Leo Polepole anaongelea vyama vinavyopata ruzuku. Trillion 1.5 ni kaa la motoWaliomwambia atubu aliishua kuwabeza
Aje atubeze na hiyo trillion tuone
Aturudishie pesa yetu
CAG analishangaa Bunge kutokuhoji
Bunge ilipashwa kuweka kila kitu pending washughulike na hili
Zitto lianzishe huko kabla Hii issue haijasahaulika
Kesi za wabunge zote zisimame
Hizi pesa Bunge au Serikali itueleze ziko wapi
Walikuwa wanachota kama pesa ya ukoo
Atubu kwa Mungu wake kwanza mengine yatafuata
hahaha!Tangu ripoti ya CAG imetoka hatuja muona mtukufu bararani akiwa na mkasi wake wa kuzindua. Hata vile viwanda vya saloon vya Lusinde hakuna kilichomalizika tupate kuona uso wa mzee?
umeona eeh? 1.5tr ni shiida!!Leo Polepole anaongelea vyama vinavyopata ruzuku. Trillion 1.5 ni kaa la moto
Ruzuku ni haki ya kila chamaLeo Polepole anaongelea vyama vinavyopata ruzuku. Trillion 1.5 ni kaa la moto
lazima atafute jibu lake kwanza wakati wa uzinduziTangu ripoti ya CAG imetoka hatuja muona mtukufu bararani akiwa na mkasi wake wa kuzindua. Hata vile viwanda vya saloon vya Lusinde hakuna kilichomalizika tupate kuona uso wa mzee?
Hivi hamzioni hizi mvua muende mashambani kuzalisha badala ya kushinda kulaumu serikali huku mitandaoni?
Hivi hamzioni hizi mvua muende mashambani kuzalisha badala ya kushinda kulaumu serikali huku mitandaoni?
Sio Mussa muaddress as Profesa Mussa hilo ndo jina sahihiYanaweza; but in other way round: "Habari zilizotufikia hivi punde zinasema kwamba, Mussa Juma amekimbizwa hospitali ya taifa ya Muhimbili baada ya moyo wake kushindwa kufanya kazi!"
Hatutoi kiki kwa risasi kwa watu kama Juma Hassan!
Ina maana jina lake haliwezi kuwa sahihi hadi utangulize title ya usomi wake?!Sio Mussa muaddress as Profesa Mussa hilo ndo jina sahihi
Ndio mkuu na ndio maana mtu mwenye Phd yake kama ni Dr,au Prof huwezi kuanza kutaja jina bila kuanza na hizo titles maana nazo ni jina. Mim ambaye sina unaweza niita jina langu straight.Unaweza pia uliza watu wanaojua zaidi upewe darasa.Ina maana jina lake haliwezi kuwa sahihi hadi utangulize title ya usomi wake?!
Ni kama sasa hivi utamke Shivji na mwingine atamke Pr. Shivji wewe hapo utagundua nini?Ina maana jina lake haliwezi kuwa sahihi hadi utangulize title ya usomi wake?!
Suala ni kugundua au ikiwa kutotanguliza academic title inatoa usahihi wa jina?Ni kama sasa hivi utamke Shivji na mwingine atamke Pr. Shivji wewe hapo utagundua nini?
Hizo ziko pending kwa ajili ya 2020[emoji1] [emoji1]Ana stress za 1.5
Kwanini usiweze kuita jina la mtu bila kuanza na academic title?! Hivi leo hii Dr. Dau ukamuita Ramadhani Dau unampunguzia nini kwenye usomi wake?Ndio mkuu na ndio maana mtu mwenye Phd yake kama ni Dr,au Prof huwezi kuanza kutaja jina bila kuanza na hizo titles maana nazo ni jina. Mim ambaye sina unaweza niita jina langu straight.Unaweza pia uliza watu wanaojua zaidi upewe darasa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aende jangwani pale kuzindua mitumbwi
Hivyo vibajaji unaviita ndege? Viwanda vingine vilishfunguliwa tangu enzi ya MkapaMbona mnaendelea kunidhalilisha hivyo hamuoni mandege niliyo yareta hamuoni maviwanda haya yanayojengwa na sasa Sgr imeanza kujengwa hivi nyinyi mumelogwa sasa nasema hivi lazima mniunge mkono na muwe wazarendo nasema haya kwa dhati kabisa kwasababu msema kweli ni mpenzi wa mungu na nikisikia kuna mtu anaendelea huko kwenye mitandao yenu nitarara naye mbere