Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa tunaongelea maisha nje ya majukumu ya uraisi. Kumbuka huyu ni mtu maarufu, watu wengi wanamchukulia kama role model wao. Akifanya kitu ni rahisi wengi kuiga. Ndo maana tunaeka vitu kama hivi ili watu wajifunze kupitia yeye.... kwamba sometimes you need to have happy, ujiachie mara moja moja na maisha yatakuwa muruayani bata zake zinaimpact gani kwa watanzania......tunapozungumzia kiti cha urais maana yake nini....na chombo cha bata na kujirusha maana ake nini.....hayo ni maisha yake binafsi, yeyote kati yetu akila bata nyumbani kwake haina faida kwako.....tulitakiwa tumpime katika utendaji hapo kabla kama tulishindwa matokeo yake ndio haya tunasifia bata sijui bata maji au bata mzinga.....wacha mh. amalizie stress
Mweshimiwa kiingilish hiki mh!!! Jaribu kuwapa wataalam wakinyoosheIf he still weak, his weakness for now has no impacts to us so you is weak also because you can't differentiate time
Usishindwe mpira ukasingizia uwanja. Hakuna mwalimu anayeweza kukufunza hivyo!!!! Rudi darasaniNdiyo nilivyofundishwa shuleni English hii ila ujumbe umefika si etii enheee mtanganyika
[emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mweshimiwa kiingilish hiki mh!!! Jaribu kuwapa wataalam wakinyooshe
Kweli kabisaMkuu ngoja nikusaidie hapa duniani viumbe ambavyo havieleweki vinataka nini.....vinapatikana tz
kuwa happy huhitaji kuiga wala kucopy kwa mtu otherwise unataka uonekane na vitu vya namna hiyo kila mtu anakitu kinacho mfurahisha kwa namna yake......alafu yeye mwenyew aliwahi kusema akili za kuambiwa changanya na zako...sio kweli kwamba kingunge akiwa role model wako basi ufanye kila anachofanya.........kwa upande wangu mi nimecomment hivo kutokana na wasemaji wanahusisha iyo video na uongozi wakeHapa tunaongelea maisha nje ya majukumu ya uraisi. Kumbuka huyu ni mtu maarufu, watu wengi wanamchukulia kama role model wao. Akifanya kitu ni rahisi wengi kuiga. Ndo maana tunaeka vitu kama hivi ili watu wajifunze kupitia yeye.... kwamba sometimes you need to have happy, ujiachie mara moja moja na maisha yatakuwa murua
Nimekuelewa mkuukuwa happy huhitaji kuiga wala kucopy kwa mtu otherwise unataka uonekane na vitu vya namna hiyo kila mtu anakitu kinacho mfurahisha kwa namna yake......alafu yeye mwenyew aliwahi kusema akili za kuambiwa changanya na zako...sio kweli kwamba kingunge akiwa role model wako basi ufanye kila anachofanya.........kwa upande wangu mi nimecomment hivo kutokana na wasemaji wanahusisha iyo video na uongozi wake
UTUMBO MTUPU
FANYENI KAZI MNAPENDA MAMBO YA KISWAHILI SWAHILI , KUPIGA DILI , NGONO NA UVIVU
NAOMBA BABA JESCA AZIDI KUKAZA UZI ILI WAVIVU WAPUNGUE NA WAJINGA WAPOTEE MJINI KABISA NYAMBAF
HAPA KAZI TUUUU
Mweshimiwa kiingilish hiki mh!!! Jaribu kuwapa wataalam wakinyooshe
Tatizo nilikimbia umande na hayo maneno ni yale tunayaokota kwenye tamthilia zetu hiziUsishindwe mpira ukasingizia uwanja. Hakuna mwalimu anayeweza kukufunza hivyo!!!! Rudi darasani
Haiwezekani baba Jesca awe peke yake wakati wote tumesoma shule za kata aaaah acha tu nijiumeume na kalugha haka kakigeniHiki kiingereza kama cha chato
Nimeelewa sasa kumbeeee.... Nae huyu mfalme wa Tz ajaribu mbinuSiri ameshaambiwa na Rais Mwinyi kwa hiyo hakuna shaka tena
Jamani wataalamu wa lugha nisaidieni kunyoosha sentensi hii maana nimeharibu hukuIf he still weak, his weakness for now has no impacts to us so you is weak also because you can't differentiate time
yani bata zake zinaimpact gani kwa watanzania......tunapozungumzia kiti cha urais maana yake nini....na chombo cha bata na kujirusha maana ake nini.....hayo ni maisha yake binafsi, yeyote kati yetu akila bata nyumbani kwake haina faida kwako.....tulitakiwa tumpime katika utendaji hapo kabla kama tulishindwa matokeo yake ndio haya tunasifia bata sijui bata maji au bata mzinga.....wacha mh. amalizie stress
Mkuu unamaanisha soko la Katerero Bukoba au ?Maisha ndio hayo sasa JK anajua kuenjoy life banaa.Sio kila saa mtu unawaza Katerero tu nooo kuna maisha mengine
mwanaume wa ukweli huwezi kumsifia mwenzio anavokula bata na mkewe........toa hoja mkuu matusi hayajengi chochoteAcha wivu WA kike
Yaah siku ya gulio katerero sijui darasa la ngapi vile !Mkuu unamaanisha soko la Katerero Bukoba au ?
Sijawakandia wahaya nimesema kuna maisha mengine bila katerero.Salute Wahaya kwa kulowesha na kupigapiga hakika ni ubunifuMbona unawakandya wahaya, kwa taarifa yako hakuna zaidi ya katerero hapa duniani....uliza mwanamke yeyote anapenda nini kati ya kuserebuka na Kikwete au kupewa katerero, sikia atakuambiaje. Acha kina Mama waloweshe magodoro we kijana.