali ya kupata pesa hizo ambao wao hudhani ndio masharti ya kishetani ya huyo shetani, Kumbe ni masharti ya binadamu wajanja tu.

The supernatural power is You, Yourself.

Hakuna Mungu wala Shetani anayetoa utajiri, pesa au mali.

I'm out.
acha ujinga,utajiri wa kichawi UPO
 
acha ujinga,utajiri wa kichawi UPO.
Nenda kautumie kwa nguvu zako zote huo utajiri wa kichawi.

Angalau uwazidi matajiri wakubwa hapa Afrika kama Dangote, Bakhressa au at least Mo Dewji.

Ukifanikiwa ulete mrejesho.

Unless otherwise habari za utajiri wa kishetani husikika tu kwa waafrika maskini choka mbaya pangu pakavu tia mchuzi.
 
Kila mtu aishi imfaavyo tusiwekeane mipaka bana
Hakuna aliyekuwekea mipaka ya jinsi ya kuishi.

Ila ukianza kudai kwamba kuna utajiri wa kishetani, kichawi au kishirikina halafu na wewe mwenyewe ni maskini hapo utakuwa unadanganya.

Kama unajua kuna utajiri wa kishetani, kichawi au kishirikina, Kwa nini usiutumie kuwa tajiri?

Angalau uwazidi matajiri wakubwa kama kina Dangote au Elon musk.
 
Back
Top Bottom