EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Ninavyokuona upande huu si wako na wala hujui chochote,ungefungua tu thread ya mambo mengine na si upande huu,ulichoongea ni opinion na si factHakuna aliyekuwekea mipaka ya jinsi ya kuishi.
Ila ukianza kudai kwamba kuna utajiri wa kishetani, kichawi au kishirikina halafu na wewe mwenyewe ni maskini hapo utakuwa unadanganya.
Kama unajua kuna utajiri wa kishetani, kichawi au kishirikina, Kwa nini usiutumie kuwa tajiri?
Angalau uwazidi matajiri wakubwa kama kina Dangote au Elon musk.
Leta facts zako za utajiri wa kishetani, kichawi na kishirikina.Ninavyokuona upande huu si wako na wala hujui chochote,ungefungua tu thread ya mambo mengine na si upande huu,ulichoongea ni opinion na si fact
Tupo na nani?Kwenye hii Dunia...
Hatupo peke yetu..!
Mbona wanazitumia mkuuWaafrika wengi hasa watanzania wamekuwa wakiamini kwa muda mrefu kwamba kuna utajiri wa kishetani, kichawi na kishirikina. Cha kushangaza hali zao za kiuchumi ziko vilevile miaka nenda rudi.
Kama kweli kwa hakika unajua na kuamini kuna utajiri wa kishetani, kichawi au kishirikina. Kwa nini usiutumie kwa nguvu zako zote uwe tajiri mkubwa nchini Tanzania, Afrika na duniani?
Kwa nini ujihangaishe kufanya kazi na kuchoka ilhali unajua kuna utajiri wa kishetani?
Kamtumie huyo shetani akutajirishe kama ni rahisi hivyo!!
Katoe kafara za kutosha ikiwezekana hata ukoo wako wote tuone kama biashara yako itakuwa kubwa au utaweza hata kufikia utajiri wa Bakhressa.
Kama kweli kuna utajiri wa kishetani, kichawi au kishirikina. Kwa nini usiutumie kwa nguvu zako zote, Uwazidi matajiri wakubwa Afrika kama Aliko Dangote, Bakhressa, Mo Dewji na matajiri wengine wakubwa duniani kama Elon musk, Jeff Bezos?
Kama kweli unajua na kuamini kuna utajiri wa kishetani, kichawi au kishirikina. Kwa nini hujautumia huo uchawi, ushirikina, uganga angalau ufike hata level za utajiri wa Mo Dewji?
Kama unaamini kuna Shetani akitolewa kafara anatoa mali au atakupa mali za kukutajirisha, Katoe kafara wazazi wako au wanao wote tuone kama hata utafika level za utajiri wa Dangote.
Au kama unaamini kuna utajiri wa ndagu, uganga, ulozi n.k
Mwambie huyo mtoa ndagu au mganga, Akupe utajiri angalau umfikie au umzidi Bakhressa kama ana huo uwezo.
Au mwambie huyo mganga akuwezeshe umiliki private jet ✈️, Kiwanda kikubwa cha uzalishaji, Magari makali ya kifahari kama Rolls-Royce Boat tail, Mercedes Maybach, Buggati, Lamborghini, Cadillac escalade au akishindwa sana angalau akupe Range rover sport kwa uganga wake tu.
Waafrika wengi hasa watanzania wana amini kuna utajiri wa kishetani, kichawi na kishirikina lakini bado maisha yao ni ya kimaskini, kikapuku, kifukara pangu pakavu tia mchuzi.
Kama unaamini au unajua kuna Shetani anatoa utajiri, Kamtumie kwa nguvu zako zote akutajirishe na uwe tajiri kweli, Angalau ufike level za utajiri wa kina Dangote.
Kisha ndio uanze kusema kwamba kuna utajiri wa kishetani.
Habari za utajiri wa kishetani, kichawi na kishirikina, Husikika tu kwa waafrika maskini choka mbaya, wajinga, wavivu, makapuku, makabwela na mafukara ambao wanashinda vijiweni na vilabuni waki danganyana na kupeana matumaini uchwara ya utajiri wa kufikirika.
Hakuna kiumbe kiitwacho Shetani kinacho toa utajiri. Utajiri na pesa hutoka kwa binadamu. Hakuna kiumbe kiitwacho Shetani chenye pesa.
Pesa ni za binadamu, Si za Mungu wala Shetani.
Hakuna Mungu, Shetani, Jini, Pepo au nguvu yeyote ile ya kimiujiza inayotoa Utajiri.
Pesa, Mali na utajiri hupatikana kwa nguvu za kibinadamu na wanadamu.
Ni wajanja wachache tu huwalaghai na kuwadanganya watu wengine kwamba kuna shetani anatoa utajiri ili kuwahadaa na kuwapumbaza watu wajinga wasiotaka kuhustle wenyewe wakitegemea mafanikio ya kuletewa.
Ndio maana unakuta wanawekewa masharti makali ya kupata pesa hizo ambao wao hudhani ndio masharti ya kishetani ya huyo shetani, Kumbe ni masharti ya binadamu wajanja tu.
The supernatural power is You, Yourself.
Hakuna Mungu wala Shetani anayetoa utajiri, pesa au mali.
I'm out.
Kama uchawi upo nenda kautumie kwa nguvu zako zote, Uwazidi matajiri wakubwa hapa nchini kama Mo Dewji, GSM, Bakhressa.
Huyo mganga kama anajua uganga wake una nguvu kweli, Kwa nini asiutumie kuwa tajiri awazidi kina Dangote?
Hivi ni mtu gani ambaye ana uwezo wa kukutajirisha wewe, ila hawezi kujitajirisha yeye mwenyewe?
Kwani kuna mtu hataki kuwa tajiri?
Au hao waganga na wachawi wanapenda wawe maskini, ila wewe uwe tajiri?
Inawezekana kweli kwa akili timamu za kibinadamu???
Katika watu wanaojiona wanaonekana wajinga mmoja wapo ni wewe, soma hapa Kisha njoo pm na namba yako nikupe elimu acha kubishana kwa usiyoyajua, hakuna anae weka siri zake hadharaniKama uchawi upo nenda kautumie kwa nguvu zako zote, Uwazidi matajiri wakubwa hapa nchini kama Mo Dewji, GSM, Bakhressa.
Huyo mganga kama anajua uganga wake una nguvu kweli, Kwa nini asiutumie kuwa tajiri awazidi kina Dangote?
Hivi ni mtu gani ambaye ana uwezo wa kukutajirisha wewe, ila hawezi kujitajirisha yeye mwenyewe?
Kwani kuna mtu hataki kuwa tajiri?
Au hao waganga na wachawi wanapenda wawe maskini, ila wewe uwe tajiri?
Inawezekana kweli kwa akili timamu za kibinadamu???
Don't come here to advertise your ignorance.Nikw
Katika watu wanaojiona wanaonekana wajinga mmoja wapo ni wewe,
Wewe kama una amini kuna utajiri wa kishetani mbona hata hujafikia level za kina Mo Dewji?soma hapa Kisha njoo pm na namba yako nikupe elimu acha kubishana kwa usiyoyajua, hakuna anae weka siri zake hadharani
Uchawi wa waafrika ungekuwa unafanya kazi na kuleta maendeleo kweli, Serikali za nchi za Afrika zisingehitaji misaada na mikopo ya wazungu.Mbona wanazitumia mkuu
Mbona naona mnajisumbua kubishana na huyo mwehu? Watu wa namna hio ndio kama ma atheist akina Kiranga wasioamini chochote wao wanaishi kama mazombie. Kubishana na Hawa wehu ya hitaji moyo mkuu na muda pengine utoe siku nzima kubishana nao utapoteza muda na kujichosha.Ninavyokuona upande huu si wako na wala hujui chochote,ungefungua tu thread ya mambo mengine na si upande huu,ulichoongea ni opinion na si fact
Mwehu ni Baba na Mama yako waliozaa punguani kama wewe.Mbona naona mnajisumbua kubishana na huyo mwehu? Watu wa namna hio ndio kama ma atheist akina Kiranga wasioamini chochote wao wanaishi kama mazombie. Kubishana na Hawa wehu ya hitaji moyo mkuu na muda pengine utoe siku nzima kubishana nao utapoteza muda na kujichosha.
Umeongea jambo la maana mkuu hawa wapumbavu wanajitoa mno akili hawataki kutambua life realitiesMbona naona mnajisumbua kubishana na huyo mwehu? Watu wa namna hio ndio kama ma atheist akina Kiranga wasioamini chochote wao wanaishi kama mazombie. Kubishana na Hawa wehu ya hitaji moyo mkuu na muda pengine utoe siku nzima kubishana nao utapoteza muda na kujichosha.
Kwa nini ninachoamini au nisichoamini kinakusumbua sana mpqka unanitag hapa mkuu?Mbona naona mnajisumbua kubishana na huyo mwehu? Watu wa namna hio ndio kama ma atheist akina Kiranga wasioamini chochote wao wanaishi kama mazombie. Kubishana na Hawa wehu ya hitaji moyo mkuu na muda pengine utoe siku nzima kubishana nao utapoteza muda na kujichosha.
Au mwambie huyo mganga akuwezeshe umiliki private jet ✈️, Kiwanda kikubwa cha uzalishaji, Magari makali ya kifahari kama Rolls-Royce Boat tail, Mercedes Maybach, Buggati, Lamborghini, Cadillac escalade au akishindwa sana angalau akupe Range rover sport kwa uganga wake tu.🍷🍾Waafrika wengi hasa watanzania wamekuwa wakiamini kwa muda mrefu kwamba kuna utajiri wa kishetani, kichawi na kishirikina. Cha kushangaza hali zao za kiuchumi ziko vilevile miaka nenda rudi.
Kama kweli kwa hakika unajua na kuamini kuna utajiri wa kishetani, kichawi au kishirikina. Kwa nini usiutumie kwa nguvu zako zote uwe tajiri mkubwa nchini Tanzania, Afrika na duniani?
Kwa nini ujihangaishe kufanya kazi na kuchoka ilhali unajua kuna utajiri wa kishetani?
Kamtumie huyo shetani akutajirishe kama ni rahisi hivyo!!
Katoe kafara za kutosha ikiwezekana hata ukoo wako wote tuone kama biashara yako itakuwa kubwa au utaweza hata kufikia utajiri wa Bakhressa.
Kama kweli kuna utajiri wa kishetani, kichawi au kishirikina. Kwa nini usiutumie kwa nguvu zako zote, Uwazidi matajiri wakubwa Afrika kama Aliko Dangote, Bakhressa, Mo Dewji na matajiri wengine wakubwa duniani kama Elon musk, Jeff Bezos?
Kama kweli unajua na kuamini kuna utajiri wa kishetani, kichawi au kishirikina. Kwa nini hujautumia huo uchawi, ushirikina, uganga angalau ufike hata level za utajiri wa Mo Dewji?
Kama unaamini kuna Shetani akitolewa kafara anatoa mali au atakupa mali za kukutajirisha, Katoe kafara wazazi wako au wanao wote tuone kama hata utafika level za utajiri wa Dangote.
Au kama unaamini kuna utajiri wa ndagu, uganga, ulozi n.k
Mwambie huyo mtoa ndagu au mganga, Akupe utajiri angalau umfikie au umzidi Bakhressa kama ana huo uwezo.
Au mwambie huyo mganga akuwezeshe umiliki private jet ✈️, Kiwanda kikubwa cha uzalishaji, Magari makali ya kifahari kama Rolls-Royce Boat tail, Mercedes Maybach, Buggati, Lamborghini, Cadillac escalade au akishindwa sana angalau akupe Range rover sport kwa uganga wake tu.
Waafrika wengi hasa watanzania wana amini kuna utajiri wa kishetani, kichawi na kishirikina lakini bado maisha yao ni ya kimaskini, kikapuku, kifukara pangu pakavu tia mchuzi.
Kama unaamini au unajua kuna Shetani anatoa utajiri, Kamtumie kwa nguvu zako zote akutajirishe na uwe tajiri kweli, Angalau ufike level za utajiri wa kina Dangote.
Kisha ndio uanze kusema kwamba kuna utajiri wa kishetani.
Habari za utajiri wa kishetani, kichawi na kishirikina, Husikika tu kwa waafrika maskini choka mbaya, wajinga, wavivu, makapuku, makabwela na mafukara ambao wanashinda vijiweni na vilabuni waki danganyana na kupeana matumaini uchwara ya utajiri wa kufikirika.
Hakuna kiumbe kiitwacho Shetani kinacho toa utajiri. Utajiri na pesa hutoka kwa binadamu. Hakuna kiumbe kiitwacho Shetani chenye pesa.
Pesa ni za binadamu, Si za Mungu wala Shetani.
Hakuna Mungu, Shetani, Jini, Pepo au nguvu yeyote ile ya kimiujiza inayotoa Utajiri.
Pesa, Mali na utajiri hupatikana kwa nguvu za kibinadamu na wanadamu.
Ni wajanja wachache tu huwalaghai na kuwadanganya watu wengine kwamba kuna shetani anatoa utajiri ili kuwahadaa na kuwapumbaza watu wajinga wasiotaka kuhustle wenyewe wakitegemea mafanikio ya kuletewa.
Ndio maana unakuta wanawekewa masharti makali ya kupata pesa hizo ambao wao hudhani ndio masharti ya kishetani ya huyo shetani, Kumbe ni masharti ya binadamu wajanja tu.
The supernatural power is You, Yourself.
Hakuna Mungu wala Shetani anayetoa utajiri, pesa au mali.
I'm out.
Leta hapa hizo realities za utajiri wa kishetani sio stori za vijiweni huko.Umeongea jambo la maana mkuu hawa wapumbavu wanajitoa mno akili hawataki kutambua life realities
Mungu sio masikini na huwa hadili nao.Shetani sio masikini na huwa hadili nao
Sawa atheist vampire go to ignore list.Kwa nini ninachoamini au nisichoamini kinakusumbua sana mpqka unanitag hapa mkuu?
Una matatizo gani ya kisaikolojia katika maisha yako yanayokufanya ujali sana maisha ya mtu baki usiyemjua kama mimi?
Mimi mbona hata sikujui ndiyo naiona ID yako leo, kama tulikutana sehemu huna umuhimu kwangu mpaka sikukumbuki, na hujawahi kunisumbua kabisa, usumbufu pekee ni kunitag hapa tu ?
Mimi mbona sijali wewe unachoamini au usichoamini, naona hiyo ni haki yako ya kikatiba na kibinadamu tu. Nakupa nafasi uishi unavyotaka bila kukunyanyapaa.
Ndivyo waumini mnavyofundishwa hivyo? Muwanyanyapae watu wasioamini kama nyinyi?
Mbona hapa mimi mtu nisiyeamini ndiye naonekana mtu wa peace and love sijakunyanyapaa wewe kwa kuamini unavyotaka, halafu wewe mtu wa imani ndiye unaonekana mshari, tu wa kunyanyapaa watu kwa sababu wako tofauti na wewe?
Wewe ni katibya wale watekaji wa Boko Haram au kikundi gani wewe? Au ni masalia ya Lord's Resistance Army ya Joseph Korny wewe? Au Mtalibani wewe?
Ndivyo watu wa imani mnavyofundishwa hivyo? Kunyanyapaa watu kwa sababu hamkubaliani nao katika imani zenu?
Wewe nyungunyungu ngumbaru usiye na uti wa mgongo wala ubongo nakupeleka ignore list usichafue hewa hapa, kuanzia hapa sitaona post yako yoyote.Sawa atheist vampire go to ignore list.
Nikikuita bwege elewa , wewe unaelumu sio , Kwa nn hujaitumia elimu yako kufanya Jambo kubwa kuliko wenye elimu kama yako umebaki kuwa mfuasi tu, hata kwenye huo uchawi kuna kuzidiana Acha kuleta upuuzi wako humu , nikutaafharishe tu wewe kichwani mwako kilichoko nisawa na hamna Kwa watu wengine ( ukielewa hapo itakusaidia na nitakujibu tena) na ukibisha nitakutoa kafara niogelee minotiDon't come here to advertise your ignorance.
Wewe kama una amini kuna utajiri wa kishetani mbona hata hujafikia level za kina Mo Dewji?
Nenda kautumie huo uchawi na ushirikina uwazidi matajiri wakubwa kama kina Dangote, Bakhressa na kina Elon musk.
Sio unapiga porojo hapa na stori za vijiweni.