Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante kwa maelezo mkuu, ila shida sio password wala username bali shida ni mfumo unaandika uko under maintenance na dogo anatakiwa aingie achukue namba ya mtihani aliyotumiwa na utumishi kwaajili ya usahiliKama alitumia chrome . Fungua chrome kisha fuata hatua zifuatazo
1. Juu kulia kuna vidot vitatu, bonyeza hvyo, zikuta option nyingi
Hujamuelewa, ukishaingia kwenye account ya ajira portal Kuna sehemu unakuta umetumiwa namba ya mtihani na kwa kuwa account ya ajira portal Iko under maintainance hakuna namna yyte anaweza kufanya kupata hiyo number mpaka account irudi hewani.Kama alitumia chrome . Fungua chrome kisha fuata hatua zifuatazo
1. Juu kulia kuna vidot vitatu, bonyeza hvyo, zikuta option nyingi
2. Nenda option ya Setting
3. Baada ya setting nenda password manager
Ukifika hapo utakua username na password zote ulizowahi kuzi save kwenye sites mbali mbali ulizoingia. Kisha tafuta ajira portal. Ukibonyeza itakuonesha user name na password
Wabongo wengi tuna uzembe, kujua namba nayo kunahitaji kila muda mtu alog-in kwenye mfumo? Si anapiga picha tu na simu anakaa nayo, au anaandika pembeni. Hawa madogo wana uzembe mwingi sanaKwanini hawatumi kwenye email?
Hakuna uzembe wwte hapo kwanza ukiingia kwenye account hawakuambii kwamba hii ndio namba Yako ya mtihani unakuta imeorodheshwa tu paleWabongo wengi tuna uzembe, kujua namba nayo kunahitaji kila muda mtu alog-in kwenye mfumo? Si anapiga picha tu na simu anakaa nayo, au anaandika pembeni. Hawa madogo wana uzembe mwingi sana
Uzembe. Graduates Kuna vitu hahitaji kuambiwa. Number inajulikanaHakuna uzembe wwte hapo kwanza ukiingia kwenye account hawakuambii kwamba hii ndio namba Yako ya mtihani unakuta imeorodheshwa tu pale
Huko kimataifa umeenda mbali ndugu wengine utumishi ndio mara ya kwanza kufanya interview tuache ujuaji wazembe ni hao utumishi maana kama wanaweka vitu kama hivyo kwenye account binafsi ya mtahiniiwa na account imezingua wao ndio wanaotakiwa kuutafuta alternative.Uzembe. Graduates Kuna vitu hahitaji kuambiwa. Number inajulikana
Hivi mmeshawahi kufanya aptitude test za taasisi za kimataifa? Maana hii hulka yenu inatisha aisee
Aende tu, kabla hawajaingia kwenye mtihani aeleze tu watamsaidia kupata namba.Asante kwa maelezo mkuu, ila shida sio password wala username bali shida ni mfumo unaandika uko under maintenance na dogo anatakiwa aingie achukue namba ya mtihani aliyotumiwa na utumishi kwaajili ya usahili