Hakuna wa kumzidi Lunya kwa sasa

Hakuna wa kumzidi Lunya kwa sasa

Nyimbo zake yingi kuvimba, kula pisi , majungu , starehe na vitu vinavyohusiana na hayo , huwezi kukuta vitu sensitive hata siku moja.
 
Lunya aliingia na style ya freestyle ndio imemtambulisha kwenye game. Mwanzo walianza kama Duo ya SMG ila waka split so far wote wakali Lunya, Conboi na Salmin Swagz
ila alie make it to the top ni Lunya.
na conboi yuko vizuri sana ninachofurahi ana rap kama 2pac tu
 
Soft rap ndio mziki wa kibiashara na ndo inafanya vizuri kwa sasa hizo hiphop ngumu mtaishia kusikilizia getto na masela tu. Nakupa mfano east Africa ukitaja Rapper bora bas ni Kaligraph jones hakuna ubishi na je yeye anarap kwa style gani? Hakuna ubishi tym changes. Huu ni wakati wa lunya
Usikute tunabishana na lunya😀😀
 
Mnabishania rappers mbovu ,wabongo kweli mnasahau mapema bora niwasikilize wakina tupac, kanye na Kendrick Lamar tu angalau kuna contents of changes
 
Top List kwa hii Generation ni mtazamo tu.
1.FidQ [emoji146]
2.Dizasta vina[emoji238]
3.Stamina[emoji981]
4.Monicetralzone[emoji350]
5.Con boi
6.Salmin swagg
7.Young killer
8.Young Lunya
9.Country boe
10.Motral the future

SAB.
Rapcha
Marifaa
Nacha
Kontawa
Ghafla bin Vuu.
Contawa sub alafu Motra kaanza????
 
Top List kwa hii Generation ni mtazamo tu.
1.FidQ [emoji146]
2.Dizasta vina[emoji238]
3.Stamina[emoji981]
4.Monicetralzone[emoji350]
5.Con boi
6.Salmin swagg
7.Young killer
8.Young Lunya
9.Country boe
10.Motral the future

SAB.
Rapcha
Marifaa
Nacha
Kontawa
Ghafla bin Vuu.
P mawenge hayupo mkuu afu Motra yupo..
 
Back
Top Bottom