Hakuna winga hatari kwa sasa katika ligi ya NBC kama Kipre Junior kutoka Azam FC

Hakuna winga hatari kwa sasa katika ligi ya NBC kama Kipre Junior kutoka Azam FC

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
10,587
Reaction score
13,425
Naam! Magazeti na Redio havimuimbi kwa kuwa vimefunikwa na mahaba ya Simba na Yanga.

Ila kwa wapenda football Kama NALIA NGWENA watakuja kutoa ushuhuda hapa kuwa Kipre Junior ni talented boy.

Kasi ya kukimbia, skills za kudribo mpira na nidhamu yake kubwa na anauwezo wa kucheza winga zote kushoto na kulia, huyu kipre jnr hakuwahi kupewa kadi Nyekundu toka atue katika ligi yetu (nidhamu ya Hali ya juu)

Nimetazama mawinga wa Sunche na Kapeto (kariakoo) Sijaona hata mmoja wa kumfikia huyu mwamba lakini Redio na magazeti haswa Hawa wachambuzi wapo bize kumuimba Kibu Denis na Kuacha talanta boy kipre junior.

Huu Ni muda wake Sasa bwana mdogo Kipre Junior kutua kariako aonekane kimataifa na timu yake ya taifa wamuite.

1703240354645.jpg
 
Dahhhh! Nakiri hakika Emmanuel Tiagouri Kipre Junior ni habari nyingine.

Anashambulia kuingia kwenye box na siyo kwenye flanks.

High dribbling skills, speed and pass accuracy.
KWA WATU WA MPIRA KAMA NYINYI NDIO MNAONA HII TALANTA.

LAKINI WAZEE WA SIMBA NA YANGA WA KUTUMIA HISIA WANAWEZA KUJA KUKUBISHIA.

NABI ALISHAWAHI KUMPA PONGEZI HUYU BWANA MDOGO NI SHIDA SANA.
 
Ukweli ni kwamba Azam kwa sasa wamejipata. Kipre, Sillah, Msindo wako on fire balaa.
Bajana mzee wa mishuti, Yahaya Zaydi na Feisal wanatakata sana pale kati.
Ni kweli kabisa wanakikosi Bora mpaka kocha anapata shida kwenye kupanga KIKOSI kila mchezaji yupo VIZURI.
 
Azam ni Flop.

Kuifananisha Azam Vs Yanga &Simba ni kuukosea mpira Heshima.

Bado Azam ana mengi ya kujifunza toka kwa Sunche na Kapeto. Narudia Tena Kufananisha Azam na timu za Kariakoo ni uvivu wa kufikiri, huyo Kipre kwa kiwango cha Azam ni mzuri sana lakin kwa matarajio ya Timu za Kariakoo anaweza akawa Flopp.
 
Azam ni Flop.

Kuifananisha Azam Vs Yanga &Simba ni kuukosea mpira Heshima.

Bado Azam ana mengi ya kujifunza toka kwa Sunche na Kapeto. Narudia Tena Kufananisha Azam na timu za Kariakoo ni uvivu wa kufikiri, huyo Kipre kwa kiwango cha Azam ni mzuri sana lakin kwa matarajio ya Timu za Kariakoo anaweza akawa Flopp.
HAYO NI MANENO YAKO ILA HUYO DOGO HUWEZI KUMFANANISHA MAWINGA DHAIFU WA KARIAKOO.
 
Back
Top Bottom