Hakyamama nawaonea wivu The Bold & Nifah

Kwa Hali ilivyo kwa mtoto Nifah na upya wa mapenzi kashasahau kama tumebadilisha Rais yeye anajiona kama yuko kwa MKWERE bado Enjoy You day with Ur Bae(hubby) The Bold
 
Hahaahaha! Thanks man..

Will do everything, hata ikibidi kumove all mountains kuhakikisha huyu mtoto mzuri she is happy na tunazaeeka pamoja..

Mwenyezi Mungu atatusaidia!
 
Na mimi ngoja nianze mikakati ya kumg'oa 'Miss Chaga' ntawapa 'updates' kinachoendelea,niombee jamani niweze pokelewa vizuri Kishumundu.
 
Aiseee nilipotea mpwa wangu ..Mambo yako ? Mzima wewe ? Aisee hawa watu humu hawaja mbadilisha Heaven Sent wangu ? Naona Nifah dada yangu nae kaolewa , Kaboom mzima ?

Patience123 nimewasiliana naye jana

Merry Christmas kwenu jamani
Ahsante sana Anko..Uwe na mwaka mpya mzuri mzee..Mbona kimya sana..Heri?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…