Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
Wala sina chura..kitu OG from Machame!
πPole sana. Hakuna watu wanaona wamepatia maisha kama wanaopanda Esther Luxury kwenda Machame.
[emoji2]
Hizo mbio aise π€£Nimezeeka tangu juzi, nagaa na upwa...
Hizo mbio aise π€£
Sure [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakuna watu wanajiona wamepatia maisha kama wenye vitambulisho vya NIDA
Mwanamke mwenye chura anajiamini kuliko mwenye degree
Kumbe unatania nilijua uko serious. Nilitaka nikusaidia wanaofanya kazi TRA.[emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Wale Watu Ambao Wanaokaa Kwenye Viti Virefu Vya Pale Kaunta Vya Bar /Club Wakinywa Pombe.[emoji3]
[emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Wale Wanaovaa Kibukta na Sendozi.[emoji23]
[emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Wale Waliopata Siti Kwenye Mwendokasi.[emoji23]
[emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Wale Wenye Vi-Baby Walker Barabarani.[emoji23]
[emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Bodaboda na Bajaji Wakati wa Foleni Kubwa.[emoji23]
[emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Wale Ambao Hawana Supplimentary za Mitihani.[emoji23]
[emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Yule Konda wa Daladala Ilojaza Mpaka Mlangoni.[emoji23]
[emoji419]HAKUNA.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1373][emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Wale Watu Ambao Wanaokaa Kwenye Viti Virefu Vya Pale Kaunta Vya Bar /Club Wakinywa Pombe.[emoji3]
[emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Wale Wanaovaa Kibukta na Sendozi.[emoji23]
[emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Wale Waliopata Siti Kwenye Mwendokasi.[emoji23]
[emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Wale Wenye Vi-Baby Walker Barabarani.[emoji23]
[emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Bodaboda na Bajaji Wakati wa Foleni Kubwa.[emoji23]
[emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Wale Ambao Hawana Supplimentary za Mitihani.[emoji23]
[emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Yule Konda wa Daladala Ilojaza Mpaka Mlangoni.[emoji23]
[emoji419]HAKUNA.
Oohoo!Uachaji huo wa chenji ni chanzo kikuu cha kuzodoana mitandaoni.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] halafu demu akaachwa na 7800[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]