Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimewahi kuishi tabora huko kwa wanyamwezi ni washirikina balaa.....unarogwa kwa nguo yako mwenyeweMkuu weka hapa ulichojifunza wewe ili na wengine wajifunze kupitia kwako.
Subiri yakukute ndo utajuaKatika watu wajinga, nafikiri wanaoamini habari za kichawi wanaongoza. Nimekuja kugundua kuwa mambo mengi yanayoaminika kutokana na uchawi, yanaaminika hivyo sababu ya watu kuwa wajinga. Nitoe mifano.
1. Kuna mtu alikuwa anapata kinyesi cheusi. sasa sababu ya ujinga akawa anaamini amerogwa. Lakini kumbe kile kinyesi cheusi ni dalili ya vidonda vya tumbo, na ule weusi ni madini chuma kutoka kwenye damu inayomvuja tumboni.
2. Mtu mwingine akasema wazungu nao wachawi sana. kuna kijiji watu walikuwa wanakufa kwa radi. Mzungu akaja akasimamisha kamnara tu radi ikaacha kuua watu.
3. Wengi wanaamini vichaa wanaotembea barabarani wamerogwa. Lakini vichaa karibu vyote vinatokana na vichocheo kuyumba au kujeruhiwa kwa ubongo.
4. Watu wanaamini bundi wanatumiwa na wachawi sababu wanatembea usiku. Lakini tunajua uwezo wa bundi kuona usiku ndiyo unamuwezesha kufanya mawindo yake usiku.
4. Watu kwa ujinga wa kushindwa kupiga hesabu za mapato na matumizi, na kuweza kutunza pesa wanasingizia chuma ulete.
7. Magonjwa mengi hapo zamani yalidhaniwa kuwa yanatokana na kurogwa. Lakini sababu zake hasa zimekuja kufahamika. ujinga ndiyo ulifanya watu waamini kuna kurogwa. Kuna mchezaji amefariki juzi mguu unaoza yeye anasema ametupiwa jini.
8.Kanuni za kilimo zinajulikana lakini unakuta kuna watu wanaamini mtu anaweza kuroga apate mazao mengi, au akakuroga usipate mazao ya kutosha.
9.Madini yanapopatikana na jinsi ya kuyachimba huwa inafahamika, l;akini watu huwa wanaamini yanapatikana kwa uchawi.
10. Mara kuna uchawi wa kuleta mvua na hali habari ya ujio wa mvua na kutokuja zinajulikana.
11. Wengine wanaamini uchawi unaweza kukusaidia kwenye uvuvi.
12. wengine wanasema kuna wachawi huwa wanaingilia watu kingono!!1!
Kiufupi, wajinga wakishindwa kuelewa kitu wanasingizia uchawi. Hakuna kitu kinafunua ujinga wa mtu kama imani yake juu ya habari za kichawi. Jinsi ilivyo kali ndivyo ujinga wake ulivyo mkali zaidi.
Halafu eti una digriiii 😂😂😂😂Sasa Mlinzi atambishia mtu mwenye gari?
Acha upimbi nani amesema kuhusu hayo masuala ya radi onyesha nilisema kuhusu habari za radi, kumbe hapa najadiliana na bogus bila kujua, sawa endelea na ujinga wako stupid one,Sasa yeye na wewe unayeamini kuwa radi huwa inataga mayai nani kichwa maji?
Bible haikuandikwa na malaika. Ni binadamu kama mimi na wewe walitumia utashi wao. Ndio maana ina contradictions nyingi tu.Kwa kujua au kutokujua mtu anayekataa kuna uchawi huwa hata yeye ni mshirika wao, kwa makusudi au bahati mbaya.
Kama bible inautambua uchawi anayekataa ni nani?
We yalikukuta yapi hadi ukajua?Subiri yakukute ndo utajua
Katika watu wajinga, nafikiri wanaoamini habari za kichawi wanaongoza. Nimekuja kugundua kuwa mambo mengi yanayoaminika kutokana na uchawi, yanaaminika hivyo sababu ya watu kuwa wajinga. Nitoe mifano.
1. Kuna mtu alikuwa anapata kinyesi cheusi. sasa sababu ya ujinga akawa anaamini amerogwa. Lakini kumbe kile kinyesi cheusi ni dalili ya vidonda vya tumbo, na ule weusi ni madini chuma kutoka kwenye damu inayomvuja tumboni.
2. Mtu mwingine akasema wazungu nao wachawi sana. kuna kijiji watu walikuwa wanakufa kwa radi. Mzungu akaja akasimamisha kamnara tu radi ikaacha kuua watu.
3. Wengi wanaamini vichaa wanaotembea barabarani wamerogwa. Lakini vichaa karibu vyote vinatokana na vichocheo kuyumba au kujeruhiwa kwa ubongo.
4. Watu wanaamini bundi wanatumiwa na wachawi sababu wanatembea usiku. Lakini tunajua uwezo wa bundi kuona usiku ndiyo unamuwezesha kufanya mawindo yake usiku.
4. Watu kwa ujinga wa kushindwa kupiga hesabu za mapato na matumizi, na kuweza kutunza pesa wanasingizia chuma ulete.
7. Magonjwa mengi hapo zamani yalidhaniwa kuwa yanatokana na kurogwa. Lakini sababu zake hasa zimekuja kufahamika. ujinga ndiyo ulifanya watu waamini kuna kurogwa. Kuna mchezaji amefariki juzi mguu unaoza yeye anasema ametupiwa jini.
8.Kanuni za kilimo zinajulikana lakini unakuta kuna watu wanaamini mtu anaweza kuroga apate mazao mengi, au akakuroga usipate mazao ya kutosha.
9.Madini yanapopatikana na jinsi ya kuyachimba huwa inafahamika, l;akini watu huwa wanaamini yanapatikana kwa uchawi.
10. Mara kuna uchawi wa kuleta mvua na hali habari ya ujio wa mvua na kutokuja zinajulikana.
11. Wengine wanaamini uchawi unaweza kukusaidia kwenye uvuvi.
12. wengine wanasema kuna wachawi huwa wanaingilia watu kingono!!1!
Kiufupi, wajinga wakishindwa kuelewa kitu wanasingizia uchawi. Hakuna kitu kinafunua ujinga wa mtu kama imani yake juu ya habari za kichawi. Jinsi ilivyo kali ndivyo ujinga wake ulivyo mkali zaidi.
Kama huamini kuwa radi ikipiga huwa inaacha yai halafu wachawi huja kulichukua na kuliangua kwaajili ya kudhuru watu, basi huamini uchawi.Acha upimbi nani amesema kuhusu hayo masuala ya radi onyesha nilisema kuhusu habari za radi, kumbe hapa najadiliana na bogus bila kujua, sawa endelea na ujinga wako stupid one,
We unafikiri mlinzi atambishia mjinga mmoja mwenye gari? unafikiri ni rahisi kuwapinga wajinga na misimamo yao?Halafu eti una digriiii 😂😂😂😂
Watu km nyinyi ndio hua mnaumizwa vibaya kimwili, kifkira na kisaikolojia, umewahi kuibiwa a/c insta?Siku wachawi na washirikina wakiweza kuiba pesa Bank naahidi nitajiunga nao.
Umeeleza vizuri sana, watu wengi wamekua wakiamini hiyo dhana ya uchawi kwa kuihusisha na vitabu vya Mungu.Fuatili story za akina nimrodi wa babeli , akina farao wa misri, mwambie mchungaji wako akusimulie sisi wengine hatutoweza
Unaamini nyuki huwa wanatumwa na wachawi wakaume watu?Kwa kujua au kutokujua mtu anayekataa kuna uchawi huwa hata yeye ni mshirika wao, kwa makusudi au bahati mbaya.
Kama bible inautambua uchawi anayekataa ni nani?
Una orodha yao wote? Maana mchawi hajitangazi wala hajitambulishi.. By the way ni sawa na kusema wote wanaoenda hospital lazima waponeIngekuwa uwezekano huo upo sidhani kama wale wanaozamia Meli kwenda ulaya na nchi nyingine wangepata shida.
Maana lengo Lao ni kufika huko kwa njia yoyote ile.
Wewe sema hizo mentality umemezeshwa na watoto wenzio kwenye kijiwe chenu cha bange baaasi ueleweke, haujakua kijana bado una akili ndogo sana bange zinakuharibuKama huamini kuwa radi ikipiga huwa inaacha yai halafu wachawi huja kulichukua na kuliangua kwaajili ya kudhuru watu, basi huamini uchawi.
Pesa ni mzigo mzito mchawi hahitaji hela ili akanunue chochote kwakuwa akitaka chochote anakipata bila kutumia helaSiku wachawi na washirikina wakiweza kuiba pesa Bank naahidi nitajiunga nao.
Mkuu rekebisha wewe alipoharibu yeye ili tukusome.Yani wewe ni mpuuzi kweli, hasa ulipoanza kutoa mifano yako ndo umeharibu kabisa
Sina orodha lakini tungeshasikia hata hizo stories kuwa inawezekana lakini hazipo.Una orodha yao wote? Maana mchawi hajitangazi wala hajitambulishi.. By the way ni sawa na kusema wote wanaoenda hospital lazima wapone