Akilindogosana
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 4,303
- 12,679
Yupo vizuri
Pia kuna yule Zaid na Mutasingwa Adolf
Pia kuna yule Zaid na Mutasingwa Adolf
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KWA WANAOPENDA FOOTBALL WAMEKUELEWA MKUU.Yupo vizuri
Pia kuna yule Zaid na Mutasingwa Adolf
Hao jamaa wako vizuri, ila kwa kuwa hawapo Simba au Yanga, hakuna anayewasema. Huu ubaguzi wa wachezaji wazuri ambao hawachezi vilabu vikubwa vya Simba na Yanga, kunaua soka letu.KWA WANAOPENDA FOOTBALL WAMEKUELEWA MKUU.
Narudia Impact yake ni ipi kwenye EPL.Wewe UNAANGALIA MPIRA WA WAPI?!
Huyu JAMAA ana assist 6+
Magoli waliyofungwa Yanga yametoka kwake
Hujaona Kijiji anachokikusanya
Unataka kusema kuwa Faridi musa ni Bora kuliko Chama kwa kua Faridi ana Medali ya MAHINDI wa pili kombe la shirikisho??Narudia Impact yake ni ipi kwenye EPL.
Ana goli ngapi?, Alishakuwa among top 3 scorers?
Misimu yote aliyokuwapo ameshaongoza hata kwa assist?
Amesaidia nini timu yake so far?
Au ndo anapiga Shibobo basi asifiwe tu
huu ndo ukweliHAYO NI MANENO YAKO ILA HUYO DOGO HUWEZI KUMFANANISHA MAWINGA DHAIFU WA KARIAKOO.
MWAMBA ANATUPIA MAGOLI TU.huu ndo ukweli
NAFIKIRI MPAKA SASA UTAKUA UMEPATA MAJIBU.Narudia Impact yake ni ipi kwenye EPL.
Ana goli ngapi?, Alishakuwa among top 3 scorers?
Misimu yote aliyokuwapo ameshaongoza hata kwa assist?
Amesaidia nini timu yake so far?
Au ndo anapiga Shibobo basi asifiwe tu
TUKIWEKA PEMBENI USHABIKI HUYU MWAMBA NI CHUMAYupo vizuri
Pia kuna yule Zaid na Mutasingwa Adolf
HUYO NI CHUMAHao jamaa wako vizuri, ila kwa kuwa hawapo Simba au Yanga, hakuna anayewasema. Huu ubaguzi wa wachezaji wazuri ambao hawachezi vilabu vikubwa vya Simba na Yanga, kunaua soka letu.
[emoji122][emoji122]Kipre Jr ni hatari sanaaa,
Ni kijana bora sanaa, Azam wakiendelea na moto huu itafika muda wachambuzi watamuimba tu,
Ila kipre ni winga namba #1 hapa nchin kwa sasa