Hakyamama nawaonea wivu The Bold & Nifah

Awwwwwwwww haya ni mapenzi makubwa aysher!
Am speechless kabisa [emoji87]
Allahuma Amiyn,
Jazakallah Khayran.
Nimetokea kukupenda bure dearest [emoji7] [emoji8][emoji120]
Mi pia nimetokea kuwapenda sana na haswa pale mnapokuwa wazi bila kujali macho kodokodo!!!! sitachoka kuwaombea Allah awalinde kwa nguvu zote.
 
Wee jamaa mchawiiii.

Kila nkijaribu kukuroga ndumba inadundaaaa
 
[emoji23] [emoji23] kuwa na mtoto wa kambo kama huyu ni kujitafutia kufa ningali kabinti kabichi...nimenyoosha mikono[emoji119]
Khaaaaa. Sikutaki tena. Kumbe ungali kabinti???? Tena kabichi so spinachiii????

Byeeeee Khantwe
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nimecheka sana kuhusu mshana.

Tutaziandaa bila shaka panapo majaaliwa mkuu.
Am giving you my word,nitamtunza kama mboni ya jicho langu.
"Nilompata ntamlinda kama mboni ya macho yangu machooooo
Anayejua kupenda, anayejali thamani ya neno love"
 
Kwaiyo kuna siku kaka mshana Jr na Dada feiza(sijui nimepatia) wanaweza kuwa Mr and Mrs hiii ndo couples nayo isubiria.umu jr
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…