Patience123
JF-Expert Member
- Mar 10, 2013
- 5,092
- 8,784
Uncle wangu,....Aaaaaah mimi sikuamini bana ngoja dada yangu atakuja kunieleza vizuri Patience123 ,dada yangu hakosi nguo na hajalelewa kumtegemea mwanaume ,yeye mwenyewe ni mpambanaji
Jamani Nifah na kuhonga kote huko umeenda kwa @TheBold kisa anajua kuchambua mambo ya nchi za mbele?basi rudisha pesa zangu japo nusu.
Teh teh nashangaa ,kaja na mikwara mingi ,nikajua mikwara ni njia ya asiyejiamini ,kumbe maskini ya Mungu anapewa huko sirini hata kusema wazi hatakiwiUncle wangu,....
Hebu mwambie afafanue kwanza maana ya username yangu ndio aje hapa aseme hayo anayoyasema.
Uncle umepotea sanaEbana heshima yaka Mtakatifu Ivuga ,heri ya Christmas na mwaka mpya
Baada ya kusoma hapa ndio nimejua nyie ni couple mwanzo nilijua ni marafiki mlioshibana that's all.Wooooww.!! Thank you so much wakuu..
Hahahaha roboti la matope eti roho inakuuma [emoji23] [emoji23]
Wakuu, inawezekana wengi hatufahamiana nje ya JF but wote humu tumekuwa kama familia.. And "on behalf of my self" na mrembo Nifah niseme shukrani kwenu wanafamilia wenzetu wote mnaotutakia kheri..
Ni vile tu tunalinda privacy yetu na kuepuka kujiexpose but natamani mda mwingine kuweka wazi ulimwengu mzima ujue kiasi gani tuko deep and serious about this.. Sio ili "kushow off", hapana ni vile finally ukipata soulmate ambaye you have been dreaming kumpata your whole life.. You wish you could scream for the whole world to know..
Kwa dhati kabisa, tunaomba sana maombi yenu, maana mimi na bibie sote ni vijana na kama vijana tuna "changamoto" nyingi, na mahusiano yoyote haijalishi mnapendana kiasi gani lakini lazima kitatokea kipindi cha magumu na mahusiano yenu kujaribiwa.. Mtuombee tuwe na moyo mkuu, hata ikitokea tukifarakana tukumbuke how much we love each other ili tuweze kushinda changamoto na vita zote zilizo mbele yetu na hatimaye tufikie lile lengo tulilonalo mioyoni mwetu..
Again, niwashukuru wote wenye kututakia kheri na kutuombea roboti la matope, Heaven Sent, Compact, samsun, UncleBen, Azarel, Valentina na wanafamilia/wanachama wote wa JamiiForum..
Tunawapenda sana!
# TheBold's
Nimerudi mpwa wangu heri ya ChristmasUncle umepotea sana
Asante sana feitty..Baada ya kusoma hapa ndio nimejua nyie ni couple mwanzo nilijua ni marafiki mlioshibana that's all.
Mungu awabariki mfikie malengo yenu na mdumu milele.
Nimewapenda bure aisee
Heri ya christmass kwako pia uncle usipotee tena,tuupokee mwaka mpya wote.Nimerudi mpwa wangu heri ya Christmas
Hahahahahaha........!Ila tusiache kualikana kupitia privacy hzi hzi japo najua na mamluki hawatakosekana.Hahahahaha dakika sifuri tu unashangaa difenda hiyo imekuja kuwachukua wageni waalikwa..
Hakuna namna mkuu, hii yote ni kutokana ugumu wa maisha wa mwendo kasiShambani na jua lote hili?
[emoji21] [emoji21] [emoji21] maombi kwanzaVery simple. Anzisha Ugomvi
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Na hivi Bibie alivyo mwembamba na Modo kama nakuona vile Mkuu unavyousokomeza Mchi kunako Kinu cha Nungwi.
Hongera yake mgegedaji na pole yangu mimi mshika mapembe..Mtazamo. The bold nashaka hamjui huyu mtoto wa kike zaidi ya chatting flirting tu za hapa, Am sure 100% Jamaa anashika pembe na mtafunaji/Mgegedaji mwingine kabisaa
Kabisa unaweza kukuta ni mimi mwenyewe najitongoza na kujikubalia!!Jf ilivyo na maajabu unawezakuta ni Id mbili za mtu mmoja.
Mimi sio mgegedajiHongera yake mgegedaji na pole yangu mimi mshika mapembe..
Nashukuru kwa maoni yako!!
And you will never be..Mimi sio mgegedaji
Awwwwwwww???je ni kifupi cha Salama na maamkizi ya kiislamu??Awwwwwww, To love and to be loved, is the greatest happiness of existence. Nawaombea, Inshallah.
[HASHTAG]#TheBolds[/HASHTAG]"