Hakuna watu wajinga kama watu wanaoamini habari za kichawi

Hakuna watu wajinga kama watu wanaoamini habari za kichawi

Wewe nani aliekuelezea hizo habari, yaan mnakaa huko kwenye vijiwe mnajazana ujinga alafu unaleta hapa ujinga wako alafu unaanza kusema wanaoamini ujinga wako ni wajinga na unatoa ushahidi wa kijinga, dude you're so bogus yaan umekosa ushahidi wa maana unaleta ushahidi wa kijinga km huo huo si utoto huo sasa
Sasa wachawi wanafanyaje mambo yao kama si kuatamia mayai ya radi? unaleta magonjwa ya mlipuko? wanavuta pesa kwa uchawi? wanafanya dhahabu zitokee? wanazuia na kuleta mvua? wanawasha moto nyumba, kuna mmama south nyumba yake iliungua akasema amepigwa juju na anashangaa hana ubaya na mtu. Huo uchawi unaoamini unafanyaje kazi?
 
Duh basi itakuwa maajabu ya dunia mtu kuibiwa Instagram account kwa uchawi huu wa kiswahili.
Hii nitabisha hadi mwisho..

Nikutajie account yangu ukawaambie wachawi waiibe.
Sijasema kuibiwa insta kwa uchawi, bado unakaza ubongo tatizo watu kuelewa ni wagumu, wewe ili uamini si mpaka uone au umemaanisha nini uliposema wachawi waibe bank si ina maana haujawahi kuona si ndio? Nimekuuliza umewahi kuibiwa insta a/c ukasema hujawahi inamaana hauamini km mtu anaweza akaiba a/c mpaka ujionee kwa macho yako mawili yaan hadi uibiwe si ndio?
 
Katika watu wajinga, nafikiri wanaoamini habari za kichawi wanaongoza. Nimekuja kugundua kuwa mambo mengi yanayoaminika kutokana na uchawi, yanaaminika hivyo sababu ya watu kuwa wajinga. Nitoe mifano.

1. Kuna mtu alikuwa anapata kinyesi cheusi. sasa sababu ya ujinga akawa anaamini amerogwa. Lakini kumbe kile kinyesi cheusi ni dalili ya vidonda vya tumbo, na ule weusi ni madini chuma kutoka kwenye damu inayomvuja tumboni.

2. Mtu mwingine akasema wazungu nao wachawi sana. kuna kijiji watu walikuwa wanakufa kwa radi. Mzungu akaja akasimamisha kamnara tu radi ikaacha kuua watu.

3. Wengi wanaamini vichaa wanaotembea barabarani wamerogwa. Lakini vichaa karibu vyote vinatokana na vichocheo kuyumba au kujeruhiwa kwa ubongo.

4. Watu wanaamini bundi wanatumiwa na wachawi sababu wanatembea usiku. Lakini tunajua uwezo wa bundi kuona usiku ndiyo unamuwezesha kufanya mawindo yake usiku.

5. Watu kwa ujinga wa kushindwa kupiga hesabu za mapato na matumizi, na kuweza kutunza pesa wanasingizia chuma ulete.

6. Magonjwa mengi hapo zamani yalidhaniwa kuwa yanatokana na kurogwa. Lakini sababu zake hasa zimekuja kufahamika. ujinga ndiyo ulifanya watu waamini kuna kurogwa. Kuna mchezaji amefariki juzi mguu unaoza yeye anasema ametupiwa jini.

7. Kanuni za kilimo zinajulikana lakini unakuta kuna watu wanaamini mtu anaweza kuroga apate mazao mengi, au akakuroga usipate mazao ya kutosha.

8.Madini yanapopatikana na jinsi ya kuyachimba huwa inafahamika, l;akini watu huwa wanaamini yanapatikana kwa uchawi.

9. Mara kuna uchawi wa kuleta mvua na hali habari ya ujio wa mvua na kutokuja zinajulikana.

10. Wengine wanaamini uchawi unaweza kukusaidia kwenye uvuvi.

11. wengine wanasema kuna wachawi huwa wanaingilia watu kingono!!1!

Kiufupi, wajinga wakishindwa kuelewa kitu wanasingizia uchawi. Hakuna kitu kinafunua ujinga wa mtu kama imani yake juu ya habari za kichawi. Jinsi ilivyo kali ndivyo ujinga wake ulivyo mkali zaidi.
Mmh ipo yaja utaamini uchawi upo
 
Sasa wachawi wanafanyaje mambo yao kama si kuatamia mayai ya radi? unaleta magonjwa ya mlipuko? wanavuta pesa kwa uchawi? wanafanya dhahabu zitokee? wanazuia na kuleta mvua? wanawasha moto nyumba, kuna mmama south nyumba yake iliungua akasema amepigwa juju na anashangaa hana ubaya na mtu. Huo uchawi unaoamini unafanyaje kazi?
Wewe emu nitolee ujinga wako, kamuulize aliekulisha huo ujinga, huo sio uchawi hizo ni simulizi za kusadikika
 
Ukiona neno "uchawi" au "mchawi" katika biblia ujue tu haina maana ya huu uchawi na wachawi tunaoufahamu sisi huku sijui wa kuambiwa kuna watu wameruka na ungo, au chuma ulete au wa kugeuzana misukule nk.

Mkuu Fuatilia lugha za asili za biblia na tafsiri zake kuja lugha zetu izi utanielewa.
Fafanua hapahapa usijali
 
Sijasema kuibiwa insta kwa uchawi, bado unakaza ubongo tatizo watu kuelewa ni wagumu, wewe ili uamini si mpaka uone au umemaanisha nini uliposema wachawi waibe bank si ina maana haujawahi kuona si ndio? Nimekuuliza umewahi kuibiwa insta a/c ukasema hujawahi inamaana hauamini km mtu anaweza akaiba a/c mpaka ujionee kwa macho yako mawili yaan hadi uibiwe si ndio?
Wewe ndo hutoi maelezo ya kuridhisha unategemea mimi nitaelewa?
Wizi wa account za insta unahusika vipi na uchawi si utoe maelezo ya kuridhisha, au unadhani mimi ni mchawi naweza kusoma mawazo yako?

Bado sijaweza kuunganisha uhusiano wa kuibiwa account na uchawi.

Tatizo umejaa makasiriko zaidi badala ya kutoa hoja inayoeleweka na kuelimisha.
 
Hapana mkuu. Mjadala ni kuamini uchawi unafanya kazi na unaamini mambo yanayodaiwa unafanya. Kama kutuma mamba, kutuma nyuki, kuleta magonjwa ya kuhara, kuingilia watu kimwili nk
Ikawaje Daktari akaitwa daktari bila kutibu, Mwalimu aitwe mwalimu na hajawahi kufundisha, Mkulima vilevile.

Aitweje sasa mchawi bila vitendo vya kichawi? Kwa nini unaitwa uchawi?
 
Wewe ndo hutoi maelezo ya kuridhisha unategemea mimi nitaelewa?
Wizi wa account za insta unahusika vipi na uchawi si utoe maelezo ya kuridhisha, au unadhani mimi ni mchawi naweza kusoma mawazo yako?

Bado sijaweza kuunganisha uhusiano wa kuibiwa account na uchawi.

Tatizo umejaa makasiriko zaidi badala ya kutoa hoja inayoeleweka na kuelimisha.
Hahahaaa, na wanaamini mchawi anaweza kusoma mawazo yako. Good one.
 
Wewe ndo hutoi maelezo ya kuridhisha unategemea mimi nitaelewa?
Wizi wa account za insta unahusika vipi na uchawi si utoe maelezo ya kuridhisha, au unadhani mimi ni mchawi naweza kusoma mawazo yako?

Bado sijaweza kuunganisha uhusiano wa kuibiwa account na uchawi.

Tatizo umejaa makasiriko zaidi badala ya kutoa hoja inayoeleweka na kuelimisha.
Uchawi ni Imani
Umewahi kusikia wakisema Imani za kishirikina?

Sasa uchawi sio ushirikina ila ushirikina hauwezi kuwepo bila uchawi kuwepo, hadi hapo ushanielewa au bado umekaza ubongo?

Maana watu km nyinyi ili muelewe inabidi mpelekwe slow mkipelekwa mputamputa mnatoka kapa

Umeelewa?
 
Uchawi ni Imani
Umewahi kusikia wakisema Imani za kishirikina?

Sasa uchawi sio ushirikina ila ushirikina hauwezi kuwepo bila uchawi kuwepo, hadi hapo ushanielewa au bado umekaza ubongo?

Maana watu km nyinyi ili muelewe inabidi mpelekwe slow mkipelekwa mputamputa mnatoka kapa

Umeelewa?
Nimeelewa endelea...
 
Ikawaje Daktari akaitwa daktari bila kutibu, Mwalimu aitwe mwalimu na hajawahi kufundisha, Mkulima vilevile.

Aitweje sasa mchawi bila vitendo vya kichawi? Kwa nini unaitwa uchawi?
Watu wanaweza amini uwepo wa matendo ambayo hayapo. Na wakaamini mtendaji wa matendo hayo yupo. Akili ya binadamu ikifika ukomo wake inaweza amini habari za ajabu kabisa.
 
Nimeelewa endelea...
Sawa saaasa kuhusu swala la insta haiibwi kwa kutumia uchawi wa kiimani ila ni uchawi wa technology,

Kwa hio nilikupa mfano wa kuibiwa a/c ya insta nikijaribu kukuonyesha jinsi inavyokua na matokeo yanavyokua linapokuja suala la uchawi,

Kuhusu kuiba bank haiwezekani kwa sababu, utajiri wa wachawi sio pesa hizi tunazozitumia mimi na wewe,

Ushaelewa au bado umekaza ubongo?
 
Mimi ni MKRISTO, tena ni MKRISTO KWELI KWELI (sijisifu hata kidogo) lakini sio tu kwamba naamini uchawi upo bali nafahamu kwa dhati kabisa kuwa "uchawi" upo na unafanya kazi!

Wewe usiyeamini kuwa uchawi upo basi wewe ndio mjinga wa mwisho hapa duniani.
 
Sawa saaasa kuhusu swala la insta haiibwi kwa kutumia uchawi wa kiimani ila ni uchawi wa technology,

Kwa hio nilikupa mfano wa kuibiwa a/c ya insta nikijaribu kukuonyesha jinsi inavyokua na matokeo yanavyokua linapokuja suala la uchawi,

Kuhusu kuiba bank haiwezekani kwa sababu, utajiri wa wachawi sio pesa hizi tunazozitumia mimi na wewe,

Ushaelewa au bado umekaza ubongo?
Na hapa tunazungumzia uchawi wetu huu wa kiafrika.
Nilikuelewa tangu mwanzo ndio maana nikakasema labda ni uchawi wa kizungu (technology) ndo unaweza kuiba account.
Turudi kwenye uchawi wetu huu tunaoujua sisi...Acha kuchanganya mambo.
 
Back
Top Bottom