Hakuna wa kuilaumu SIMBA- Hongera kwa wachezaji wa Simba wote na bench la ufundi likiongozwa na Babu Robati

Babu yuko fit sana, SIMBA wasipojidhatiti watakosa kocha mzuri sanaa hapo
Nakama akibakia ,atafutiwe viungo wawili muhimu ,wakuamua magoli yafungwe vipi na jean baleke na general Phil ,wasisajiliwe na wachezaji wengi wapunguzwe waliopo wakigeni ,harafu viungo hapo ,kati wapatikane wawili wandani mmoja (feitoto ) nawakigeni mmoja ,wanaolipwa pesa ndefu
 
Sisi wana Simba hatuna cha kuwadai wachezaji wetu.Wamecheza kama ilivyopaswa.Benchi la ufundi wako vizuri sana.Tukutane mwakani

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Wanasimba acheni kujifariji, kila mzimu mnaishia robo. Mnaacha kujitafakari mnakazana et mmepambana kiume, sijui hamna cha kumlaumu.

Kolo ni kolo tu.
 
Wanaoongoza kuiponda SIMBA sio wengine bali ni wale waliobugia mbili kavu kwenye derby[emoji3]
Kwahiyo wamepata pa kupunguzia machungu
 
hakuna wa kuwalaimu kabisa
 
Aisee! Ukifuatilia huu uzi, comment za wana Yanga zinadhihirisha ni jinsi gani hawana akili kabisa. Kilichotokea Morocco wengi hawakutarajia Simba kufungwa goli moja tu? Hii inaonesha ni jinsi gani kiwango cha simba kimeimarika
 
Simba katoka kama kanuni ya mchezo tu kuhitaji mshindi mmoja ila sio kuzidiwa mbinu na mpinzani. Kudos kwa Wachezaji, bench la ufundi, wanachama na mashabiki kwa ujumla
Check statistics ....66% kwa 34% ....pasi...220 kwa 440 .....short on target 0 wenzao 4......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…