Hakunaga kama Kikwete! Hivi ndivyo ilivyokuwa mwaka mpya kule Msoga

Hakunaga kama Kikwete! Hivi ndivyo ilivyokuwa mwaka mpya kule Msoga

yani bata zake zinaimpact gani kwa watanzania......tunapozungumzia kiti cha urais maana yake nini....na chombo cha bata na kujirusha maana ake nini.....hayo ni maisha yake binafsi, yeyote kati yetu akila bata nyumbani kwake haina faida kwako.....tulitakiwa tumpime katika utendaji hapo kabla kama tulishindwa matokeo yake ndio haya tunasifia bata sijui bata maji au bata mzinga.....wacha mh. amalizie stress
 
yani bata zake zinaimpact gani kwa watanzania......tunapozungumzia kiti cha urais maana yake nini....na chombo cha bata na kujirusha maana ake nini.....hayo ni maisha yake binafsi, yeyote kati yetu akila bata nyumbani kwake haina faida kwako.....tulitakiwa tumpime katika utendaji hapo kabla kama tulishindwa matokeo yake ndio haya tunasifia bata sijui bata maji au bata mzinga.....wacha mh. amalizie stress
Hapa tunaongelea maisha nje ya majukumu ya uraisi. Kumbuka huyu ni mtu maarufu, watu wengi wanamchukulia kama role model wao. Akifanya kitu ni rahisi wengi kuiga. Ndo maana tunaeka vitu kama hivi ili watu wajifunze kupitia yeye.... kwamba sometimes you need to have happy, ujiachie mara moja moja na maisha yatakuwa murua
 
Hapa tunaongelea maisha nje ya majukumu ya uraisi. Kumbuka huyu ni mtu maarufu, watu wengi wanamchukulia kama role model wao. Akifanya kitu ni rahisi wengi kuiga. Ndo maana tunaeka vitu kama hivi ili watu wajifunze kupitia yeye.... kwamba sometimes you need to have happy, ujiachie mara moja moja na maisha yatakuwa murua
kuwa happy huhitaji kuiga wala kucopy kwa mtu otherwise unataka uonekane na vitu vya namna hiyo kila mtu anakitu kinacho mfurahisha kwa namna yake......alafu yeye mwenyew aliwahi kusema akili za kuambiwa changanya na zako...sio kweli kwamba kingunge akiwa role model wako basi ufanye kila anachofanya.........kwa upande wangu mi nimecomment hivo kutokana na wasemaji wanahusisha iyo video na uongozi wake
 
kuwa happy huhitaji kuiga wala kucopy kwa mtu otherwise unataka uonekane na vitu vya namna hiyo kila mtu anakitu kinacho mfurahisha kwa namna yake......alafu yeye mwenyew aliwahi kusema akili za kuambiwa changanya na zako...sio kweli kwamba kingunge akiwa role model wako basi ufanye kila anachofanya.........kwa upande wangu mi nimecomment hivo kutokana na wasemaji wanahusisha iyo video na uongozi wake
Nimekuelewa mkuu
 
UTUMBO MTUPU

FANYENI KAZI MNAPENDA MAMBO YA KISWAHILI SWAHILI , KUPIGA DILI , NGONO NA UVIVU

NAOMBA BABA JESCA AZIDI KUKAZA UZI ILI WAVIVU WAPUNGUE NA WAJINGA WAPOTEE MJINI KABISA NYAMBAF

HAPA KAZI TUUUU

Lol

Kwaa hiyo tusipende furaha ya wengine

Songa mbele
 
Acha wivu WA kike
yani bata zake zinaimpact gani kwa watanzania......tunapozungumzia kiti cha urais maana yake nini....na chombo cha bata na kujirusha maana ake nini.....hayo ni maisha yake binafsi, yeyote kati yetu akila bata nyumbani kwake haina faida kwako.....tulitakiwa tumpime katika utendaji hapo kabla kama tulishindwa matokeo yake ndio haya tunasifia bata sijui bata maji au bata mzinga.....wacha mh. amalizie stress
 
kabla ya kusema hivo angalia maneno yako yana jinsia gani.....mkuu hapa watu wanatoa mitizamo........jipange uje hapa ueleze hoja sio vimipasho tu
 
Mkuu s
Mbona unawakandya wahaya, kwa taarifa yako hakuna zaidi ya katerero hapa duniani....uliza mwanamke yeyote anapenda nini kati ya kuserebuka na Kikwete au kupewa katerero, sikia atakuambiaje. Acha kina Mama waloweshe magodoro we kijana.
Sijawakandia wahaya nimesema kuna maisha mengine bila katerero.Salute Wahaya kwa kulowesha na kupigapiga hakika ni ubunifu
 
Back
Top Bottom