Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,009
- 60,629
Kiukweli the so called "mimba za bahati mbaya" ni janga....
Ndio sababu kuu ya mabinti kutoa mimba hovyo, wanaume & wanawake kulazimishwa/lazimika ku-commit kwa watu ambao hawakua na nia nao, watoto wa mtaani, single family households kuongezeka na mengine mengi. Sadly mara nyingi kama sio zote, anaeumia sana ni mtoto ambae hakuchagua kuwa sehemu ya maisha yetu.
Now, if we were being honest...
Is there really such thing as "mimba ya bahati mbaya"???
Wanaume wanaweza wakatumia hiyo kauli kwa kisingizio cha "Sikujua kama uko kwenye siku za hatari" / "Nilijua anatumia dawa." etc etc....
Ila mwanamke unapokuwa sexually involved na jinsia ya kiume bila kinga/bila kuzingatia siku za hatari/bila kutumia contraceptive unatarajia nini kama sio kupata mimba???
Na wadada tunavyojua kulaumu sasa 🙄😏
Neway, what I'm trying to say is.....maamuzi ya kushika ama kutokushika mimba ultimately yanatuangukia sisi wadada hivyo tujitahidi kuwa responsible.
Kama hauko tayari kulea JUST BE RESPONSIBLE!
Kuna kondom, vidonge/sindano/vipandikizi vya kuzuia mimba bila kusahau utaratibu wa kuhesabu siku zetu....pick one and stick to it. Otherwise kuwa tayari kubeba na kukubali responsibility 100% with or without the man.
Tuache kulalamika kila siku na kufanya abortion kuwa kitu cha kawaida....
Kwanza bortion ni hatari sana...
Kuna waliopoteza maisha, walioharibu vizazi na kushindwa kuzaa walipohitaji kutoka na abortion.
#2 abortion ni illegal...
#3 abortion is unfair to all the little angels & future somebodys.
So please Copulate Responsibly!!!😉
Alafu hii meme wakaka muizingatie msije mkasema sikuwashauri....si mnajua science haipingiki???😁
Ndio sababu kuu ya mabinti kutoa mimba hovyo, wanaume & wanawake kulazimishwa/lazimika ku-commit kwa watu ambao hawakua na nia nao, watoto wa mtaani, single family households kuongezeka na mengine mengi. Sadly mara nyingi kama sio zote, anaeumia sana ni mtoto ambae hakuchagua kuwa sehemu ya maisha yetu.
Now, if we were being honest...
Is there really such thing as "mimba ya bahati mbaya"???
Wanaume wanaweza wakatumia hiyo kauli kwa kisingizio cha "Sikujua kama uko kwenye siku za hatari" / "Nilijua anatumia dawa." etc etc....
Ila mwanamke unapokuwa sexually involved na jinsia ya kiume bila kinga/bila kuzingatia siku za hatari/bila kutumia contraceptive unatarajia nini kama sio kupata mimba???
Na wadada tunavyojua kulaumu sasa 🙄😏
Neway, what I'm trying to say is.....maamuzi ya kushika ama kutokushika mimba ultimately yanatuangukia sisi wadada hivyo tujitahidi kuwa responsible.
Kama hauko tayari kulea JUST BE RESPONSIBLE!
Kuna kondom, vidonge/sindano/vipandikizi vya kuzuia mimba bila kusahau utaratibu wa kuhesabu siku zetu....pick one and stick to it. Otherwise kuwa tayari kubeba na kukubali responsibility 100% with or without the man.
Tuache kulalamika kila siku na kufanya abortion kuwa kitu cha kawaida....
Kwanza bortion ni hatari sana...
Kuna waliopoteza maisha, walioharibu vizazi na kushindwa kuzaa walipohitaji kutoka na abortion.
#2 abortion ni illegal...
#3 abortion is unfair to all the little angels & future somebodys.
So please Copulate Responsibly!!!😉
Alafu hii meme wakaka muizingatie msije mkasema sikuwashauri....si mnajua science haipingiki???😁