Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
- Thread starter
-
- #21
Unathibitisha vipi nina hangaika?Nyie watu hua mnahangaika sana na kuishi Kwa mashaka bila utulivu
Zile ni stori za Alinacha.Jamaa ameona haeleweki kwenye uzi wa Tanzanian Dream,sasa ameamua kukiripua.
Waelewe tu mkuu,Kuna makapuku yako kwenye ule uzi wa " The dark side of business" yanalishana Matango pori na kuaminishana Ujinga.
Yanatetea kuna utajiri wa kishetani, ila kuutumia watajirike hawawezi.
Wanabaki kutetea utajiri wa kufikirika tu. Imaginations just an illusion.
Kama kuna joka linatoa pesa, mbona hulitumii likupe hizo pesa?Huyu dawa yake kumfanya Ndocha atuletee pesa za manyokaππ
Au Ile yakufungiwa geto Siku tatu unaoza Siku ya nne ukizinduka ukiona funza ndio pesa hizo , hili zoezi ni la muendelezo pindi pesa zinapopunguaShida masharti πππ
Utaweza kunywa damu kila siku saa 4 asubuhi??
Mimi ni nguvu kazi sitaki utajiri huo πKama kuna joka linatoa pesa, mbona hulitumii likupe hizo pesa?
Huyo anayekupa hayo masharti ya kunywa damu, Kwanza muulize ana utajiri kiasi gani?Shida masharti πππ
Utaweza kunywa damu kila siku saa 4 asubuhi??
ndugu,una haki ya kusikilizwa.Zile ni stori za Alinacha.
Kama mtu unajua kuna utajiri wa kishetani kwa nini usiutumie kwa nguvu zako zote Uwazidi matajiri wakubwa kama kina Bakhressa?
Kumbe unajua utajiri unapatikana kwa nguvu kazi.Mimi ni nguvu kazi sitaki utajiri huo π
Watakwambia wana hofu ya MunguKama kuna utajiri wa kishetani kwa nini waafrika wengi bado ni maskini?
Si watumie huo uchawi, ushirikina na uganga wao wawe matajiri kama wana huo uwezo?
kijana yuko chekechea,au yuko madarasa ya mwanzomwanzo huko kijijini kwao nyambeba,litumbanjosi au kwedikwazo huko pwani.Bado una akili changa sana wewe hii Dunia mengi ambayo kwa uwezo wa akili yako huwezi yaelewa
Mkuu hii Jf mtu anaweza kukujaza upepo ukajaaKumbe unajua utajiri unapatikana kwa nguvu kazi.
Sasa kwa nini bado una amini kuna utajiri wa kishetani, kichawi au kishirikina?
Watakuambia uthibitisheMungu yupo
Shetani yupo
Uchawi upo
Ushirikina upo
Utajiri upo
Umaskini upo
Kwanza hao walokole ndio maskini choka mbaya kutwa kucha kushinda makanisani kama wehu wakiimba na kupayuka kama mbayuwayuWalokole na uchawi wa kukemea mapepo katika moja na mbili
Nafutialia kwa ukaribu hapa
sema rubi una vituko sanaShida masharti πππ
Utaweza kunywa damu kila siku saa 4 asubuhi??