Hakyamama nawaonea wivu The Bold & Nifah


Wakuu The Bold na Nifah on behalf of myself na wale wote wanaonihusu, nawatakia kila la kheri katika ukarasa mpya wa mahusuano yenu.
 
Kuna sakafu ya twiga cement na sakafu ya bahari!
Najua huna uwezo wa kung'amua tofauti zake..

Anyways,
Imeandikwa; "alaaniwe anaye walaani....... adui akija kwa njia moja atatawanyika kwa njia saba"

Merry Christmas..
Mkuu siku hzi kuna nyaaatiiii [emoji23] [emoji23] [emoji23] tangazo la ukuta hajaliona nn huyo jamaa.
 
Love is beautiful....love is life!
May the Lord of endless mercy guide your steps!
Hongera Nifah, hongera The bold.
Kadi yangu msininyime muda utakapofika ([emoji21][emoji41][emoji41]msiogope my ID me siko na wao kwenye kamata kamata).

Asante mpendwa wangu.
Tunaanzaje kukunyima sasa?
Panapo majaaliwa In Shaa Allah[emoji120]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…