Hakuna winga hatari kwa sasa katika ligi ya NBC kama Kipre Junior kutoka Azam FC

Hakuna winga hatari kwa sasa katika ligi ya NBC kama Kipre Junior kutoka Azam FC

Azam ni Flop.

Kuifananisha Azam Vs Yanga &Simba ni kuukosea mpira Heshima.

Bado Azam ana mengi ya kujifunza toka kwa Sunche na Kapeto. Narudia Tena Kufananisha Azam na timu za Kariakoo ni uvivu wa kufikiri, huyo Kipre kwa kiwango cha Azam ni mzuri sana lakin kwa matarajio ya Timu za Kariakoo anaweza akawa Flopp.
Úmeandika ujinga
 
Kumbe siku hizi anapewa namba? Kuna kipindi alipofika alikuwa anapata namba kwa kusuasua ingawa mpira anaujua!

Lakini uchezaji wake wakuingia ndani na kupiga chenga, mabeki wa kibongo kina Yondani na Nyoso watamvunja tu muda si mrefu!
 
Kumbe siku hizi anapewa namba? Kuna kipindi alipofika alikuwa anapata namba kwa kusuasua ingawa mpira anaujua!

Lakini uchezaji wake wakuingia ndani na kupiga chenga, mabeki wa kibongo kina Yondani na Nyoso watamvunja tu muda si mrefu!
Namba anapata huyo saivi ni tishio.
 
Kipre anamzidi silla mbio ila skills na uhatari wa kufunga silla ni hatari ,kwa hawa watu wawili naona round ya pili kila team ikionja mauti labda wasianze kwa pamoja wakiwa na dube na toto korofi fei
[emoji23]
 
Kipre anamzidi silla mbio ila skills na uhatari wa kufunga silla ni hatari ,kwa hawa watu wawili naona round ya pili kila team ikionja mauti labda wasianze kwa pamoja wakiwa na dube na toto korofi fei
Ukitaka kuona mpira mzuri watazame AZAM
 
Ukitaka kuona mpira mzuri watazame AZAM
Hiyo forward line Kipre,Dube,Silla- Middfield ya FEI ,Bajana na Yahaya Zaydi-Mabeki wa pembeni -Msindo na Sidibe.Nafikiri azam wanahitaji mabeki wa kati tu team ibebe ubingwa bila makandokando na kwa ushawishi.Ningekuwa Bakhresa naenda na m500 kwa Inonga na m300 Dickson Job(Naandika nikijua release zao) ,Hapa piga ua ni majeraha tu yataizuia Azam kuchukua ubingwa .
 
Pamoja na ubora wake akiwa na mpira ila bila mpira sio mzuri sana, sasa akikutana na timu kubwa mara nyingi anaanza nje kwakuwa ni mechi ambazo usipolinda vzur unaadhibiwa, hvyo ni mchezaj mzuri ila aboreshe pia kwenye kuzuia mana akikutana na timu kama yanga ataonekana mzigo
 
Hiyo forward line Kipre,Dube,Silla- Middfield ya FEI ,Bajana na Yahaya Zaydi-Mabeki wa pembeni -Msindo na Sidibe.Nafikiri azam wanahitaji mabeki wa kati tu team ibebe ubingwa bila makandokando na kwa ushawishi.Ningekuwa Bakhresa naenda na m500 kwa Inonga na m300 Dickson Job(Naandika nikijua release zao) ,Hapa piga ua ni majeraha tu yataizuia Azam kuchukua ubingwa .
Umemaanisha ichukue ubingwa msimu huu au upi?
Mi Kwa mtazamo wangu Azam sio Bora ukilinganisha na Yanga... Hata ukianza kuchambua mchezaji mmoja mmoja utaligundua Hilo... Sasa itawezaje kubeba ubingwa ikiwa haijamzidi ubora mpinzani wake? Inabidi Kwanza waunde timu imara zaidi ya hii labda baada ya msimu ujao wanaweza kubeba ubingwa
 
KUCHUKUA UBINGWA INAWEZEKANA SEMA FIGISU TU, HUKO NYUMA WAMEPOTEZA POINT KWA SABABU YA MAREFA WAJINGA.
 
Umemaanisha ichukue ubingwa msimu huu au upi?
Mi Kwa mtazamo wangu Azam sio Bora ukilinganisha na Yanga... Hata ukianza kuchambua mchezaji mmoja mmoja utaligundua Hilo... Sasa itawezaje kubeba ubingwa ikiwa haijamzidi ubora mpinzani wake? Inabidi Kwanza waunde timu imara zaidi ya hii labda baada ya msimu ujao wanaweza kubeba ubingwa
AZAM WASIPOHUJUMIWA WANACHUKUA UBINGWA.
 
Umemaanisha ichukue ubingwa msimu huu au upi?
Mi Kwa mtazamo wangu Azam sio Bora ukilinganisha na Yanga... Hata ukianza kuchambua mchezaji mmoja mmoja utaligundua Hilo... Sasa itawezaje kubeba ubingwa ikiwa haijamzidi ubora mpinzani wake? Inabidi Kwanza waunde timu imara zaidi ya hii labda baada ya msimu ujao wanaweza kubeba ubingwa
Kuna ubora na kucheza mechi nje ya uwanja ,Azam anachozidiwa na yanga kwa sasa ni kucheza nje ya uwanja sio ubora
 
Kuna ubora na kucheza mechi nje ya uwanja ,Azam anachozidiwa na yanga kwa sasa ni kucheza nje ya uwanja sio ubora
Azam ni team ndogo mno
Hana ubora wowote
Haya nambie wachezaji watatu pale Azam wataanza Yanga
 
Hivi azam huwa anahujumiwa nini na lini?
Ubovu wa waamzi unaathiri team zote na kuzinufaisha
Ile mechi ya Yanga azam alifunga goal la offside
Kimataifa ametolewa na team ya Djoubt
Hao mtawakataa akina na kipre
Na atapasuliwa mechi ya simba
UNAONGEA KWA HISIA ILA SIYO KIMPIRA
 
Back
Top Bottom