NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
- Thread starter
-
- #41
Viungo wakabaji wa Azam woteAzam ni team ndogo mno
Hana ubora wowote
Haya nambie wachezaji watatu pale Azam wataanza Yanga
hii ni kweliNaam! Magazeti na Redio havimuimbi kwa kuwa vimefunikwa na mahaba ya Simba na Yanga.
Ila kwa wapenda football Kama NALIA NGWENA watakuja kutoa ushuhuda hapa kuwa Kipre Junior ni talented boy.
Kasi ya kukimbia, skills za kudribo mpira na nidhamu yake kubwa na anauwezo wa kucheza winga zote kushoto na kulia, huyu kipre jnr hakuwahi kupewa kadi Nyekundu toka atue katika ligi yetu (nidhamu ya Hali ya juu)
Nimetazama mawinga wa Sunche na Kapeto (kariakoo) Sijaona hata mmoja wa kumfikia huyu mwamba lakini Redio na magazeti haswa Hawa wachambuzi wapo bize kumuimba Kibu Denis na Kuacha talanta boy kipre junior.
Huu Ni muda wake Sasa bwana mdogo Kipre Junior kutua kariako aonekane kimataifa na timu yake ya taifa wamuite.
View attachment 2849739
Ukiambiwa upange kikosi cha pamoja Kati ya Yanga na Azam ni timu ipi itakua na wachezaji wengi?Kuna ubora na kucheza mechi nje ya uwanja ,Azam anachozidiwa na yanga kwa sasa ni kucheza nje ya uwanja sio ubora
Binafsi NAKATAA Azam ndiyo ana kikosi Bora kuliko mapacha wa KARIAKOO.Ukiambiwa upange kikosi cha pamoja Kati ya Yanga na Azam ni timu ipi itakua na wachezaji wengi?
We mwenyewe umetamani Azam wawe na beki kama Job.! Hiyo Tu inakuonesha ni Kwa namna gani Yanga n Bora kuliko Azam
Mwenyewe nashangaa wanasema asipohujumiwa atachukua ubingwa.. ukipiga hesabu Azam ana point 31 Katika game 13 Yanga ana point 30 kwenye game 11...Hivi azam huwa anahujumiwa nini na lini?
Ubovu wa waamzi unaathiri team zote na kuzinufaisha
Ile mechi ya Yanga azam alifunga goal la offside
Kimataifa ametolewa na team ya Djoubt
Hao mtawakataa akina na kipre
Na atapasuliwa mechi ya simba
Hebu panga first eleven ya mixer Yanga na Azam...Binafsi NAKATAA Azam ndiyo ana kikosi Bora kuliko mapacha wa KARIAKOO.
Hivi katika ligi hii UKIAMBIWA TAJA MAKIPA Bora WATATU utamtaja Ayub???Mwenyewe nashangaa wanasema asipohujumiwa atachukua ubingwa.. ukipiga hesabu Azam ana point 31 Katika game 13 Yanga ana point 30 kwenye game 11...
Azam Wana beki gani za kumuhakikishia clean sheet kwenye game tough? Vipi Wana kipa anaekaribia ubora wa Ayubu achilia mbali Diarra
Pale yanga nitachukua wachezaji waTANO tuHebu panga first eleven ya mixer Yanga na Azam...
Naachaje ?? Mtu anayeweza kukuhakikishia clean sheet mbele ya Wydad Casablanca unawezaji kumu underratedHivi katika ligi hii UKIAMBIWA TAJA MAKIPA Bora WATATU utamtaja Ayub???
We Una masikhara Mzee, kuna wachezaji gani Azam wa kumuweka Bechi Yao, Lomalisa, Aucho na Ki?Pale yanga nitachukua wachezaji waTANO tu
DIARA, BACCA, JOB MAX NAPAKOME BASI HAO WENGINE HATA AZAM WAPO
MAPENZI YA SIMBA NA YANGA SAIVI ANAONGELEWA KIBU DENIS KULIKO FEISAL MWENYE GOLI 8 NBCPLCha ajabu ni kwamba Kipre haongelewi hata Uhai Redio na Uhai Tv
Yan utamwa YAO umechukua mwaikendaPale yanga nitachukua wachezaji waTANO tu
DIARA, BACCA, JOB MAX NAPAKOME BASI HAO WENGINE HATA AZAM WAPO
LABDA ONAN[emoji23]Moroko je?
Mwaikenda ndiyo mtu hapoKuna dogo wa azam anaitwa paschal msindo nae anakuja vizuri
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Duh unamfananisha na nani mkuu?Azam ni Flop.
Kuifananisha Azam Vs Yanga &Simba ni kuukosea mpira Heshima.
Bado Azam ana mengi ya kujifunza toka kwa Sunche na Kapeto. Narudia Tena Kufananisha Azam na timu za Kariakoo ni uvivu wa kufikiri, huyo Kipre kwa kiwango cha Azam ni mzuri sana lakin kwa matarajio ya Timu za Kariakoo anaweza akawa Flopp.