Hakuna wa kuilaumu SIMBA- Hongera kwa wachezaji wa Simba wote na bench la ufundi likiongozwa na Babu Robati

Upumbavu mnatumika kisiasa muendelee kufungwa tu
 
Simba katoka kama kanuni ya mchezo tu kuhitaji mshindi mmoja ila sio kuzidiwa mbinu na mpinzani. Kudos kwa Wachezaji, bench la ufundi, wanachama na mashabiki kwa ujumla

Hakika mkuu
 
Wasiwasi wangu ni Babu robati kuvunjishwa mkataba na timu m-badala na simba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…