Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
Pole sana. Hakuna watu wanaona wamepatia maisha kama wanaopanda Esther Luxury kwenda Machame.
Wala sina chura..kitu OG from Machame!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wala sina chura..kitu OG from Machame!
😃Pole sana. Hakuna watu wanaona wamepatia maisha kama wanaopanda Esther Luxury kwenda Machame.
[emoji2]
Hizo mbio aise 🤣Nimezeeka tangu juzi, nagaa na upwa...
Hizo mbio aise 🤣
Sure [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakuna watu wanajiona wamepatia maisha kama wenye vitambulisho vya NIDA
Mwanamke mwenye chura anajiamini kuliko mwenye degree
Kumbe unatania nilijua uko serious. Nilitaka nikusaidia wanaofanya kazi TRA.[emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Wale Watu Ambao Wanaokaa Kwenye Viti Virefu Vya Pale Kaunta Vya Bar /Club Wakinywa Pombe.[emoji3]
[emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Wale Wanaovaa Kibukta na Sendozi.[emoji23]
[emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Wale Waliopata Siti Kwenye Mwendokasi.[emoji23]
[emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Wale Wenye Vi-Baby Walker Barabarani.[emoji23]
[emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Bodaboda na Bajaji Wakati wa Foleni Kubwa.[emoji23]
[emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Wale Ambao Hawana Supplimentary za Mitihani.[emoji23]
[emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Yule Konda wa Daladala Ilojaza Mpaka Mlangoni.[emoji23]
[emoji419]HAKUNA.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1373][emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Wale Watu Ambao Wanaokaa Kwenye Viti Virefu Vya Pale Kaunta Vya Bar /Club Wakinywa Pombe.[emoji3]
[emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Wale Wanaovaa Kibukta na Sendozi.[emoji23]
[emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Wale Waliopata Siti Kwenye Mwendokasi.[emoji23]
[emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Wale Wenye Vi-Baby Walker Barabarani.[emoji23]
[emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Bodaboda na Bajaji Wakati wa Foleni Kubwa.[emoji23]
[emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Wale Ambao Hawana Supplimentary za Mitihani.[emoji23]
[emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Yule Konda wa Daladala Ilojaza Mpaka Mlangoni.[emoji23]
[emoji419]HAKUNA.
Oohoo!Uachaji huo wa chenji ni chanzo kikuu cha kuzodoana mitandaoni.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] halafu demu akaachwa na 7800[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]