Hute
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,537
- 6,472
ni upumbavu kuamini evolution, ni upumbavu kuamini kuwa binadamu wa kwanza alikuwa tz, bora tusipate hela za utalii kuliko kuamini upumbavvv na ushenzi kama huo.Saaafi kabisaa naamini watalii watakuja kuona alipotokea binadamu wa kwanza sasa sijui ni Adam au!! Naimani Edeni ilikuwa ndani yaTanzania. Ahsante Maliasili kwa utafiti huu.
Utafiti waondoa utata kuhusu mahali alipotokea mwanadamu wa kwanza.