Hakuna wazee wenye uthubutu na hekima waliobakia CCM

Hakuna wazee wenye uthubutu na hekima waliobakia CCM

cencer09

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2012
Posts
4,554
Reaction score
2,732
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema CCM siyo mama yangu na kama ikikiuka misingi ya kuanzishwa kwake anaweza kuhama, hii kauli inaweza kutamkwa na mtu muadilifu, muungwana na anauechukizwa na maovu kweli kweli. Katika utawala wake nani anayeweza kumshutumu kwa ufisadi, rushwa, dhuluma, wizi na hata wizi wa kura?

Alikuwa dedicated kwa ustawi wa taifa hili ila siasa na imani yake ua njia ya kisiasa kulifikisha taifa hili kwenye ustawi ndio kasoro na alikuwa very arrogant, ila dhamira yake kwa taifa hili haina mjadala.
Nilisoma Tambaza na watoto wake tena binti akiwa wakawaida hakujilimbikizia mali wala kuwatengeneza watoto wao kwenye ufalme wa uongozi aearithishe kama wengine
waliowajaza watoto wao kwenye uongozi.

Alikuwa na uthubutu wa kukemea maovu mara anapoyaona kwenye uongozi wa taifa, kumbuka enzi za uongozi wa marehemu Ali Hassan Mwinyi na IGP wake Omary Mahita. Kwenye kilele cha umaarufu wake Augustine Mrema, watu walimpenda kwenye kampeni zake wakambeba lakini mabwana hao kwenye utawala hawakupenda wakawapiga mabomu na kuzuia wananchi wasionyeshe mapenzi yao.

Nyerere alinitokeza tena akasema hata kama watataka wambebe wapokezane kama maiti wawaache, na kweli vurugu za polisi na wafuasi wa Mrema zikapungua. Huo ndio UTHUBUTU na HEKIMA ya mwalimu Nyerere.

Awamu iliyopita kulikuwa hakuna wazee CCM kukemea yaliyokuwa yanatokea? Mwinyi hakuwepo? Mkapa? Kikwete? Hawakuona Tundu Lissu aliposhambuliwa kwenye makazi ya viongozi wa serikali?

Epa, meremeta, import support? Escrow? Nk. Nani alikemea? Warioba alivyopigwa vibao na kada yule mtoto wa yule baba Mzee gani alikemea?

Utekaji na mauaji nani anakemea? Au kauli ya Mzee Butiku inatosha na inaonyesha dhamira ya kukemea madhila yanayoendekea nchini? Wako wapi akina Warioba? Mang'ula, Kinana, Karume, Pinda na wengineo?

Vipi hamuoni au hayawahusu? Au kwenu ni sawasawa? Sababu kubwa kundi kubwa la hawa WAZEE wa CCM ni corrupted! Watajitokeza kutetea CCM na kukosoa upinzani tu, kwao taifa siyo muhimu kama CCM ili walinde dynasty zao!

Kuna wazee wanafiki kama Stephen Wassira akisema ni ubaya wa CHADEMA, wanaogopa mali zao, ufalme wao, watoto wao. Hivi mzee Makamba anaweza akatoka hadharani akakemea utekaji, mauaji na wizi wa kura kweli?

Kama WAZEE kwenye taifa ni corrupted kiasi cha kuwafanya kuwa wanafiki wanachimbia vichwa vyao chini kama mbuni wasione matatizo wanapata wapi courage ya kuwalaumu vijana waandishi wa habari kama alivyofanya Mzee Butiku?

Mzee yupi ni role model kama Nyerere anayeweza kukemea uovu bila kupepesa macho. Taifa kupitia CCM halina WAZEE na tukiwategemea tutaangamia, tumefikia kuwaangalia WAZEE kama professor Assad maana hata ukiwasikilia wazee wanaojiita wa Dar zaidi ya kumsifia mama anaupiga mwingi hawana jipya. HAKUNA courage ya kukemea uovu.

Tutabakia na wazee majuha na wanafiki wanaoangalia matumbo yao na watoto wao kama akina Stephen Wassira. Balile nakuunga mkono piga spana wanafiki hao ikibidi tusuangalie mvi zao
 
Kuna kipindi kauli ilitoka kuwakebehi wazee kuwa "wanawashwa". Watulie awamu zao za uongozi zilishapita, wawaache waliopo waongoze bila bugudha.

Unafikiri kwa 'kauli' ile kuna mzee tena atakuwa na nguvu ya kutoa maoni yake? Wazee wapo wazuri tu including mzee Warioba ila wameona isiwe taabu, wache wawe wapenzi watazamaji.
 
Kuna kipindi kauli ilitoka kuwakebehi wazee kuwa "wanawashwa". Watulie awamu zao za uongozi zilishapita, wawaache waliopo waongoze bila bugudha...
Waendelee kutulia wasiwalaumu vijana waandishi wa habari kama alivyofanya Mzee Butiku, pia ushasikia kauli za Wassira?
 
1726077258600.png
 
Waendelee kutulia wasiwalaumu vijana waandishi wa habari kama alivyofanya Mzee Butiku, pia ushasikia kauli za Wassira?
Wazee wengi ukiondoa wachache kama mzee Pinda na wengineo, wengi sio wasafi ndio maana wanakosa uhalali wa kukemea. Mwalimu hakuwa na skendo yoyote ndio maana alikuwa huru kukemea.
 
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema CCM siyo mama yangu na kama ikikiuka misingi ya kuanzishwa kwake anaweza kuhama, hii kauli inaweza kutamkwa na mtu muadilifu, muungwana na anauechukizwa na maovu kweli kweli. Katika utawala wake nani anayeweza kumshutumu kwa ufisadi, rushwa, dhuluma, wizi na hata wizi wa kura?

Alikuwa dedicated kwa ustawi wa taifa hili ila siasa na imani yake ua njia ya kisiasa kulifikisha taifa hili kwenye ustawi ndio kasoro na alikuwa very arrogant, ila dhamira yake kwa taifa hili haina mjadala.
Nilisoma Tambaza na watoto wake tena binti akiwa wakawaida hakujilimbikizia mali wala kuwatengeneza watoto wao kwenye ufalme wa uongozi aearithishe kama wengine
waliowajaza watoto wao kwenye uongozi.

Alikuwa na uthubutu wa kukemea maovu mara anapoyaona kwenye uongozi wa taifa, kumbuka enzi za uongozi wa marehemu Ali Hassan Mwinyi na IGP wake Omary Mahita. Kwenye kilele cha umaarufu wake Augustine Mrema, watu walimpenda kwenye kampeni zake wakambeba lakini mabwana hao kwenye utawala hawakupenda wakawapiga mabomu na kuzuia wananchi wasionyeshe mapenzi yao.

Nyerere alinitokeza tena akasema hata kama watataka wambebe wapokezane kama maiti wawaache, na kweli vurugu za polisi na wafuasi wa Mrema zikapungua. Huo ndio UTHUBUTU na HEKIMA ya mwalimu Nyerere.

Awamu iliyopita kulikuwa hakuna wazee CCM kukemea yaliyokuwa yanatokea? Mwinyi hakuwepo? Mkapa? Kikwete? Hawakuona Tundu Lissu aliposhambuliwa kwenye makazi ya viongozi wa serikali?

Epa, meremeta, import support? Escrow? Nk. Nani alikemea? Warioba alivyopigwa vibao na kada yule mtoto wa yule baba Mzee gani alikemea?

Utekaji na mauaji nani anakemea? Au kauli ya Mzee Butiku inatosha na inaonyesha dhamira ya kukemea madhila yanayoendekea nchini? Wako wapi akina Warioba? Mang'ula, Kinana, Karume, Pinda na wengineo?

Vipi hamuoni au hayawahusu? Au kwenu ni sawasawa? Sababu kubwa kundi kubwa la hawa WAZEE wa CCM ni corrupted! Watajitokeza kutetea CCM na kukosoa upinzani tu, kwao taifa siyo muhimu kama CCM ili walinde dynasty zao!

Kuna wazee wanafiki kama Stephen Wassira akisema ni ubaya wa CHADEMA, wanaogopa mali zao, ufalme wao, watoto wao. Hivi mzee Makamba anaweza akatoka hadharani akakemea utekaji, mauaji na wizi wa kura kweli?

Kama WAZEE kwenye taifa ni corrupted kiasi cha kuwafanya kuwa wanafiki wanachimbia vichwa vyao chini kama mbuni wasione matatizo wanapata wapi courage ya kuwalaumu vijana waandishi wa habari kama alivyofanya Mzee Butiku?

Mzee yupi ni role model kama Nyerere anayeweza kukemea uovu bila kupepesa macho. Taifa kupitia CCM halina WAZEE na tukiwategemea tutaangamia, tumefikia kuwaangalia WAZEE kama professor Assad maana hata ukiwasikilia wazee wanaojiita wa Dar zaidi ya kumsifia mama anaupiga mwingi hawana jipya. HAKUNA courage ya kukemea uovu.

Tutabakia na wazee majuha na wanafiki wanaoangalia matumbo yao na watoto wao kama akina Stephen Wassira. Balile nakuunga mkono piga spana wanafiki hao ikibidi tusuangalie mvi zao
Mkosoaji anahesabika kuwa ni msaliti wa Chama !
So watu kwa sasa ni waoga !
 
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema CCM siyo mama yangu na kama ikikiuka misingi ya kuanzishwa kwake anaweza kuhama, hii kauli inaweza kutamkwa na mtu muadilifu, muungwana na anauechukizwa na maovu kweli kweli. Katika utawala wake nani anayeweza kumshutumu kwa ufisadi, rushwa, dhuluma, wizi na hata wizi wa kura?

Alikuwa dedicated kwa ustawi wa taifa hili ila siasa na imani yake ua njia ya kisiasa kulifikisha taifa hili kwenye ustawi ndio kasoro na alikuwa very arrogant, ila dhamira yake kwa taifa hili haina mjadala.
Nilisoma Tambaza na watoto wake tena binti akiwa wakawaida hakujilimbikizia mali wala kuwatengeneza watoto wao kwenye ufalme wa uongozi aearithishe kama wengine
waliowajaza watoto wao kwenye uongozi.

Alikuwa na uthubutu wa kukemea maovu mara anapoyaona kwenye uongozi wa taifa, kumbuka enzi za uongozi wa marehemu Ali Hassan Mwinyi na IGP wake Omary Mahita. Kwenye kilele cha umaarufu wake Augustine Mrema, watu walimpenda kwenye kampeni zake wakambeba lakini mabwana hao kwenye utawala hawakupenda wakawapiga mabomu na kuzuia wananchi wasionyeshe mapenzi yao.

Nyerere alinitokeza tena akasema hata kama watataka wambebe wapokezane kama maiti wawaache, na kweli vurugu za polisi na wafuasi wa Mrema zikapungua. Huo ndio UTHUBUTU na HEKIMA ya mwalimu Nyerere.

Awamu iliyopita kulikuwa hakuna wazee CCM kukemea yaliyokuwa yanatokea? Mwinyi hakuwepo? Mkapa? Kikwete? Hawakuona Tundu Lissu aliposhambuliwa kwenye makazi ya viongozi wa serikali?

Epa, meremeta, import support? Escrow? Nk. Nani alikemea? Warioba alivyopigwa vibao na kada yule mtoto wa yule baba Mzee gani alikemea?

Utekaji na mauaji nani anakemea? Au kauli ya Mzee Butiku inatosha na inaonyesha dhamira ya kukemea madhila yanayoendekea nchini? Wako wapi akina Warioba? Mang'ula, Kinana, Karume, Pinda na wengineo?

Vipi hamuoni au hayawahusu? Au kwenu ni sawasawa? Sababu kubwa kundi kubwa la hawa WAZEE wa CCM ni corrupted! Watajitokeza kutetea CCM na kukosoa upinzani tu, kwao taifa siyo muhimu kama CCM ili walinde dynasty zao!

Kuna wazee wanafiki kama Stephen Wassira akisema ni ubaya wa CHADEMA, wanaogopa mali zao, ufalme wao, watoto wao. Hivi mzee Makamba anaweza akatoka hadharani akakemea utekaji, mauaji na wizi wa kura kweli?

Kama WAZEE kwenye taifa ni corrupted kiasi cha kuwafanya kuwa wanafiki wanachimbia vichwa vyao chini kama mbuni wasione matatizo wanapata wapi courage ya kuwalaumu vijana waandishi wa habari kama alivyofanya Mzee Butiku?

Mzee yupi ni role model kama Nyerere anayeweza kukemea uovu bila kupepesa macho. Taifa kupitia CCM halina WAZEE na tukiwategemea tutaangamia, tumefikia kuwaangalia WAZEE kama professor Assad maana hata ukiwasikilia wazee wanaojiita wa Dar zaidi ya kumsifia mama anaupiga mwingi hawana jipya. HAKUNA courage ya kukemea uovu.

Tutabakia na wazee majuha na wanafiki wanaoangalia matumbo yao na watoto wao kama akina Stephen Wassira. Balile nakuunga mkono piga spana wanafiki hao ikibidi tusuangalie mvi zao
vijanaa wapo kazini na wana chapa kazi kwa bidii, weledi na umakini mkubwa bila kuyumbishwa, wala kupotezwa lengo na changamoto za kisiasa kwenye chaguzi za vyama vingine vya siasa,

hata hivyo ,
taarifa rasmi za pole na rambirambi zilishatolewa na taasisi zingine zinaendelea na majukumu yao kadiri ya maelekezo ya mkuu wa nchi...

wastaafu waeleze au wafanye nini tena na vijanaa wako kazini?
wazee walifanya wajibu na kazi zao kwa weledi vizuri sana, waacheni wapumzike sasa 🐒
 
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema CCM siyo mama yangu na kama ikikiuka misingi ya kuanzishwa kwake anaweza kuhama, hii kauli inaweza kutamkwa na mtu muadilifu, muungwana na anauechukizwa na maovu kweli kweli. Katika utawala wake nani anayeweza kumshutumu kwa ufisadi, rushwa, dhuluma, wizi na hata wizi wa kura?

Alikuwa dedicated kwa ustawi wa taifa hili ila siasa na imani yake ua njia ya kisiasa kulifikisha taifa hili kwenye ustawi ndio kasoro na alikuwa very arrogant, ila dhamira yake kwa taifa hili haina mjadala.
Nilisoma Tambaza na watoto wake tena binti akiwa wakawaida hakujilimbikizia mali wala kuwatengeneza watoto wao kwenye ufalme wa uongozi aearithishe kama wengine
waliowajaza watoto wao kwenye uongozi.

Alikuwa na uthubutu wa kukemea maovu mara anapoyaona kwenye uongozi wa taifa, kumbuka enzi za uongozi wa marehemu Ali Hassan Mwinyi na IGP wake Omary Mahita. Kwenye kilele cha umaarufu wake Augustine Mrema, watu walimpenda kwenye kampeni zake wakambeba lakini mabwana hao kwenye utawala hawakupenda wakawapiga mabomu na kuzuia wananchi wasionyeshe mapenzi yao.

Nyerere alinitokeza tena akasema hata kama watataka wambebe wapokezane kama maiti wawaache, na kweli vurugu za polisi na wafuasi wa Mrema zikapungua. Huo ndio UTHUBUTU na HEKIMA ya mwalimu Nyerere.

Awamu iliyopita kulikuwa hakuna wazee CCM kukemea yaliyokuwa yanatokea? Mwinyi hakuwepo? Mkapa? Kikwete? Hawakuona Tundu Lissu aliposhambuliwa kwenye makazi ya viongozi wa serikali?

Epa, meremeta, import support? Escrow? Nk. Nani alikemea? Warioba alivyopigwa vibao na kada yule mtoto wa yule baba Mzee gani alikemea?

Utekaji na mauaji nani anakemea? Au kauli ya Mzee Butiku inatosha na inaonyesha dhamira ya kukemea madhila yanayoendekea nchini? Wako wapi akina Warioba? Mang'ula, Kinana, Karume, Pinda na wengineo?

Vipi hamuoni au hayawahusu? Au kwenu ni sawasawa? Sababu kubwa kundi kubwa la hawa WAZEE wa CCM ni corrupted! Watajitokeza kutetea CCM na kukosoa upinzani tu, kwao taifa siyo muhimu kama CCM ili walinde dynasty zao!

Kuna wazee wanafiki kama Stephen Wassira akisema ni ubaya wa CHADEMA, wanaogopa mali zao, ufalme wao, watoto wao. Hivi mzee Makamba anaweza akatoka hadharani akakemea utekaji, mauaji na wizi wa kura kweli?

Kama WAZEE kwenye taifa ni corrupted kiasi cha kuwafanya kuwa wanafiki wanachimbia vichwa vyao chini kama mbuni wasione matatizo wanapata wapi courage ya kuwalaumu vijana waandishi wa habari kama alivyofanya Mzee Butiku?

Mzee yupi ni role model kama Nyerere anayeweza kukemea uovu bila kupepesa macho. Taifa kupitia CCM halina WAZEE na tukiwategemea tutaangamia, tumefikia kuwaangalia WAZEE kama professor Assad maana hata ukiwasikilia wazee wanaojiita wa Dar zaidi ya kumsifia mama anaupiga mwingi hawana jipya. HAKUNA courage ya kukemea uovu.

Tutabakia na wazee majuha na wanafiki wanaoangalia matumbo yao na watoto wao kama akina Stephen Wassira. Balile nakuunga mkono piga spana wanafiki hao ikibidi tusuangalie mvi zao
vijanaa wapo kazini na wana chapa kazi kwa bidii, weledi na umakini mkubwa bila kuyumbishwa, wala kupotezwa lengo na changamoto za kisiasa kwenye chaguzi za vyama vingine vya siasa,

hata hivyo ,
taarifa rasmi za pole na rambirambi zilishatolewa na taasisi zingine zinaendelea na majukumu yao kadiri ya maelekezo ya mkuu wa nchi...

wastaafu waeleze au wafanye nini tena na vijanaa wako kazini?
wazee walifanya wajibu na kazi zao kwa weledi vizuri sana, waacheni wapumzike sasa 🐒
 
Siasa n kucheza na akili za watu na ukiweza hilo utawafanya waonekane kama watoto wadogo.
 
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema CCM siyo mama yangu na kama ikikiuka misingi ya kuanzishwa kwake anaweza kuhama, hii kauli inaweza kutamkwa na mtu muadilifu, muungwana na anauechukizwa na maovu kweli kweli. Katika utawala wake nani anayeweza kumshutumu kwa ufisadi, rushwa, dhuluma, wizi na hata wizi wa kura?

Alikuwa dedicated kwa ustawi wa taifa hili ila siasa na imani yake ua njia ya kisiasa kulifikisha taifa hili kwenye ustawi ndio kasoro na alikuwa very arrogant, ila dhamira yake kwa taifa hili haina mjadala.
Nilisoma Tambaza na watoto wake tena binti akiwa wakawaida hakujilimbikizia mali wala kuwatengeneza watoto wao kwenye ufalme wa uongozi aearithishe kama wengine
waliowajaza watoto wao kwenye uongozi.

Alikuwa na uthubutu wa kukemea maovu mara anapoyaona kwenye uongozi wa taifa, kumbuka enzi za uongozi wa marehemu Ali Hassan Mwinyi na IGP wake Omary Mahita. Kwenye kilele cha umaarufu wake Augustine Mrema, watu walimpenda kwenye kampeni zake wakambeba lakini mabwana hao kwenye utawala hawakupenda wakawapiga mabomu na kuzuia wananchi wasionyeshe mapenzi yao.

Nyerere alinitokeza tena akasema hata kama watataka wambebe wapokezane kama maiti wawaache, na kweli vurugu za polisi na wafuasi wa Mrema zikapungua. Huo ndio UTHUBUTU na HEKIMA ya mwalimu Nyerere.

Awamu iliyopita kulikuwa hakuna wazee CCM kukemea yaliyokuwa yanatokea? Mwinyi hakuwepo? Mkapa? Kikwete? Hawakuona Tundu Lissu aliposhambuliwa kwenye makazi ya viongozi wa serikali?

Epa, meremeta, import support? Escrow? Nk. Nani alikemea? Warioba alivyopigwa vibao na kada yule mtoto wa yule baba Mzee gani alikemea?

Utekaji na mauaji nani anakemea? Au kauli ya Mzee Butiku inatosha na inaonyesha dhamira ya kukemea madhila yanayoendekea nchini? Wako wapi akina Warioba? Mang'ula, Kinana, Karume, Pinda na wengineo?

Vipi hamuoni au hayawahusu? Au kwenu ni sawasawa? Sababu kubwa kundi kubwa la hawa WAZEE wa CCM ni corrupted! Watajitokeza kutetea CCM na kukosoa upinzani tu, kwao taifa siyo muhimu kama CCM ili walinde dynasty zao!

Kuna wazee wanafiki kama Stephen Wassira akisema ni ubaya wa CHADEMA, wanaogopa mali zao, ufalme wao, watoto wao. Hivi mzee Makamba anaweza akatoka hadharani akakemea utekaji, mauaji na wizi wa kura kweli?

Kama WAZEE kwenye taifa ni corrupted kiasi cha kuwafanya kuwa wanafiki wanachimbia vichwa vyao chini kama mbuni wasione matatizo wanapata wapi courage ya kuwalaumu vijana waandishi wa habari kama alivyofanya Mzee Butiku?

Mzee yupi ni role model kama Nyerere anayeweza kukemea uovu bila kupepesa macho. Taifa kupitia CCM halina WAZEE na tukiwategemea tutaangamia, tumefikia kuwaangalia WAZEE kama professor Assad maana hata ukiwasikilia wazee wanaojiita wa Dar zaidi ya kumsifia mama anaupiga mwingi hawana jipya. HAKUNA courage ya kukemea uovu.

Tutabakia na wazee majuha na wanafiki wanaoangalia matumbo yao na watoto wao kama akina Stephen Wassira. Balile nakuunga mkono piga spana wanafiki hao ikibidi tusuangalie mvi zao
vijanaa wapo kazini na wana chapa kazi kwa bidii, weledi na umakini mkubwa bila kuyumbishwa, wala kupotezwa lengo na changamoto za kisiasa kwenye chaguzi za vyama vingine vya siasa,

hata hivyo ,
taarifa rasmi za pole na rambirambi zilishatolewa na taasisi zingine zinaendlea na majukumu yao kadiri ya maelekezo ya mkuu wa nchi...

wastaafu waeleze au wafanye nini tena na vijanaa wako kazini?
wazee walifanya wajibu na kazi zao kwa weledi vizuri sana, waacheni wapumzike sasa 🐒
 
Tunasubiri
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema CCM siyo mama yangu na kama ikikiuka misingi ya kuanzishwa kwake anaweza kuhama, hii kauli inaweza kutamkwa na mtu muadilifu, muungwana na anauechukizwa na maovu kweli kweli. Katika utawala wake nani anayeweza kumshutumu kwa ufisadi, rushwa, dhuluma, wizi na hata wizi wa kura?

Alikuwa dedicated kwa ustawi wa taifa hili ila siasa na imani yake ua njia ya kisiasa kulifikisha taifa hili kwenye ustawi ndio kasoro na alikuwa very arrogant, ila dhamira yake kwa taifa hili haina mjadala.
Nilisoma Tambaza na watoto wake tena binti akiwa wakawaida hakujilimbikizia mali wala kuwatengeneza watoto wao kwenye ufalme wa uongozi aearithishe kama wengine
waliowajaza watoto wao kwenye uongozi.

Alikuwa na uthubutu wa kukemea maovu mara anapoyaona kwenye uongozi wa taifa, kumbuka enzi za uongozi wa marehemu Ali Hassan Mwinyi na IGP wake Omary Mahita. Kwenye kilele cha umaarufu wake Augustine Mrema, watu walimpenda kwenye kampeni zake wakambeba lakini mabwana hao kwenye utawala hawakupenda wakawapiga mabomu na kuzuia wananchi wasionyeshe mapenzi yao.

Nyerere alinitokeza tena akasema hata kama watataka wambebe wapokezane kama maiti wawaache, na kweli vurugu za polisi na wafuasi wa Mrema zikapungua. Huo ndio UTHUBUTU na HEKIMA ya mwalimu Nyerere.

Awamu iliyopita kulikuwa hakuna wazee CCM kukemea yaliyokuwa yanatokea? Mwinyi hakuwepo? Mkapa? Kikwete? Hawakuona Tundu Lissu aliposhambuliwa kwenye makazi ya viongozi wa serikali?

Epa, meremeta, import support? Escrow? Nk. Nani alikemea? Warioba alivyopigwa vibao na kada yule mtoto wa yule baba Mzee gani alikemea?

Utekaji na mauaji nani anakemea? Au kauli ya Mzee Butiku inatosha na inaonyesha dhamira ya kukemea madhila yanayoendekea nchini? Wako wapi akina Warioba? Mang'ula, Kinana, Karume, Pinda na wengineo?

Vipi hamuoni au hayawahusu? Au kwenu ni sawasawa? Sababu kubwa kundi kubwa la hawa WAZEE wa CCM ni corrupted! Watajitokeza kutetea CCM na kukosoa upinzani tu, kwao taifa siyo muhimu kama CCM ili walinde dynasty zao!

Kuna wazee wanafiki kama Stephen Wassira akisema ni ubaya wa CHADEMA, wanaogopa mali zao, ufalme wao, watoto wao. Hivi mzee Makamba anaweza akatoka hadharani akakemea utekaji, mauaji na wizi wa kura kweli?

Kama WAZEE kwenye taifa ni corrupted kiasi cha kuwafanya kuwa wanafiki wanachimbia vichwa vyao chini kama mbuni wasione matatizo wanapata wapi courage ya kuwalaumu vijana waandishi wa habari kama alivyofanya Mzee Butiku?

Mzee yupi ni role model kama Nyerere anayeweza kukemea uovu bila kupepesa macho. Taifa kupitia CCM halina WAZEE na tukiwategemea tutaangamia, tumefikia kuwaangalia WAZEE kama professor Assad maana hata ukiwasikilia wazee wanaojiita wa Dar zaidi ya kumsifia mama anaupiga mwingi hawana jipya. HAKUNA courage ya kukemea uovu.

Tutabakia na wazee majuha na wanafiki wanaoangalia matumbo yao na watoto wao kama akina Stephen Wassira. Balile nakuunga mkono piga spana wanafiki hao ikibidi tusuangalie mvi zao
Tunasubiri siku polisi watakapo tambua kuwa wanatumika kama condom ili ccm waendelee kubaki madarakani ndipo itatokea ule mwisho
 
vijanaa wapo kazini na wana chapa kazi kwa bidii, weledi na umakini mkubwa bila kuyumbishwa, wala kupotezwa lengo na changamoto za kisiasa kwenye chaguzi za vyama vingine vya siasa,

hata hivyo ,
taarifa rasmi za pole na rambirambi zilishatolewa na taasisi zingine zinaendelea na majukumu yao kadiri ya maelekezo ya mkuu wa nchi...

wastaafu waeleze au wafanye nini tena na vijanaa wako kazini?
wazee walifanya wajibu na kazi zao kwa weledi vizuri sana, waacheni wapumzike sasa 🐒
Kwa hiyo utekaji na mauaji hao vijana wanayashughulikia na wameyakomesha? Vipi kwa nini Butiku anawalaumu vijana?

Kwa akili yako kubwa rambirambi na pole ndio ufumbuzi wa kadhia ya utekaji na mauaji ya kisiasa nchini?

Utakuwa ndio mmoja wa wazee wanafiki wachumia tumbo
 
Back
Top Bottom