Malkia wangu
Senior Member
- May 1, 2024
- 143
- 265
Uliishia makete mjini ,ikonda au ulienda Hadi bulongwa??Mwezi wa Saba 2023 milikuwa Makete, aisee ile baridi hapana, nilitakiwa kukaa siku sita ila niliomba nirudi baada ya siku mbili tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uliishia makete mjini ,ikonda au ulienda Hadi bulongwa??Mwezi wa Saba 2023 milikuwa Makete, aisee ile baridi hapana, nilitakiwa kukaa siku sita ila niliomba nirudi baada ya siku mbili tu
Kijana. Hatujafika Mafinga ila tushakutana na baridi kali sana sehemu nyingine duniani.Kama hujawahi kufika Mafinga au njombe na hujawahi toka nje ya nchi kamwe usije semà uliwahi kusikia baridi
😀😃😃😁 Mafinga cha Mtoto. Jana Nilienda sehemu moja panaitwa Lulanzi kule Kilolo juu. Nilienda kununua shamba la Parachichi. Kule ni balaa mkuu. Alafu sio mshipa wa kichwa kuuma tu, na masikio nayo yanapigwa baridi hatari ukiwa umepanda bodaboda.Asûbuhi imefika, napanda boda dadeki, mishipa ya kichwa inauma Kwa kupulizwa na Upepo, Lips za midomo inauma na ukisema uachie mdomo meno yanagongana na unaweza kujing'ata.
Huku siô poa
Kijana. Hatujafika Mafinga ila tushakutana na baridi kali sana sehemu nyingine duniani.
😀😃😃😁 Mafinga cha Mtoto. Jana Nilienda sehemu moja panaitwa Lulanzi kule Kilolo juu. Nilienda kununua shamba la Parachichi. Kule ni balaa mkuu. Alafu sio mshipa wa kichwa kuuma tu, na masikio nayo yanapigwa baridi hatari ukiwa umepanda bodaboda.
Kule ni hatari mkuu. Jana sijui ilikuwa inasoma Temperature kiasi gani. Inaweza kuwa 5 au 6°C. Wale watu wa kule wanapata shida sana. Bodaboda kule wana tabu sana. Mungu awasaidie. Aiseeeee
Makete napo nasikia sio mchezo.Duniani Sawa ila Kwa Hapa Bongo Hakuna sehemu yenye baridi Kali kama Mafinga na njombe.
Huko Arusha sijui Lushoto NI chamtoto
Kama huko napo kuna bodaboda bado unamshauri kija a atoke mjini aje kutafuta maisha huko?Masikio yanaungua,
Midomo inauma,
Mishipa ya kichwa inauma
Aiseeh watu WA huku siô poah
UKo hadi theruji inadondokaMakete napo nasikia sio
Mbona na huko Mafinga wakati wa baridi mwezi wa sita na wa saba mambo ni hayohayo kunaganda.1. Tembea duniani ukutane na baridi. Ya Mafinga cha mtoto.
2. Niliwahi kuishi Lesotho baridi mpaka Maji kwenye mabomba yanaganda. Mambomba hayatoi maji.
Aende furaha cafe na aache ubahili kuna lodge nzuri bei kuanzia Tsh.20,000/=Hapo kapige chai Kwa mama muislamu, na supu ya kuku ukalale mapema
Kama huko napo kuna bodaboda bado unamshauri kija a atoke mjini aje kutafuta maisha huko?
Qengeh😆Kama huko napo kuna bodaboda bado unamshauri kija a atoke mjini aje kutafuta maisha huko?
Makete napo nasikia sio mchezo.
Aende furaha cafe na aache ubahili kuna lodge nzuri bei kuanzia Tsh.20,000/=
Hapo sasa!1. Tembea duniani ukutane na baridi. Ya Mafinga cha mtoto.
2. Niliwahi kuishi Lesotho baridi mpaka Maji kwenye mabomba yanaganda. Mambomba hayatoi maji.
Mafinga ni habari nyingine Nina experience napo kimsingi usemacho ni kweli kabisa Kuna Uzi wangu humu nilishawahi kuomba msaada wa blanket
Msaada: Yeyote aliyeko Makambako anisaidie blanket hii baridi itaniua leo
Kwa unyenyekevu kabisa Wana JamiiForums walioko Mafinga naomba mnisaidie Blanket la kujifunika usiku wa leo mwili wangu una changamoto na baridi. Nimeenda kuulizia madukani bei yake sio rafiki na bajeti niliyokuwa nayo. Nipo desperate labda kadri siku zinavyoenda nitakuwa kwenye Hali yangu ya...www.jamiiforums.com