Hakuna watu wajinga kama watu wanaoamini habari za kichawi

Hakuna watu wajinga kama watu wanaoamini habari za kichawi

Uvhawi ni work done equals to zero, uchawi ungekuwa unafanya kazi dunia isingekua sehemu salama ya kuishi, kwasababu ukimzingua mtu kidogo tu ushamrog(zaidi ya 50% population wangekuwa vichaa), mabenki yangekuwa yanatangaza hasara tu kilasiku kwasababu ya chumaulete, wazungu wangekuwa wanashangaa kuwaona waafrika wanaongezeka kwa Kasi ya ajabu kwenye nchi zao(kumbe wamepaa na ungo kwenda kwenye nchi badala ya kutumia njia hatarishi ya mahi)
 
Unajua hata kutojua maama ya kitu ni ujinga? Kwa mfano unajua hata wewe ni mjinga kwenye ishu nzima ya uhawi? Maana vyote ulivyoandika hapa ni simulizi za kusikia, kuambiewa na kusoma vitabuni
Uchawi ni dhana pana kuliko hiki ulichoandika hapa na wajinga wako kila mahali sio kwenye uchawi tuu
Hiyo ni imani tuu.
Kiuhalisia Hakuna kitu kinaitwa uchawi ila kuna wachawi.
 
Trevor Noah anasimulia kuwa wakati mdogo alijisaidia haja kubwa ndani sababu ya kushindwa kwenda choo cha nje mvua inanyesha. Bibi yake alipoona kinyesi kile akafikia conclusion kuwa ni masuala ya kichawi.Akaita na wengine wakaanza kuomba na kukemea jambo lile, na Trevor naye akaunganishwa katika maombi hayo. Sasa kama haya hili siyo ujinga ni nini?
 
Kumbe wachawi hawana uwezo wa kuiba Bank, inafikirisha sana.
Inashangaza sana huo uchawi unaosemwa ni upo kwa ajili ya uharibifu tuu na kuleta madhara basi.

Tunashida lukuki chungunzima maji shida, umeme shida, hela haipatikani ila huu ni utatui haya mambo, badala yake unasemwa kutatua mambo ya kijinga tu na kuleta madhara basii
 
Uvhawi ni work done equals to zero, uchawi ungekuwa unafanya kazi dunia isingekua sehemu salama ya kuishi, kwasababu ukimzingua mtu kidogo tu ushamrog(zaidi ya 50% population wangekuwa vichaa), mabenki yangekuwa yanatangaza hasara tu kilasiku kwasababu ya chumaulete, wazungu wangekuwa wanashangaa kuwaona waafrika wanaongezeka kwa Kasi ya ajabu kwenye nchi zao(kumbe wamepaa na ungo kwenda kwenye nchi badala ya kutumia njia hatarishi ya mahi)
Labda Mshana Jr atueleze inakuaje wachawi wanashindwa kufika marekani na ungo.
 
Unaamini kwamba unaweza kufanyiwa dawa za kichawi kiasi kwamba ukipigwa risasi haikuingii?
Huo ni uzwazwa, ila wapo wanaojiganga

Nenda Mwanza utaelezwa kuhusu Ngw'anamalundi (Mwanamalundi) na Power Mabula

Sio story za kutunga, Power Mabula alikua anavuta gari kwa kamba ukielezwa aliyoyafanya Ngw'anamalundi ndio utarukwa na akili kabisa

Anyway somehow nimegundua bado una akili ndogo mambo mengi hauyajui, endelea kujifunza, uchawi (magic) ni zaidi ya simulizi za vita ya maji maji

Kuna tofauti kubwa kati ya UCHAWI na USHIRIKINA usije ukachanganya mafaili kijana
 
Katika watu wajinga, nafikiri wanaoamini habari za kichawi wanaongoza. Nimekuja kugundua kuwa mambo mengi yanayoaminika kutokana na uchawi, yanaaminika hivyo sababu ya watu kuwa wajinga. Nitoe mifano.

1. Kuna mtu alikuwa anapata kinyesi cheusi. sasa sababu ya ujinga akawa anaamini amerogwa. Lakini kumbe kile kinyesi cheusi ni dalili ya vidonda vya tumbo, na ule weusi ni madini chuma kutoka kwenye damu inayomvuja tumboni.
2. Mtu mwingine akasema wazungu nao wachawi sana. kuna kijiji watu walikuwa wanakufa kwa radi. Mzungu akaja akasimamisha kamnara tu radi ikaacha kuua watu.
3. Wengi wanaamini vichaa wanaotembea barabarani wamerogwa. Lakini vichaa karibu vyote vinatokana na vichocheo kuyumba au kujeruhiwa kwa ubongo.
4. Watu wanaamini bundi wanatumiwa na wachawi sababu wanatembea usiku. Lakini tunajua uwezo wa bundi kuona usiku ndiyo unamuwezesha kufanya mawindo yake usiku.
4. Watu kwa ujinga wa kushindwa kupiga hesabu za mapato na matumizi, na kuweza kutunza pesa wanasingizia chuma ulete.
7. Magonjwa mengi hapo zamani yalidhaniwa kuwa yanatokana na kurogwa. Lakini sababu zake hasa zimekuja kufahamika. ujinga ndiyo ulifanya watu waamini kuna kurogwa. Kuna mchezaji amefariki juzi mguu unaoza yeye anasema ametupiwa jini.
8.Kanuni za kilimo zinajulikana lakini unakuta kuna watu wanaamini mtu anaweza kuroga apate mazao mengi, au akakuroga usipate mazao ya kutosha.
9.Madini yanapopatikana na jinsi ya kuyachimba huwa inafahamika, l;akini watu huwa wanaamini yanapatikana kwa uchawi.
10. Mara kuna uchawi wa kuleta mvua na hali habari ya ujio wa mvua na kutokuja zinajulikana.
11. Wengine wanaamini uchawi unaweza kukusaidia kwenye uvuvi.
12. wengine wanasema kuna wachawi huwa wanaingilia watu kingono!!1!

Kiufupi, wajinga wakishindwa kuelewa kitu wanasingizia uchawi. Hakuna kitu kinafunua ujinga wa mtu kama imani yake juu ya habari za kichawi. Jinsi ilivyo kali ndivyo ujinga wake ulivyo mkali zaidi.
nina mashaka na umri wako na huna exposure ya maisha,

ila kama una 35+ na una exposure ya maisha na umezunguka kwa utafutaji iwe umepata au umekosa

basi usingekuja kuandika huu utumbo wako hapa,we subiria shemeji apike ugal ule ukabeti
 
Uvhawi ni work done equals to zero, uchawi ungekuwa unafanya kazi dunia isingekua sehemu salama ya kuishi, kwasababu ukimzingua mtu kidogo tu ushamrog(zaidi ya 50% population wangekuwa vichaa), mabenki yangekuwa yanatangaza hasara tu kilasiku kwasababu ya chumaulete, wazungu wangekuwa wanashangaa kuwaona waafrika wanaongezeka kwa Kasi ya ajabu kwenye nchi zao(kumbe wamepaa na ungo kwenda kwenye nchi badala ya kutumia njia hatarishi ya mahi)
Kichwamaji mwingine huyu hapa, tatizo la kujaza matoto ya form One kwenye jukwaa ndio haya sasa,
 
Huo ni uzwazwa, ila wapo wanaojiganga

Nenda Mwanza utaelezwa kuhusu Ngw'anamalundi (Mwanamalundi) na Power Mabula

Sio story za kutunga, Power Mabula alikua anavuta gari kwa kamba ukielezwa aliyoyafanya Ngw'anamalundi ndio utarukwa na akili kabisa

Anyway somehow nimegundua bado una akili ndogo mambo mengi hauyajui, endelea kujifunza, uchawi (magic) ni zaidi ya simulizi za vita ya maji maji

Kuna tofauti kubwa kati ya UCHAWI na USHIRIKINA usije ukachanganya mafaili kijana
Nimesoma kitabu cha Mwanamalundi. Ni hekaya tu kama hekaya zingine.
 
Inashangaza sana huo uchawi unaosemwa ni upo kwa ajili ya uharibifu tuu na kuleta madhara basi.

Tunashida lukuki chungunzima maji shida, umeme shida, hela haipatikani ila huu ni utatui haya mambo, badala yake unasemwa kutatua mambo ya kijinga tu na kuleta madhara basii
Na wanasema mjinga ni yule anayetia wengine hasara na yeye hapati faida yoyote. Kwa ulivyosema, ishu yote kuhusu uchawi ni ishu ya kijinga
 
nina mashaka na umri wako na huna exposure ya maisha,

ila kama una 35+ na una exposure ya maisha na umezunguka kwa utafutaji iwe umepata au umekosa

basi usingekuja kuandika huu utumbo wako hapa,we subiria shemeji apike ugal ule ukabeti
Unaamini kuwa kuna mchawi ana gunia la Narrowbee fly na huwa anawaachia kudhuru watu?
 
Back
Top Bottom