Umerogwa nakwambia haiwezekani unashindwa kutofautisha namba sio bure wachawi hawapendi maendeleo yako..4. Watu wanaamini bundi wanatumiwa na wachawi sababu wanatembea usiku. Lakini tunajua uwezo wa bundi kuona usiku ndiyo unamuwezesha kufanya mawindo yake usiku.
4. Watu kwa ujinga wa kushindwa kupiga hesabu za mapato na matumizi, na kuweza kutunza pesa wanasingizia chuma ulete.
Wewe ndiye mjinga mkubwa kwasababu huna akili hata kidogoKatika watu wajinga, nafikiri wanaoamini habari za kichawi wanaongoza. Nimekuja kugundua kuwa mambo mengi yanayoaminika kutokana na uchawi, yanaaminika hivyo sababu ya watu kuwa wajinga. Nitoe mifano.
1. Kuna mtu alikuwa anapata kinyesi cheusi. sasa sababu ya ujinga akawa anaamini amerogwa. Lakini kumbe kile kinyesi cheusi ni dalili ya vidonda vya tumbo, na ule weusi ni madini chuma kutoka kwenye damu inayomvuja tumboni.
2. Mtu mwingine akasema wazungu nao wachawi sana. kuna kijiji watu walikuwa wanakufa kwa radi. Mzungu akaja akasimamisha kamnara tu radi ikaacha kuua watu.
3. Wengi wanaamini vichaa wanaotembea barabarani wamerogwa. Lakini vichaa karibu vyote vinatokana na vichocheo kuyumba au kujeruhiwa kwa ubongo.
4. Watu wanaamini bundi wanatumiwa na wachawi sababu wanatembea usiku. Lakini tunajua uwezo wa bundi kuona usiku ndiyo unamuwezesha kufanya mawindo yake usiku.
4. Watu kwa ujinga wa kushindwa kupiga hesabu za mapato na matumizi, na kuweza kutunza pesa wanasingizia chuma ulete.
7. Magonjwa mengi hapo zamani yalidhaniwa kuwa yanatokana na kurogwa. Lakini sababu zake hasa zimekuja kufahamika. ujinga ndiyo ulifanya watu waamini kuna kurogwa. Kuna mchezaji amefariki juzi mguu unaoza yeye anasema ametupiwa jini.
8.Kanuni za kilimo zinajulikana lakini unakuta kuna watu wanaamini mtu anaweza kuroga apate mazao mengi, au akakuroga usipate mazao ya kutosha.
9.Madini yanapopatikana na jinsi ya kuyachimba huwa inafahamika, l;akini watu huwa wanaamini yanapatikana kwa uchawi.
10. Mara kuna uchawi wa kuleta mvua na hali habari ya ujio wa mvua na kutokuja zinajulikana.
11. Wengine wanaamini uchawi unaweza kukusaidia kwenye uvuvi.
12. wengine wanasema kuna wachawi huwa wanaingilia watu kingono!!1!
Kiufupi, wajinga wakishindwa kuelewa kitu wanasingizia uchawi. Hakuna kitu kinafunua ujinga wa mtu kama imani yake juu ya habari za kichawi. Jinsi ilivyo kali ndivyo ujinga wake ulivyo mkali zaidi.
Hujakutana na usiku unaojifungua........Katika watu wajinga, nafikiri wanaoamini habari za kichawi wanaongoza. Nimekuja kugundua kuwa mambo mengi yanayoaminika kutokana na uchawi, yanaaminika hivyo sababu ya watu kuwa wajinga. Nitoe mifano.
1. Kuna mtu alikuwa anapata kinyesi cheusi. sasa sababu ya ujinga akawa anaamini amerogwa. Lakini kumbe kile kinyesi cheusi ni dalili ya vidonda vya tumbo, na ule weusi ni madini chuma kutoka kwenye damu inayomvuja tumboni.
2. Mtu mwingine akasema wazungu nao wachawi sana. kuna kijiji watu walikuwa wanakufa kwa radi. Mzungu akaja akasimamisha kamnara tu radi ikaacha kuua watu.
3. Wengi wanaamini vichaa wanaotembea barabarani wamerogwa. Lakini vichaa karibu vyote vinatokana na vichocheo kuyumba au kujeruhiwa kwa ubongo.
4. Watu wanaamini bundi wanatumiwa na wachawi sababu wanatembea usiku. Lakini tunajua uwezo wa bundi kuona usiku ndiyo unamuwezesha kufanya mawindo yake usiku.
4. Watu kwa ujinga wa kushindwa kupiga hesabu za mapato na matumizi, na kuweza kutunza pesa wanasingizia chuma ulete.
7. Magonjwa mengi hapo zamani yalidhaniwa kuwa yanatokana na kurogwa. Lakini sababu zake hasa zimekuja kufahamika. ujinga ndiyo ulifanya watu waamini kuna kurogwa. Kuna mchezaji amefariki juzi mguu unaoza yeye anasema ametupiwa jini.
8.Kanuni za kilimo zinajulikana lakini unakuta kuna watu wanaamini mtu anaweza kuroga apate mazao mengi, au akakuroga usipate mazao ya kutosha.
9.Madini yanapopatikana na jinsi ya kuyachimba huwa inafahamika, l;akini watu huwa wanaamini yanapatikana kwa uchawi.
10. Mara kuna uchawi wa kuleta mvua na hali habari ya ujio wa mvua na kutokuja zinajulikana.
11. Wengine wanaamini uchawi unaweza kukusaidia kwenye uvuvi.
12. wengine wanasema kuna wachawi huwa wanaingilia watu kingono!!1!
Kiufupi, wajinga wakishindwa kuelewa kitu wanasingizia uchawi. Hakuna kitu kinafunua ujinga wa mtu kama imani yake juu ya habari za kichawi. Jinsi ilivyo kali ndivyo ujinga wake ulivyo mkali zaidi.
Wewe ni lazima uje kutetea hiyo imani ya kufikirika kuhusu uchawi coz wengi humu umewashikia akili zao kwa kuwaongopea kuhusu upuuzi huo,kuna wengine mpaka wanakuona eti wewe ni GT,Unajua hata kutojua maama ya kitu ni ujinga? Kwa mfano unajua hata wewe ni mjinga kwenye ishu nzima ya uhawi? Maana vyote ulivyoandika hapa ni simulizi za kusikia, kuambiewa na kusoma vitabuni
Uchawi ni dhana pana kuliko hiki ulichoandika hapa na wajinga wako kila mahali sio kwenye uchawi tuu
UpowapiUchawi upo
Cha kuchekesha mbona hao wachawi hawaendi kuiba hela Benki bali wanawaibia masikini wanaoweka hela sijui kwenye Kibubu?Na wewe unaamini mtu anaweza kukuibia pesa kwa ushirikina?
Ajabu sana, na unakuta huyo si tu maskini bali pia hafahamu hesabu za kujumlisha na kutoa kwa ufasaha.Cha kuchekesha mbona hao wachawi hawaendi kuiba hela Benki bali wanawaibia masikini wanaoweka hela sijui kwenye Kibubu?
😀😀
Nasubiri majibu pia.Kwa wale wanaoamini uchawi upo wajibu maswali haya
1: uchawi ni nini
2: Nani anaemiliki huo uchawi na anaumiliki kwa namna gani
3: anauhamisha vipi kutoka kwenye umiliki wake na kuutuma kwenda kumdhuru kiumbe mwingine na unaingia kwa huyu kiumbe mwingine kupitia njia zipi.
Wenge, akili ya binadamu ni kina kirefu. Bado haijajulikana hasa inafanyaje kazi.Hujakutana na usiku unaojifungua........
Mi nilikuwa kama wewe ila mwaka 2019 nilipigwa tukio....acha kabisa
Kumbe wachawi hawana uwezo wa kuiba Bank, inafikirisha sana.Cha kuchekesha mbona hao wachawi hawaendi kuiba hela Benki bali wanawaibia masikini wanaoweka hela sijui kwenye Kibubu?
😀😀
Hili huwa linanichekesha sana. Watu huwa wanamuona mshana eti ni GT. Sema huyu mwamba na mwenzake Likud wana maslahi na hili sualaWewe ni lazima uje kutetea hiyo imani ya kufikirika kuhusu uchawi coz wengi humu umewashikia akili zao kwa kuwaongopea kuhusu upuuzi huo,kuna wengine mpaka wanakuona eti wewe ni GT,
Hiki ni kichekesho kwa karne hii.
Fuatili story za akina nimrodi wa babeli , akina farao wa misri, mwambie mchungaji wako akusimulie sisi wengine hatutowezaKwa wale wanaoamini uchawi upo wajibu maswali haya
1: uchawi ni nini
2: Nani anaemiliki huo uchawi na anaumiliki kwa namna gani
3: anauhamisha vipi kutoka kwenye umiliki wake na kuutuma kwenda kumdhuru kiumbe mwingine na unaingia kwa huyu kiumbe mwingine kupitia njia zipi.
Unajua ishu ya chuma ulete ni uzembe na kujisahau tu?Lycaon pictus mzee wangu uchawi upo wala usinidanganye mzee kujifanya kila kitu kutoamini ,japo kuna watu wanazidisha hata kitu cha ujinga wake anasingizia kurogwa,
Hiyo namba nane unapigwa ndumba kweupe kabisa ,unalima ww wanakuja kuvuna wenyeji kichawi na ww unapata kiduchu,usiombe yakukute.
Chuma ulete ndio usiseme kabisa yan kaa pembeni mzeeee,ni chuma ulete kweli na ipo advanced sasa hivi mtu anaweza pita tu njia akakuchukulia hela bila kuja dukani na kukupa buku ww ukaona kakupa ellfu 10.
Yangu ni hayo tu.
Yalikukuta manini?Hata mimi nilikuwa kama wewe ila kwa yaliyonikuta na nikisoma hili bandiko lako hapa nakuona kama lizezeta flani hivi.
Kwa heshima kubwa bro Mshana Jr eti vip kuhusiana na chimaulete (sijui kama nimeandika sahihi) vip hii kitu ipo? Na kama ipo, imekaaje hii?Unajua hata kutojua maama ya kitu ni ujinga? Kwa mfano unajua hata wewe ni mjinga kwenye ishu nzima ya uhawi? Maana vyote ulivyoandika hapa ni simulizi za kusikia, kuambiewa na kusoma vitabuni
Uchawi ni dhana pana kuliko hiki ulichoandika hapa na wajinga wako kila mahali sio kwenye uchawi tuu