Hakyamama nawaonea wivu The Bold & Nifah

Hakyamama nawaonea wivu The Bold & Nifah

Aaaaaah mimi sikuamini bana ngoja dada yangu atakuja kunieleza vizuri Patience123 ,dada yangu hakosi nguo na hajalelewa kumtegemea mwanaume ,yeye mwenyewe ni mpambanaji
Uncle wangu,....

Hebu mwambie afafanue kwanza maana ya username yangu ndio aje hapa aseme hayo anayoyasema.
 
Uncle wangu,....

Hebu mwambie afafanue kwanza maana ya username yangu ndio aje hapa aseme hayo anayoyasema.
Teh teh nashangaa ,kaja na mikwara mingi ,nikajua mikwara ni njia ya asiyejiamini ,kumbe maskini ya Mungu anapewa huko sirini hata kusema wazi hatakiwi
Teh Mkuu QUIGLEY
 
Wooooww.!! Thank you so much wakuu..

Hahahaha roboti la matope eti roho inakuuma [emoji23] [emoji23]

Wakuu, inawezekana wengi hatufahamiana nje ya JF but wote humu tumekuwa kama familia.. And "on behalf of my self" na mrembo Nifah niseme shukrani kwenu wanafamilia wenzetu wote mnaotutakia kheri..

Ni vile tu tunalinda privacy yetu na kuepuka kujiexpose but natamani mda mwingine kuweka wazi ulimwengu mzima ujue kiasi gani tuko deep and serious about this.. Sio ili "kushow off", hapana ni vile finally ukipata soulmate ambaye you have been dreaming kumpata your whole life.. You wish you could scream for the whole world to know..

Kwa dhati kabisa, tunaomba sana maombi yenu, maana mimi na bibie sote ni vijana na kama vijana tuna "changamoto" nyingi, na mahusiano yoyote haijalishi mnapendana kiasi gani lakini lazima kitatokea kipindi cha magumu na mahusiano yenu kujaribiwa.. Mtuombee tuwe na moyo mkuu, hata ikitokea tukifarakana tukumbuke how much we love each other ili tuweze kushinda changamoto na vita zote zilizo mbele yetu na hatimaye tufikie lile lengo tulilonalo mioyoni mwetu..

Again, niwashukuru wote wenye kututakia kheri na kutuombea roboti la matope, Heaven Sent, Compact, samsun, UncleBen, Azarel, Valentina na wanafamilia/wanachama wote wa JamiiForum..

Tunawapenda sana!

# TheBold's
Baada ya kusoma hapa ndio nimejua nyie ni couple mwanzo nilijua ni marafiki mlioshibana that's all.
Mungu awabariki mfikie malengo yenu na mdumu milele.
Nimewapenda bure aisee
 
Awwwwwww, To love and to be loved, is the greatest happiness of existence. Nawaombea, Inshallah.

[HASHTAG]#TheBolds[/HASHTAG]"
Awwwwwwww???je ni kifupi cha Salama na maamkizi ya kiislamu??

Kupitia kwako napenda kujua,hivi The Bold na Nifah ni Muslims?

May Allah bless them,today in world and tomorrow in Akhera.[emoji120] Amiin
 
Back
Top Bottom