Bado umekaza ubongo
Demi
Nimesema kwamba wachawi utajiri wao sio pesa tunazotumia mimi na wewe, kwetu sisi mimi na wewe pesa ndio nguvu,
ila utajiri wa wachawi upo katika nguvu za Imani yao sio haya makaratasi (fedha/pesa) kwao haya makaratasi sio chochote sio lolote ndio maana hauwakuti wameenda kukwapua bank na uchawi wa hivyo haupo maana Imani yao haiwaambii kua utajiri wao ni haya makaratasi,
Na pia umesema kwamba kuna watu wana utajiri wa kichawi narudia utajiri wa kichawi sio pesa unazozishika, yes wapo nakubariana nawe lakini sio wa kuiba bank ni wa kujishughulisha na kufanya kazi km binadamu wengine sio kufanya kazi kichawi,
Akihitaji kua na maendeleo lazima atajishughulisha ili apate pesa ila sio kwenda kuiba pesa bank kichawi
Na sio kwamba akiwa na pesa basi huo ndio utajiri wake hapana utajiri kwake
km kweli yeye ni mchawi utajiri wake sio haya makaratasi